Dudubaya ni ngangaripoa?

Dudubaya ni ngangaripoa?

Usiusemee upande wowote! Normally, kwenye jamii zetu hatutegemei sheikh, padre, na wengineo kuhusika na mambo haya ila tunawasikia. Neither of us is wrong nor right!
 
Acha kutetea vitendo vya ushoga oil chafu konki master acha amfunge paka kengele wengine walishashindwa
Yeye mwenyewe wanasema ni shoga kama ishu ni kutaja tu, eti waligombea bwana na mr Nice!! Kama ishu ni kutaja wametajwa hata waanzisha kampeini wenyewe!
 
Mtoa mada linaonekana huyu Jamaa anakuumiza kichwa sana naanza kukutilia mashaka na wewe konk konk konk master oil chafu. Naanza kuhisi na we ni gasho,

Wakapime kama kakosea dudubaya ainde jera kasema, daa mwanaume utatetea mashoga Wa nini bwana kama na wewe si mwemzao??????
Hakika umemkosea mleta mada nidhamu, ungemwomba msamaha ingekua busara sana.
 
Kwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao. Vinasaba hivyo ni kama
> Sauti
> Mavazi
> Umbo
> Tabia
> Urembo

Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi lakini akipita mahali na wengine kumi ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye.

Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme, mjuaji yeye na mkamilifu yeye. Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake.

Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume. Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani. Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo. Ana dalili ya vinasaba vya ushoga.

Godfrey ana tabia zote hizo; kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu. Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili.

Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga. Sasa hivi yuko mitandaoni. What a comeback!

Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika. Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga.

Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini na sio kupayukapayuka tu.

Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa
Ikiwa mwizi anatambua wezi wenzie basi na huyu dudupori naye ni mchele mchele,huenda anatumika ama anatumia huduma tajwa!
 
Kwenye ulimwengu wa jinsia kuna vinasaba huwatambulisha watu jinsia zao. Vinasaba hivyo ni kama
> Sauti
> Mavazi
> Umbo
> Tabia
> Urembo

Mwanamke mzuri anayejiamini hana makeke wala vipodozi vingi lakini akipita mahali na wengine kumi ataangaliwa ama kupewa alama za juu yeye.

Mwanamke asiyejiamini ni shughuli pevu. Kwanza vipodozi kama vyote, mikogo na maringo ndio usiseme, mjuaji yeye na mkamilifu yeye. Huyu akiwa mahali atalazimisha atambulike uwepo wake.

Kujadili watu na maisha yao pamoja na bifu za kijinga sio sifa ya mwanaume. Haya mambo tumezoea kuyaona kwa ndugu zetu wa jinsia pinzani. Unapoona mwanaume kila wakati ni mgomvimgomvi, mpenda sifa, mjuaji, mnyooshea wengine vidole, mchambaji basi tambua fika huyo kuna udhaifu anauficha na anaufidia kwa kufanya mambo kama hayo. Ana dalili ya vinasaba vya ushoga.

Godfrey ana tabia zote hizo; kupenda kulazimisha umaarufu kisanaa lakini pia kwa mambo yasiyomhusu. Ana mwili mkubwa lakini asilimia ya medulla imepishina njia na asilimia ya mwili.

Ameibuka kwa staili mpya ya kutaja wanaotuhumiwa kujihusisha na ushoga. Sasa hivi yuko mitandaoni. What a comeback!

Anatajataja tu watu na jamii bila kutafakari kwa makini inarindima na midundo yake bila kufahamu kuwa anajidhalilisha na anatumika. Akija kukwaa kisiki cha mpingo jamii hiyohiyo iliyokuwa ikimshangilia ndio hiyohiyo itakuwa ya kwanza kumnanga.

Asijisahau kuwa yeye ni mwanaume na akumbuke kama mwanaume anapaswa kufanya nini na sio kupayukapayuka tu.

Hizi ni dalili za kuwa ngangaripoa
mtoa uzi niwaz umekurupuka kwa mwenendo mzima ulivyo katika jiji lenu la mapunga hapo dar hata wew ni wazi unamnyooshea kidole nabii KONKI KONKI MASTER katka uzi huu uliolemea upande wa utetezi wa tabia hii yakishwain ya vijana wakiume kukatika kama panga-boi,, je na wewe ni ngangaripoa??watu kama konki ni watu ambao kila jamii inawahitaji na katika hili oil chafu isiyochafuliwa niwaz ameongea kwa sababu ni swala ambalo serikali ya mkoa wenu pendwa imeliweka kama tatizo natayar mkuu wa mkoa bashite alilifanyia mjadala nakuruhusu kutumiwa majina yamapunga wote nakuitaka jamii iwafichua wapakuliwa tope wote walio katka jiji lenu..hapo ndipo nabii KONKI alipoitumia fulsa kama mwanajamii kuwafichua wapakuliwa kimba wote anaowafahamu..na kwa kuwa yey alikua msanii mkubwa kwa nyakati fulani hivyo watu wa media wengi amefanya nao kaz na anaukaribu nao ns napata nguvu yakusema hoja za KONKI si za kubeza na yeyote anaekurupuka kama wew mkuu nakuanza kumshambulia konki kwa kejeli na maneno yakipunga kama yako ni wazi umeshikwa pabaya na hofu yakuumbuka imekufanya uje hadharan nakuwatetea wapakuliwa tope shame on you broo...!!!!
 
