Dudubaya ni ngangaripoa?

Dudubaya ni ngangaripoa?

Ziweke tuta screen shot fasta
Mkuu wewe utakuwa na chuki binafsi na Konk Masta the Dudu. Awali nilikuelewa hujafurahishwa na dudu kutaja majina kwamba kadhalilisha.Leo kuna mtu anataka kufanya ujinga ule ule wa dudu unamuunga mkono. Acha chuki na Konk
 
Hapa ndio uwezo wetu wa kufikiri ulipofikia. Anakurupuka mtu from nowhere na kwa malengo anayojua mwenyewe anaropoka
. Fulani ni mwizi akamatwe
. Fulani ni Malaya akamatwe
. Fulani ni shoga akamatwe
Je ndio namna ya kuendesha nchi? Unafikiri fulani akishakamatwa na kupelekwa mahabusu ndio mwisho? Au ndio utakuwa umesolve tatizo?
Na ww shoga
 
Mshanajr namuelewaga kwenye simulizi/maandiko ya ushirikina tu.

Huku kwingine namuonaga mfuata upepo tu.

Dudubaya na Mshana SAWASAWA.
 
Mkuu wewe utakuwa na chuki binafsi na Konk Masta the Dudu. Awali nilikuelewa hujafurahishwa na dudu kutaja majina kwamba kadhalilisha.Leo kuna mtu anataka kufanya ujinga ule ule wa dudu unamuunga mkono. Acha chuki na Konk
Hapana nimeshambuliwa sana kwenye hii mada, siwezi kuwa na chuki na mtu... Hata mara moja.... Mada ilihusu mashaka juu ya mlengwa na si kwamba sikufurahishwa na yeye kuwataja watu fulani kwa tuhuma fulani
Lakini kwa upande mwingine ni wazi sasa JF is no longer a marketable place for discussions as per ngabu's post... Sikumhukumu bali niliweka question mark lakini uliona kikichofuatia
 
Mshanajr namuelewaga kwenye simulizi/maandiko ya ushirikina tu.

Huku kwingine namuonaga mfuata upepo tu.

Dudubaya na Mshana SAWASAWA.
Behind the fake anybody can say anything...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom