Dua Lipa ni mzuri sana

Dua Lipa ni mzuri sana

Hizi chuma nyingi hata sio hela , fuatilia kisa cha Rihanna , Jennifer Lopez na ojan noa, mhudumu wa mgahawa .

Fuatilia kisa cha Britney Spears aliwahi kuolewa kwa muda mfupi na Jason Alexander, rafiki yake wa zamani ambaye hakuwa tajiri wa maarufu .

Hawa sifikiri kama wako na njaa za kimatumbi bwashee ni wewe tu na energy yako

Tajiri, maisha yana "level" hizo level, juzi hapa Cristiano Ronaldo anasema alimpata mzazi mwenzie akiwa anauza duka la nguo; sasa hilo duka la nguo la kwenda CR7, usifikiri ni maduka kama ya vunja bei.. 😊
Mpaka CR7 kaenda pale basi ujue ni duka wanashop mabilionea.
Level ndio inakufanya ukutane na mtu flani wa aina flani. Huyo demu bila kuwa na chapaa humpati mkuu.
Miaka flan hivi mshikaji wangu, aliwahi kutana na binti wa Jacob Zuma Ibiza huko. Mchizi na yeye alikwenda kula bata mitaa ile. 😊
 
Tajiri, maisha yana "level" hizo level, juzi hapa Cristiano Ronaldo anasema alimpata mzazi mwenzie akiwa anauza duka la nguo; sasa hilo duka la nguo la kwenda CR7, usifikiri ni maduka kama ya vunja bei.. 😊
Mpaka CR7 kaenda pale basi ujue ni duka wanashop mabilionea.
Level ndio inakufanya ukutane na mtu flani wa aina flani. Huyo demu bila kuwa na chapaa humpati mkuu.
Miaka flan hivi mshikaji wangu, aliwahi kutana na binti wa Jacob Zuma Ibiza huko. Mchizi na yeye alikwenda kula bata mitaa ile. 😊
Ni kweli mkuu, ila kuna wana wameotea vyombo vya hatari na hawana kitu
 
Wachache sana mkuu! Nahisi mpaka uwe na ngekewa sana, nahisi. 😊
Ningeweka picha ya mwamba mmoja mbongo kaotea toto la kispain kali kinouma sema ni vile faragha ya mtu na huenda yupo humu😃
 
Ningeweka picha ya mwamba mmoja mbongo kaotea toto la kispain kali kinouma sema ni vile faragha ya mtu na huenda yupo humu😃

Usiweke mkuu, utamletea ngori, faragha yake ikaharibika kwa husda za watu. Hawakawii kuanza kumwita marioo. 😊
 
Usiweke mkuu, utamletea ngori, faragha yake ikaharibika kwa husda za watu. Hawakawii kuanza kumwita marioo. 😊
Kuotoea toto la kizungu kg 50- 60 halafu kali sio mchezo mkuu 😁
20260531_080913.jpg
 
Ya watu wote au wasukuma tu.?

Ila sipati picha msukuma wa kiume akioa Msambaa wa kike sijui nini kitatokea.!?

Nikiwaza nakosa pawa kabisa haya makabila yanachosha sana katika ubora wao
watu wote ndugu,, maisha yangu mwenyew yananipelekesha sasa ya watu nitawezaje

hao wasambaa wanashida gani kwani? alf mbona wasukuma wako poa sana,, na kingine sielewagi kuhusu ukabila mi huwa nadeal na mtu mmoja nilokutana nae tu
 
Dua lipa

Alizaliwa: London, Uingereza.
Asili ya familia: Kosovo (Waalbania).
Uraia: Uingereza na Albania.
 
watu wote ndugu,, maisha yangu mwenyew yananipelekesha sasa ya watu nitawezaje

hao wasambaa wanashida gani kwani? alf mbona wasukuma wako poa sana,, na kingine sielewagi kuhusu ukabila mi huwa nadeal na mtu mmoja nilokutana nae tu
Basi sawa
 
Back
Top Bottom