Hebu tofautisha vina sana vyakujadili watu alivyo navyo Tumaini na wewe uliyemfuatilia ukamuanzishia uzi ndugu.
Ukiachana na alama ya kuuliza kwenye heading (kitu ambacho nimegundua wengi hamfahamu matumizi yake) mimi nimehoji weledi wake kutokana na historia yake... Yeye katoa hukumu moja kwa moja
 
We Mshana tulia... Yule mtu wenu kawataja akina Kinana sijui mzee Makamba, kwamba wanavuruga nchi, anataja watu bila ushahidi umekaa kimya... Leo unaleta vitisho kwa The Dudu Konki..
Au we ndo unajifanya unajua namna bora ya kuendesha nchi? Kemea wale kwanza ndo uje huku.
Jaribu kutofautisha mada halafu sio kila kitu lazima mimi niandike.... Hivi unajua tofauti ya kuhoji na kutaja kweli?
 
Mshana Jr leo jipange brother!! Umekurupuka period!!
Unashindwa kabisa kutetea hoja zako, unauliza kama dudu ni Ngangaripoa sijui una maana gani? Context ya andiko lako ni vitisho, kwamba ajiangalie sana, unasema anataja watu bila kutafakari kwa kina, nani amekudanganya hilo? Hao watu aliowataja kwanza wapo kwenye media, na majina yao kuhusishwa na ushoga hayajaanza leo wala jana..
Watoke front wakanushe, we unadai Konki anatumiwa, wewe je nani anakutumia kupitia jukwaa hili la JF? Jipange bro, hii ngoma ngumu
Huu ni mtazamo wako siwezi kukushikia bakora ukubaliane na nilichoandika... Sasa kama hata maana ya ngangaripoa hujui ninini halafu unakimbilia kusema nimekurupuka! Hivi mkurupukaji ni nani hapa kati yangu mimi na wewe
 
Huyu mleta mada na wasiwasi naye dunia ya sasa ni ya utandawazi tofauti na zaman mtu kutaja kitu ambacho anauhakika nacho nikosa??we mtoa mada hujuelewi mtu kataja fulani ni shoga kilichotakiwa ni ushahidi aulete sasa wewe unaweweseka na nn mkuu
Hebu rudia kusoma nilichoandika... Yani mnasoma tayari mkiwa na majibu kichwani mwenu so funny
 
Maana yake hatuitaji kabisa mijadala ya kutetea mashoga kabisa, Tafuta mijala mingine tutachangia na kusifia lakini kwa hili la ushoga?? !!! Achana nalo litakudharirisha tu.
Sihitaji kusifiwa kwakuwa sitafuti sifa na sifahamiki na wengi... By the way KUDHARIRISHA ndio msamiati gani? Au una shida kidogo kati ya R na L?
 
Mleta mada unajishushia heshima yako hapa JF kwa hili bora ungekaa kimya kaka mkubwa .

Kivipi anajishushia Heshima. Are you for really. So hujawaza kabisa kuwa dudubaya angekuwa ana uchungu na ushoga angetafuta ushahidi na angekwenda mahakamani . Je the Principle of Natural Law that every one has the right to be heard before being judged wewe imekupita kabisa. Hivi kila mtu akiamua kusema jambo hadharani bila ushahidi then wewe ukamsapoti ndo namna ya maisha. Is that a due process? Unatia kinyaa.
 
Hii ngoma Mdau kazingua na kama kweli anaakili ameshafahamu alichokoroga.
Niko imara sana au unataka niwazuie watu kuchangia? Nini maana ya kuweka mjadala mezani sasa? Nasimamia nilichoandika kwa muktadha wangu... Replies za wengine ni mitazamo yao
 
Mshana Jr alichopaswa kukisema hapa ni kusisitiza kama Konki anaushahidi autoe na si kuuliza kwa kumpa majina ya kijinga. Linapokuja swala linalodhalilisha Wanaume kwa kweli tutapambana mpaka mwisho. Ushoga ni udhalilishaji wa mwanaume ambaye ni mfano wa Mungu. hatutakubali kabisa.

Hii vita wengi tupo nyuma yake. Ikiwezekana Kifo
Dah Kwahiyo kabla ya kuweka mada nilipaswa kuwa mtabiri wa kuandika kile kitakachowapendezeni nyie na si uhalisia wa mada husika... Kweli kazi tunayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom