Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Toka mwezi agosti mimi nalipa kifurushi cha bomba lakini napata chaneli za Compact plus kwa mwezi wa tatu mtawalia.
Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka nimeanza kuogopa.
Je, wanaweza kunichaji zaidi siku wakinishtukia?
Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka nimeanza kuogopa.
Je, wanaweza kunichaji zaidi siku wakinishtukia?