Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,105
- 829,001
- Thread starter
- #41
Mungu wangu hebu jaribuni kuwa na tafakuri pana... Mmeacha yote kwenye mada mmegeukia kwingine duuKinachofurahisha hii thread, dudubaya kaitwa nae gasho kwa sabbu ya kusema wenzake,okay
Sasa muanzisha thread nawe umemtaja dudu a.k.a umefanya alichokifanya yeye,tukueleweje?
By the way me naona waliotajwa wajitetee wenywe tu
Mada haijamhukumu, soma heading ina alama ya kuuliza je unajua matumizi ya alama hii?
