Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 12,941
- 25,546
Kumbe wewe mzaramo bwashee
Ni mfano tuu mkuu. 😊
Kumbe wewe mzaramo bwashee
Aaah wapi. Macho yako hayaoni vizuriHuyo mtoto ni mkali kinouma , hata live ukibahatika muona bado ni wa moto
Kwanini umezubaa mpaka akaolewa? Wahenga walinena "cheleachelea utakuta mwana si wako" ndiyo hayo sasa.Katika celebrities wanawake sijui kama kuna mzuri kuliko Dua Lipa, ameukonga sana moyo wangu, nimesikitika sasa ameolewa.
View attachment 3599071
View attachment 3599072
View attachment 3599073
View attachment 3599074