Kauli ya Waziri wa Fedha kuhusu kuadimika kwa Dola nchini

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu. Nchemba amesema licha ya nchi ya Marekani kuja na sera ya kupunguza dola katika mzunguko, Tanzania. bado ina unafuu kwa kuwa haijapata athari kubwa kulinganisha na nchi zingine. kutokana ná mikakati iliyowekwa na serikali.

Alitoa, kauli hiyo jana wakati wa harambe ya kuchangia ujenzi wa shule mbili za sekondari za Kiomboi .na Kititimo iliyoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kati-Singida.

Waziri huyo alisema hatua ya Marekani na mataifa mengine makubwa kuja "na sera hiyo ya kupunguza dola inay. otumika kama sarafu ya. kubadilishana katika biashara imefanya mazingira magumu kwa nchi zinazoendelea na zilizoendelea kwa kuwa bidhaa nyingi zinaagizwa kwa kutumia dola."

"Tunaona mambo kama vile ni magumu, lakini Tanzania tukijilinganisha na nchi zingine bado tuna unafuu na hata tukikutana mawaziri wa fedha, mimi ninaombwa kupiga picha nyingi sana kwa sababu va hali ya uchumi ilivyo nzuri katika nchi yetu," alisema.

Dk. Mwigulu aliongeza kuwa, katika kukabiliana na changamoto ya uzalishaji duni, Rais Samia Suluhu Hassan. amepandisha bajeti ya kilimo mara nne, ili kupeleka miundombinu ya umwagiliaji, ii kuongeza uzalishaji wa mazao. Hilo litawafanya wananchi kuvuna mazao kwa wingi na hivyo kuondokana na umaskini.

"Ni, lazima tuipeleke nguvu kazi ka-zini ili iwe kazini kuongeza kipato cha mtu mmoja kwani shughuli za uzalishai. ndizo zinazokuza kipato cha mitu mmoja mmoja," alisema.
 
Unafuu wa kuadimika kwa dola Tanzania unatokana na fact tuna exoport hasa coal
East africa yote inanunua coal kwetu na vita ya ukrain imesababisha uhaba mkubwa wa nishati hiyio huko ilaya meli kubwa kubwa zinatia nanga mtwara na dar zikibeba malaki ya tani
Coal inauzwa kwa dola
 
Unafuu wa kuadimika kwa dola Tanzania unatokana na fact tuna exoport hasa coal
East africa yote inanunua coal kwetu na vita ya ukrain imesababisha uhaba mkubwa wa nishati hiyio huko ilaya meli kubwa kubwa zinatia nanga mtwara na dar zikibeba malaki ya tani
Coal inauzwa kwa dola
Hii imeniongezea ufahamu, asante
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu. Nchemba amesema licha ya nchi ya Marekani kuja na sera ya kupunguza dola katika mzunguko, Tanzania. bado ina unafuu kwa kuwa haijapata athari kubwa kulinganisha na nchi zingine. kutokana ná mikakati iliyowekwa na serikali.

Alitoa, kauli hiyo jana wakati wa harambe ya kuchangia ujenzi wa shule mbili za sekondari za Kiomboi .na Kititimo iliyoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kati-Singida.

Waziri huyo alisema hatua ya Marekani na mataifa mengine makubwa kuja "na sera hiyo ya kupunguza dola inay. otumika kama sarafu ya. kubadilishana katika biashara imefanya mazingira magumu kwa nchi zinazoendelea na zilizoendelea kwa kuwa bidhaa nyingi zinaagizwa kwa kutumia dola."

"Tunaona mambo kama vile ni magumu, lakini Tanzania tukijilinganisha na nchi zingine bado tuna unafuu na hata tukikutana mawaziri wa fedha, mimi ninaombwa kupiga picha nyingi sana kwa sababu va hali ya uchumi ilivyo nzuri katika nchi yetu," alisema.

