DSTV yauzwa kwa Canal+ kwa Trilioni 5

DSTV yauzwa kwa Canal+ kwa Trilioni 5

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
73,268
Reaction score
103,446
Kampuni ya MultiChoice ambayo ni mmiliki wa DStv na GOtv wamekubaliwa kuuzwa kwa Canal+ kampuni ya Ufaransa kwa kiasi dola bilioni 3.1 (Tsh. Trilioni 5).

MultiChoice ina wateja milioni 19.3 na pia inamiliki asilimia 49 ya BetKing.


1753690137246.png


1753690152292.png
 
Kampuni ya Multichoice ambayo ni mmiliki wa DsTV na GoTV wamekubaliwa kuuzwa kwa Canal Sports ya Ufaransa kwa kiasi cha Trilioni 5.
Wasauz wajanja sana🤣🤣wasingefika 2030...IPTV,VOD ilikuwa ndo inawamaliza Kila kukicha. Na hao Canal wawe makini sana wanaweza kupata hasara- ROI ikawa tatizo Kutokana na uraisi wa upatikanaji wa Movie na TV programs kupitia Fibre na 5G broadband
 
Dstv vimewaua vitu viwili
1 competitive rivalry within the industry
Kwa Bongo Azam..kachangia sana kuwaua hawa ndugu
Ukizingatia jamaa wanatengeneza part local content na Dstv hawana local content za kutosha
2.Threat of substitute services or products eg online Tv,app enabled tv etc
 
Back
Top Bottom