Ruttashobolwa, kwa ufahamisho tu; kati ya watu karibu milioni ishirini waliojiandikisha kupiga kura mwaka 2010, Jakaya Mrisho Kikwete aliambulia kura milioni tano tu! Ajabu ni kwamba pamoja na kupata robo tu ya wapiga kura, tume ya uchaguzi (CCM na TISS) ikamtangaza kama mshindi! Je umewahi kujiuliza kura zaidi ya milioni kumi na mbili zilipotelea wapi?
Rais chaguo la ukweli Rais wa miyoyo ya watanzania Rais mzalendo toka CHADEMA YATOSHA
CHADEMA MPANGO MZIMA
CHADEMA HABARI KAMILI
M4C-OPERATION PAMOJA DAIMA
hapa jukwaani si salama kwani % kubwa ni wapenzi wa dr na chadema kwa ujumla. Nimeona hapo kwenye matoke dr kamfunika el na hata hao waliompa kura el ni jamaa wa buku 7 fc.