Weeweee Dr slaa haingii kwa lowasa. Nani atampa urasi nyumba yake imemshinda ataongozaje nchi? Kwanza magumu. Mkanda mdini visa do hela ya chama anakula na mbowe wachagga hawa nani atawapa nchi
Dr.Wilbrod Peter Slaa ni mtu makini sana. Iko siku atatuongoza kama nchi.Tumuombee na kumsaidia
weeweee dr slaa haingii kwa lowasa. Nani atampa urasi nyumba yake imemshinda ataongozaje nchi? Kwanza magumu. Mkanda mdini visa do hela ya chama anakula na mbowe wachagga hawa nani atawapa nchi
Dr.Wilbrod Peter
Slaa ni mtu makini sana. Iko siku atatuongoza kama nchi.Tumuombee na
kumsaidia
Kumbe siku hizi kuzini na kuiba wake za watu ni umakini sana. Ewe Mungu ulipige hilo parapanda maana dunia ya sasa imejaa ufedhali maana mbaya sasa ni mwema na kinyume chake ni kweli
Dr.Slaa anahuzunika sana mnavyomsanifu namna hii ilihali anajua kuwa hakubaliki tena Tanzania.
Dr.Slaa anahuzunika sana mnavyomsanifu namna hii ilihali anajua kuwa hakubaliki tena Tanzania.