Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,934
- 1,294
Wewe ni mlaghaika...
Hawa mamburula wanadhani Slaa ni Mungu hakosei!
Wewe ni mlaghaika...
Siku hizi hata mtu akigombana na mke wake atasema ni Zitto wadanganyika bwana!
Wewe ni mlaghaika...
Mkuu ZeMarcopolo hebu acheni kupika majungu ya wakina Zitto kama haya ya gongo ili kumfitisha mzee wa watu, jueni ipo siku mtapata laana.
Naona babu sasa amegeuka kuwa ze komedy
Mimi nitaongea na kina Mpoki wamchukue kwenye show zao , atafaa sana
Source?...
Dr kachemka hadi katokota. Ni nani aliyemwambia SIDO wanatengeneza mitambo ya gongo. Hii nchi tusipoangalia tutakuja kuwapa wenda wazimu.
Padri Mstaafu.......gongo!
Makamada wote ajira ajira ajira, Mohamedi Mtoi Mwita Maranya Mungi, Crashwise Godbless J Lema Feedback Molemo Matola ASHA Mohamed BAK Sikonge Mag3 Jasusi Mzito Kabwela Ben Sanane na makamanda wengine.
Jipangeni siku Chadema wakichukuwa nchi wote nyie mtakuwa mnamiliki viwanda vya Gongo.
Hali mbaya kwa Dr.Slaa baada ya kuona albamu yake ya ufisadi imefulia sasa kaamua kutoka ni single ya Gongo.
Naona babu sasa amegeuka kuwa ze komedy
Mimi nitaongea na kina Mpoki wamchukue kwenye show zao , atafaa sana
Gongo na konyagi vina tofauti gani?nenda kamuulize boss wako bajeti ya Tanzania inategemea chanzo gani?akikujibu uje tena hapa.