Droo ya robo fainali kombe la Shirikisho Afrika: Simba kukipiga na Orlando Pirates

Droo ya Robo fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho kufanyika leo saa 10 jioni.

Simba Sports Club wakiwa Wawakilishi pekee wa Tanzania Wanataraji kukutana na timu moja ya TP Mazembe ya DR Congo, Al Ahly Tripoli ya Libya na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Soma: Draw Procedure: 2021-22 TotalEnergies CAF Confederation Cup Knockout Stage


Unafikiri Simba atakutana na timu gani?

===

UPDATES
Droo imefanyika na Simba SC ya Tanzania itakipiga na Orlando Pirates ya Afrika Kusini
Dah! Kweli ng'ombe wa maskini hazai! Yaani hapo Simba ana wakati mgumu. Bora hata angekutana na hao Waarab wa Libya, au Tp Mazembe!

Anyway, ngoja tusubiri tuone. Kwa sababu lolote linaweza kutokea. Maana bado hatujasahau walichofanywa kwenye mechi ya ugenini na Kaizer Chiefs msimu uliopita.
 
MANAAKE HAPO KWANZA NICHEKE

WATANI ZANGU ASANTENI KWA KUSHIRIKI, TUONANE MSIMU UJAO

MBWEMBWE ZENU ZINAISHIA ROBO FAINALI TU HAPO


ORLANDO PIRATES A.K.A ''Amabhakabhaka, The Sea Robbers, Bucs, Happy People, Buccaneers, Ezimnyama Ngenkani''
Kwa hiyo ingekuwa ni Yanga yako kauli mbiu yenu ya daima mbele ungeikana kisa umepangwa na Orlando timu uiogopayo?
 
Hujatahiriwa wewe. Mwanaume aliyekatwa govi lile haweza kuropoka ovyo ovyo na kujichekesha chekesha ovyo kama wale wadada wanaoshinda baa, kisa simba. Pumbavu. Kama we ni mwanaume unatakiwa ue kama mwanaume kweli , sio kama govi.
Sawa mkuu
 
13fba3e32f87d5fdc1a8e9bd5ad56fef.jpg
 
Droo ya Robo fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho kufanyika leo saa 10 jioni.

Simba Sports Club wakiwa Wawakilishi pekee wa Tanzania Wanataraji kukutana na timu moja ya TP Mazembe ya DR Congo, Al Ahly Tripoli ya Libya na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Soma: Draw Procedure: 2021-22 TotalEnergies CAF Confederation Cup Knockout Stage


Unafikiri Simba atakutana na timu gani?

===

UPDATES
ROBO FAINALI - CAFCC: SIMBA KUIVAA ORLANDO PIRATES

Droo ya Robo Fainali ya Michuano ya Shirikisho Barani Afrika imechezeshwa leo ambapo Klabu ya Simba kutoka Tanzania itavaana na Klabu ya Orlando Pirates kutoka Afrika Kusini

Simba ilimaliza ya pili katika Kundi D ikiwa na alama 10 sawa na kinara wa Kundi hilo, RSB Berkane. Orlando Pirates ilikuwa kinara wa kundi B ikiwa na alama 13
Hii ni pigo kwa Simba,timu nzuri ilikuwa zile za Waarabu kama iliyocheza na Biashara Al Ahly Tripoli au Al Ittihad zote za Libya

Orando ni mlima mrefu.
 
Back
Top Bottom