Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Mpaka sasa nani anaongoza?maana nimeenada pale kwenye..nimeona kuwa EL81%,Dr slaa 04%,Anayefahamu anijibu.
 
Mpaka sasa nani anaongoza?maana nimeenada pale kwenye poll results nimeona kuwa EL81%,Dr slaa 04%,Anayefahamu anijibu.
 
..dr slaaa wa ukweeeeh ! Ngoja nawashe laptop.,.
 
Dr Yuleeeeeee anakaribia ikulu lowasa ndo kwanza anapiga mswaki kura yangu kwa dr
 
Wale wanaonufaika na rushwa, ufisadi na ujinga mwengine ndio wataoipigia kura CCM.
 
dr slaaaa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…