Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 617
- 1,565
Niliwai kusema kwamba viongozi wa Simba na wanachama wao walikuwa wamebaki kutambia mafanikio ya mechi za kimataifa misimu 4 iliyopita huku wakiibeza yanga ambayo ilikuwa inajitafuta!
Nilisema yanga ataanza kutawala ndani na kitachofata ni kutawala nje na ndicho kinachotokea kwa sasa!
Simba walibweteka na yale mafanikio ya misimu 4 nyuma wakawa wanajipiga kifua kwa kuingia robo fainali mechi za kimataifa na kuishia hapo wakati huo wenzao walikuwa na mikakati thabiti ya kutengeneza kikosi Bora na management Bora vitu ambavyo vinawalipa kwa sasa, walibezwa kuwa wamecheza fainali ya kombe la looser na timu zilizokuwepo wakadai zilikuwa ni dhaifu lakini Cha ajabu kabisa timu zile zilizokuwa kombe lile la looser ndio zimetinga robo fainali ya klabu bingwa barani Africa zikiwa na mechi moja moja mkononi!
Timu hizo ni Asec mimosas, Yanga na TP mazembe, Asec kaongoza kundi lake, Tp mazembe kaongoza kundi lake na yanga anakwenda kupambana kuongoza kundi lake!
Na wale waliocheza iyo klabu bingwa kwa sasa bado awajafuzu wanapiga hesabu za TUKI na WAKI ili waone Kama watafuzu!
Kwa maana iyo kichaka cha mafanikio ya kufika robo fainali klabu bingwa na chenyewe kimefyekwa RASMI baada ya kufyeka kile Cha kombe la shirikisho Sasa tunataka tuone watajificha Tena kwenye kichaka gani
Mechi za ndani yanga katawala na mechi za nje anakwenda kuweka historia nyingine ya kibabe kwa vitendo na sio blah blah za mitandaoni!
Nilisema yanga ataanza kutawala ndani na kitachofata ni kutawala nje na ndicho kinachotokea kwa sasa!
Simba walibweteka na yale mafanikio ya misimu 4 nyuma wakawa wanajipiga kifua kwa kuingia robo fainali mechi za kimataifa na kuishia hapo wakati huo wenzao walikuwa na mikakati thabiti ya kutengeneza kikosi Bora na management Bora vitu ambavyo vinawalipa kwa sasa, walibezwa kuwa wamecheza fainali ya kombe la looser na timu zilizokuwepo wakadai zilikuwa ni dhaifu lakini Cha ajabu kabisa timu zile zilizokuwa kombe lile la looser ndio zimetinga robo fainali ya klabu bingwa barani Africa zikiwa na mechi moja moja mkononi!
Timu hizo ni Asec mimosas, Yanga na TP mazembe, Asec kaongoza kundi lake, Tp mazembe kaongoza kundi lake na yanga anakwenda kupambana kuongoza kundi lake!
Na wale waliocheza iyo klabu bingwa kwa sasa bado awajafuzu wanapiga hesabu za TUKI na WAKI ili waone Kama watafuzu!
Kwa maana iyo kichaka cha mafanikio ya kufika robo fainali klabu bingwa na chenyewe kimefyekwa RASMI baada ya kufyeka kile Cha kombe la shirikisho Sasa tunataka tuone watajificha Tena kwenye kichaka gani
Mechi za ndani yanga katawala na mechi za nje anakwenda kuweka historia nyingine ya kibabe kwa vitendo na sio blah blah za mitandaoni!