Dr. Wilbrod Slaa ameshagombea uraisi na kiukweli alishinda kabla manyang'au hayajachakachua. Je Lowasa naye aligombea nafasi gani kubwa zaidi ya ubunge? Wabunge wengi wa CHADEMA wapo Bungeni kutokana na juhudi za Slaa. Je wangapi wapo Bungeni kwa juhudi za Lowasa? Yuko wapi Sioi Sumary? Yuko wapi Batilda Buriani?
Ana historia ndefu ya kushindwa kujibu swali la Mwalimu Nyerere tangu mwaka 1995 hadi leo kwamba "Utajiri wake aliupata wapi'!? Wakati alikua mtumishi wa umma siku zote.Hadi leo kashindwa kujibu swali linalohusu maisha yake mwenyewe,atajibu maswali gani yanayohusu watanazania zaidi ya milioni 45?
Saikolojia yake imemshinda ataweza Saijolojia ya watu Milioni 45? Labda kama anaongozwa na falsafa ya waganga wa kienyeji ya kutoa utajiri kwa watu huku yeye mwenyewe hajitambui
Jifariji hahah mnapigwa za uso tu nyambaf
JF ingekuwa ndo inatuchagulia rais Slaa angeshinda 2010
Isipokuwa mnataka wauza bwimbwi?hatutaki wauza gongo
kwa kuwa nec ndo wanatuchagulia. Sikushangaa kwa matokeo yale.
JF ingekuwa ndo inatuchagulia rais Slaa angeshinda 2010
na utaendelea kutoshangaa hata 2015.