Dudubaya ni ngangaripoa?

Dudubaya ni ngangaripoa?

Maana ya neno konki ni mzibua mitaro ak mfukua mbolea,
Screenshot_2018-11-05-17-13-00.jpeg
 
Kutajwa katika jambo lolote baya hakufurahishi hata kidogo. Haijalishi mtajaji anaonyesha kujiamini kiasi gani kwa kile atakachokisema, mpaka itakapothibitika pasi na shaka ndipo tuna haki ya kuwajadili waliotajwa kwa namna itakavyothibitika. Aliyetaja kataja, waliotajwa wafanye nini? Kwanza wakumbuke hii sio ishu ya kutocheza ngoma za dudubaya au msanii mwingine yeyote, nooo tena big NO. Hii imeenda mbali zaidi na kugusa utu wao. Kuonyesha kuwa wewe una demu wako, wewe una mtoto, oooh this time yajayo yatafurahisha, hiyo ni mikwara mjusi. Both of you guys, stand up as men, walk in through court front doors, open case against the guy, and let the laws does its karma...Kuendeleza mipasho, mara linatokea jitu nalo linadai dudubaya nae bwabwa, inaonyesha ni kwa namna gani kuna panic na kutapatapa kwingi. Leo ni siku ya tatu and all of you, kimyaaaa.
Hii hapa
Screenshot_20181105-214949.jpg
 
Mimi dudu baya simwamini maana nae ana skendo ya ushoga pili na Aliowataka siwahamini kwasababu nao wana skendo ya ushoga
 
Konki kachafua hali ya hewa...mashoga wote wamechachamaa hatar sana.....Konki kapiga penyewe....inaonekana amewafukunyua wengi....
 
Umempa ushauri au umetoa duku duku lako anyway kama ni ushauri mfuate kwenye page yake ya Instagram
 
Yoyote anaempinga dudubaya, yoyote anaemponda dudubaya, yoyote anaemuona dudubaya adui....ni lazima atakuwa anawaunga mkono mashoga na vitendo vya ushoga, sasa je ukiunga mkono mashoga wewe ni nani ?
Jibu ni rahis sana....ukimuona dudubaya ni aidui maana yake wewe ni shoga na waliotajwa ni jamaa zako, na unahofu pengine tunakoendea na wewe ukatajwa.
Mwenye akili kanielewa.
 
Kwa hyo wale wote alowataja umethibitisha kuwa ni mashoga?
Wewe umethibitisha si mashoga..! Yeye kasema wapimwe wakikutwa siyo yeye yupo tayari kwenda jera..!

Ndiyo wakapimwe tujue basi, ili konk, konk Master alaumiwe.
 
Yoyote anaempinga dudubaya, yoyote anaemponda dudubaya, yoyote anaemuona dudubaya adui....ni lazima atakuwa anawaunga mkono mashoga na vitendo vya ushoga, sasa je ukiunga mkono mashoga wewe ni nani ?
Jibu ni rahis sana....ukimuona dudubaya ni aidui maana yake wewe ni shoga na waliotajwa ni jamaa zako, na unahofu pengine tunakoendea na wewe ukatajwa.
Mwenye akili kanielewa.
Hivi umesoma vizuri na kuelewa nilichoandika?
 
Wewe umethibitisha si mashoga..! Yeye kasema wapimwe wakikutwa siyo yeye yupo tayari kwenda jera..!

Ndiyo wakapimwe tujue basi, ili konk, konk Master alaumiwe.
NENDA KWANZA WEWE UKAPIMWE HIYO TIGO YAKO CHAFU KAMA NI RAHA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom