Simba sasa kuamua wa kuambatana naye Robo Fainali ya CAFCL

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,151
7,922
Uongozi wa Klabu ya Simba baada ya kuona upweke wa kila msimu kuvuka hatua ya makundi hadi Robo Fainali katika mashindano ya CAFCL na kila mara kuwa timu pekee kutoka Tanzania, umeamua kuanzia msimu huu kuanza kuambatana na timu mojawapo ya ligi ya NBC itakayokidhi vigezo itakavyoweka.

Msimu huu upendeleo na bahati hii umeiangukia Yanga Afrika. Kumekuwa na mgawanyiko mkubwa ndani ya uongozi wa Simba kuhusu huu uchaguzi wa Yanga huku nusu ya wajumbe wakipinga na nusu wakiunga mkono wakitumia sababu za kizalendo.

Bado haijajulikana ni timu gani ambayo Simba itaamua iambatane nayo msimu ujao katika hatua hizi za wakubwa wa soka la Africa ila kuna uwezekano isiwe tena Yanga maana toka Simba iichague Yanga, hawa wateule wameonekana kulitia aibu taifa kwa kwenda kushangaa shangaa vikombe na jezi za Al Ahly huku wakiwatabiria mengi makubwa ambayo hata wenyewe hawajitabirii, jambo lililoitia aibu sana taifa.
 
Uongozi wa Klabu ya Simba baada ya kuona upweke wa kila msimu kuvuka hatua ya makundi hadi Robo Fainali katika mashindano ya CAFCL na kila mara kuwa timu pekee kutoka Tanzania, umeamua kuanzia msimu huu kuanza kuambatana na timu mojawapo ya ligi ya NBC itakayokidhi vigezo itakavyoweka.

jezi za Al Ahly huku wakiwatabiria mengi makubwa ambayo hata wenyewe hawajitabirii, jambo lililoitia aibu sana taifa.
Mlisema hatufiki robo...tukicheza fainali mtakufa na kihoro
 
Uongozi wa Klabu ya Simba baada ya kuona upweke wa kila msimu kuvuka hatua ya makundi hadi Robo Fainali katika mashindano ya CAFCL na kila mara kuwa timu pekee kutoka Tanzania, umeamua kuanzia msimu huu kuanza kuambatana na timu mojawapo ya ligi ya NBC itakayokidhi vigezo itakavyoweka.

Msimu huu upendeleo na bahati hii umeiangukia Yanga Afrika. Kumekuwa na mgawanyiko mkubwa ndani ya uongozi wa Simba kuhusu huu uchaguzi wa Yanga huku nusu ya wajumbe wakipinga na nusu wakiunga mkono wakitumia sababu za kizalendo.

Bado haijajulikana ni timu gani ambayo Simba itaamua iambatane nayo msimu ujao katika hatua hizi za wakubwa wa soka la Africa ila kuna uwezekano isiwe tena Yanga maana toka Simba iichague Yanga, hawa wateule wameonekana kulitia aibu taifa kwa kwenda kushangaa shangaa vikombe na jezi za Al Ahly huku wakiwatabiria mengi makubwa ambayo hata wenyewe hawajitabirii, jambo lililoitia aibu sana taifa.
Akili kubwa siku zote utawala akili ndogo, ili uweze kuelewa alichokimaanisha Eng.hersi ni mpaka akili yako iwe sawa sawa kwa 100%
But ukiwa na akili za kimangungu Wala uwezi kuelewa kitu!
 
Alichokiongea Hersi kinahitaji utulize kichwa ili kujua alichokimaanisha

Akili kubwa siku zote utawala akili ndogo, ili uweze kuelewa alichokimaanisha Eng.hersi ni mpaka akili yako iwe sawa sawa kwa 100%
But ukiwa na akili za kimangungu Wala uwezi kuelewa kitu!
Hakuna cha kutuliza kichwa au akili kubwa. Mbona yule bonge wa Galaxy hamkumfundisha hizo akili kubwa? Hersi kama alitaka kuwa mnafki pro max angetisha sana angeitaja Simba, kwanza angeonekana mzalendo....
 
Kweli Rage aliwaza mbali sana pale alipo wafokea kwa sauti na kuwaita mbumbumbu hadharani.

Mlisema Yanga haina uwezo wa kuvuka hatua ya makundi, na pia kuingia robo fainali! Na badala yake, eti uwezo wake ni Kombe la shirikisho tu! Yanga hiyo hiyo kwa mwaka wa 2 huu mfululizo anashiriki kama Bingwa wa Ligi kuu, huku timu yenu ikishiriki kupitia viti maaalum kwa mara ya pili hii!

Yanga alifuzu hiyo hatua ya robo fainali huku akiwa na mchezo mmoja mkononi, huku nyinyi mkisubiria mpaka mchezo wa mwisho! Halafu unajikosha eti!! 😱
 
Uongozi wa Klabu ya Simba baada ya kuona upweke wa kila msimu kuvuka hatua ya makundi hadi Robo Fainali katika mashindano ya CAFCL na kila mara kuwa timu pekee kutoka Tanzania, umeamua kuanzia msimu huu kuanza kuambatana na timu mojawapo ya ligi ya NBC itakayokidhi vigezo itakavyoweka.

Msimu huu upendeleo na bahati hii umeiangukia Yanga Afrika. Kumekuwa na mgawanyiko mkubwa ndani ya uongozi wa Simba kuhusu huu uchaguzi wa Yanga huku nusu ya wajumbe wakipinga na nusu wakiunga mkono wakitumia sababu za kizalendo.

Bado haijajulikana ni timu gani ambayo Simba itaamua iambatane nayo msimu ujao katika hatua hizi za wakubwa wa soka la Africa ila kuna uwezekano isiwe tena Yanga maana toka Simba iichague Yanga, hawa wateule wameonekana kulitia aibu taifa kwa kwenda kushangaa shangaa vikombe na jezi za Al Ahly huku wakiwatabiria mengi makubwa ambayo hata wenyewe hawajitabirii, jambo lililoitia aibu sana taifa.
Jf mataira yanazidi kila siku nadhani pia upweke na ugumu wa maisha unachangia.
 
Siku hizi zile kauli zenu za "...hii championship sio confederation.......huku hamna Malumo Gallant.......huku kwa wanaume........." hatuzisikii kabisa.

Endeleeni kujifariji, si tunaendelea kutoboa.
Tunawakejeli ili mkue. Hasira tunazowapandikiza ndiyo zinawafanya mpambane
 
Kweli Rage aliwaza mbali sana pale alipo wafokea kwa sauti na kuwaita mbumbumbu hadharani.

Mlisema Yanga haina uwezo wa kuvuka hatua ya makundi, na pia kuingia robo fainali! Na badala yake, eti uwezo wake ni Kombe la shirikisho tu! Yanga hiyo hiyo kwa mwaka wa 2 huu mfululizo anashiriki kama Bingwa wa Ligi kuu, huku timu yenu ikishiriki kupitia viti maaalum kwa mara ya pili hii!

Yanga alifuzu hiyo hatua ya robo fainali huku akiwa na mchezo mmoja mkononi, huku nyinyi mkisubiria mpaka mchezo wa mwisho! Halafu unajikosha eti!! 😱
Dah hili povu la OMO kabisa....
 
Back
Top Bottom