MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,654
- 48,432
Wazee wa "death to America" tazameni hii picha kisha mjiulize dua zenu huwa zinakwama wapi.
Ni taifa lililobarikiwa sana na lenye nguvu nyingi, nahisi mojawapo wa sababu kubwa ni kwa vile wanaongoza kwenye kutoa misaada duniani, hivyo wanabarikiwa sana, pia mkija kwenye masuala ya imani, wengi ni wacha Mungu, sio kama ambavyo huwa mnaaminishana, tena wana uhuru wa kuabudu tofauti na baadhi ya mataifa yakiwemo yale ya waarabu ambapo asiye wa dini yao unapitia mateso makubwa.
Japo Marekani hukera kwenye suala la ushoga lakini kwa mengine wako vizuri sana, wengi hata ambao mnajifanya kuwachukia huwa mnapambana kutafuta visa au greencard mkaishi huko, vikishindikana ndio mnabwatuka "Death to America".
Ni taifa lililobarikiwa sana na lenye nguvu nyingi, nahisi mojawapo wa sababu kubwa ni kwa vile wanaongoza kwenye kutoa misaada duniani, hivyo wanabarikiwa sana, pia mkija kwenye masuala ya imani, wengi ni wacha Mungu, sio kama ambavyo huwa mnaaminishana, tena wana uhuru wa kuabudu tofauti na baadhi ya mataifa yakiwemo yale ya waarabu ambapo asiye wa dini yao unapitia mateso makubwa.
Japo Marekani hukera kwenye suala la ushoga lakini kwa mengine wako vizuri sana, wengi hata ambao mnajifanya kuwachukia huwa mnapambana kutafuta visa au greencard mkaishi huko, vikishindikana ndio mnabwatuka "Death to America".