Dk. Mwigulu aliongeza kuwa, katika kukabiliana na changamoto ya uzalishaji duni, Rais Samia Suluhu Hassan. amepandisha bajeti ya kilimo mara nne, ili kupeleka miundombinu ya umwagiliaji, ii kuongeza uzalishaji wa mazao. Hilo litawafanya wananchi kuvuna mazao kwa wingi na hivyo kuondokana na umaskini.

"Ni, lazima tuipeleke nguvu kazi ka-zini ili iwe kazini kuongeza kipato cha mtu mmoja kwani shughuli za uzalishai. ndizo zinazokuza kipato cha mitu mmoja mmoja," alisema.
Huyu Mwigulu anaongea utafikiri ni chekechea wa Uchumi.
Anashindwaje kuelezea ni jinsi ipi Tanzania kama nchi una upungufu wa fedha ya dola.

Hajui kuwa wananchi wa kawaida ambao tumeenda shule , tunajua makosa ya wizara yake na serikali kwa ujumla, kuto control Dollar Flight.

Serikali imekazana kuwapa tenda makampuni ya nje, hasa wachina.
Wao . hayo makampuni ya nje, kila hela wanayolipwa kwa fedha za madafu wanafukuzia kununua Dollar na kuisafirisha nje!
Hilo huyu Dr wa mchongo Mwigulu halielwi?
 
Putin apewe maua yake.
20230412_001418.jpg
 
Unafuu wa kuadimika kwa dola Tanzania unatokana na fact tuna exoport hasa coal
East africa yote inanunua coal kwetu na vita ya ukrain imesababisha uhaba mkubwa wa nishati hiyio huko ilaya meli kubwa kubwa zinatia nanga mtwara na dar zikibeba malaki ya tani
Coal inauzwa kwa dola
sasa kama tunwauzia watu coal kwa DOLA si ilibdiii bank zijaee dolar.. naona ulichosema hakiendani na hali iliyopo.
 
Aahaaaaa

"Tunaona mambo kama vile ni magumu, lakini Tanzania tukijilinganisha na nchi zingine bado tuna unafuu na hata tukikutana mawaziri wa fedha, mimi ninaombwa kupiga picha nyingi sana kwa sababu va hali ya uchumi ilivyo nzuri katika nchi yetu," alisema."
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu. Nchemba amesema licha ya nchi ya Marekani kuja na sera ya kupunguza dola katika mzunguko, Tanzania. bado ina unafuu kwa kuwa haijapata athari kubwa kulinganisha na nchi zingine. kutokana ná mikakati iliyowekwa na serikali.
Sijui huyu mtu kama anajua ukubwa wa tatizo!
Hawa ndio viongozi tunaotarajia watutoe ktk hali ya uchumi mbaya tulio nao!
 
Aahaaaaa

"Tunaona mambo kama vile ni magumu, lakini Tanzania tukijilinganisha na nchi zingine bado tuna unafuu na hata tukikutana mawaziri wa fedha, mimi ninaombwa kupiga picha nyingi sana kwa sababu va hali ya uchumi ilivyo nzuri katika nchi yetu," alisema."
Waziri mpumbavu kuwahi kutokea.
 
sasa kama tunwauzia watu coal kwa DOLA si ilibdiii bank zijaee dolar.. naona ulichosema hakiendani na hali iliyopo.
Huo wi:zi wa matrilioni unadhani zinaibwa pesa zipi kama sio hizo dola? Hao wanaoiba hizo pesa unadhani wanaweka kwenye benki za hapa nchini?
Ufisadi nao unachangia dollar deficiency maana wanaiba na kwenda kuficha pesa nje
 
Huo wi:zi wa matrilioni unadhani zinaibwa pesa zipi kama sio hizo dola? Hao wanaoiba unadhani wanaweka kqenye benki za hapa nchini?
ohoo hapo sasaa... yani mwigu aache kutorosha dollar apambane na madafuuu.. janu nae abebe za kwakeee :D :D :D
 
Hizo hadithi za kuombwa kupiga picha zimeharibu maudhui ya meseji yako Mh Waziri; zimefifisha usahihi na thamani ya ujumbe (hata kama ni kweli kwamba tuna nafuu)
 
Back
Top Bottom