Dr. Ulimboka is smart and good Now..


na hawa wanaokufa sasa hivi je???,maana mkuu wa kaya ameenda kwa obama kuchek afya,mbona hakwenda muhimbili???
 

kufa ni ahadi sio had mgomo utokee,watu wanataabika muhimbili na bado wanakufa,,,Dr.Mvungi alipopelekwa Mhimbili akapelekwa Agakhan akafanyiwe CT SCAN,WHY NOT MUHIMBILI????Then wakamkimbiza SA,why not Tanzania???,mbunge wako anakwenda Apollo,waziri wa fedha yuko wapi?Manumba alilazwa Agakhan kisha SA,
 

Kweli kabisa...kuna vitu vya kuletea siasa ila sio maisha ya watu...ni ukosefu wa utu.......
 

kufa si ahadi japo najua ni lazima . wakati mwingine matibabu mabovu.huduma mbaya na migomo ya madaktari upelekea vifo vya wagonjwa
 
Ni kweli mkuu mgomo wenyewe ulikuwa wa kishamba mambo mengine hayatekelezeki kabisa halafu wao wamekomaa lakini ni wazi kuwa walikuwa na lao jambo siyo bure.

Hujui unalosema. Watanzania wengi hupoteza maisha kwa kukosa huduma bora za matibabu. Hospitali zipo lakini hazina vifaa, akina mama wanapoteza maisha, watoto under fives wanakufa kila kukicha kwa magonjwa yanayotibika
. hizi ndio concerns za madaktari. Wala sio mshahara kama mlivyopotoshwa
 
na hawa wanaokufa sasa hivi je???,maana mkuu wa kaya ameenda kwa obama kuchek afya,mbona hakwenda muhimbili???

uyo mkuu wa kaya alijichagua mwenyewe? kama ni kiongozi wa mbaya wakupewa lawama ni nyie mnaopiga kura.

mnaokubali kupewa kofia na kanga za bure
 
Ni upunguani kutetea madaktari ambao wanashinda baa mida ya kazi......wauguzi wanaotukana wagomjwa......labda kama haijawahi kukutokea.....
 

Hakika utakufa
 
Hiyo title ya 'he is smart and good now' unataka kutuambiaje? Hukumuuliza ile press confference ataifanya lini juu ya kipigo chake?
 
Haya yapo kila nchi sio tz tu labda uwe hujatembea duniani. Na kama unaamini kifo ni ahadi basi usilalamike hata hao wanaotibiwa kwa uhakika watakufa tuu hata kama CT SCAN zitakuwepo kila wilaya bado kifo kitabaki palepale
 

Huduma zenyewe zinahusu mhudumu makini........dawa za bure wanatuuzia,mgonjwa mahututi wanampuuzia....Aisee mtu asiniambie kitu.....These people are sooooo cruel...
 
Maendeleo Hasi yanaletwa na sisi watanzania wenyewe kwa kupenda Ushabiki badala ya kuchukua hatua madhubuti zenye mlengo wa kusaidia.....Watanzania tunapenda kuongea sana na kulaumu....hapa ndipo naona umuhimu wa ile film ya The Late Kanumba...'Kijiji Cha Tambua Haki'....wanaotuumiza ni wenzetu walioko kwenye lower ranks za uongozi....ila kwakuwa tunapenda majungu na udaku basi tutakesha tunamlaumu Raisi siku nzima...kwa lipi?WIVU TUUU(wengi hawatakubali huu ukweli)lakini siasa za kumponda Raisi nyingi ni za ki-uadui na kijicho pembe...Yeees....unajua kwa nini?sababu ndio tulivyo mitaani kwetu...tutatafuta wa kumlaumu tuuu bila jitihada za kimaendeleo sisi kwa sisi....ule mgomo walitakiwa wafanye wananchi na si madaktari......
 
Huduma zenyewe zinahusu mhudumu makini........dawa za bure wanatuuzia,mgonjwa mahututi wanampuuzia....Aisee mtu asiniambie kitu.....These people are sooooo cruel...

Sasa ndugu yangu, huyo mgonjwa mahututi atahudumiwaje kama vifaa Hamna?
 
Sasa ndugu yangu, huyo mgonjwa mahututi atahudumiwaje kama vifaa Hamna?

Ushawahi kuona mgonjwa mwenye hela anavyochangamkiwa Temeke au Muhimbili...nikuulize....vifaa vinakuwa vimetoka wapi ghafla?
 

Kufanya kazi katika mazingira magumu ni sababu tosha za kugoma
 

Laana utaipata wewe kwa upotoshaji lengo kuu la madakitari kwa mgomo ule halikuwa vitendea kazi hii ilikuwa ni kuzuga na kutafuta kuungwa mkono na mass tu ukweli ulibaki kuwa ni Maslahi ya kazi tu na ndio maana hawakuwa tayari kurudi kazini hata vifo vilipoongezeka kwa athari za mgomo wao wa Kipumbavu......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…