Kwa gongo au viroba.SLAA kiboko ya magamba
Baadhi ya States huko Marekani wameligalize bangi(Marijuana) ili kuziingizia states mapato. Gongo sio kinywaji kibaya ni kwa kuwa tu kinatengenezwa katika mazingira machafu na bila kutumia ingredients salama. Watanzania wa vijijini hawawezi kuacha kunywa gongo kama sheria hazitabadilishwa kuruhusu gongo kuwa kinywaji halali na kitozwe kodi. Kwa njia hiyo bei haitakuwa rahisi kama ilivyo sasa ambapo ndio sababu watu wenye kipato kidogo wanamudu. I support Dr Slaa kwa hili. Ni chanzo kizuri cha mapatoNadhani anathibitisha kuwa hiki chama cha wanywa viroba. Hivi huyu dokt ndie alitaka kuwa rais??
Baadhi ya States huko Marekani wameligalize bangi(Marijuana) ili kuziingizia states mapato. Gongo sio kinywaji kibaya ni kwa kuwa tu kinatengenezwa katika mazingira machafu na bila kutumia ingredients salama. Watanzania wa vijijini hawawezi kuacha kunywa gongo kama sheria hazitabadilishwa kuruhusu gongo kuwa kinywaji halali na kitozwe kodi. Kwa njia hiyo bei haitakuwa rahisi kama ilivyo sasa ambapo ndio sababu watu wenye kipato kidogo wanamudu. I support Dr Slaa kwa hili. Ni chanzo kizuri cha mapato
Pole sana mkuu. Hivi binadamu ana miguu mingapi, sita ee?
Wewe kweli ni ichondi hajasema bangi amesema gongo.
Nadhani anathibitisha kuwa hiki chama cha wanywa viroba. Hivi huyu dokt ndie alitaka kuwa rais??
Tofauti ya gongo na konyagi ni urasimishaji na kulipia kodi. Wajanja wameliona hilo wakaiweka kwenye packet wakaita viroba, wakalipa kodi ikaondolewa kwenye kundi la haramu. Binafsi sioni tatizo hapo
Tofauti ya gongo na konyagi ni urasimishaji na kulipia kodi. Wajanja wameliona hilo wakaiweka kwenye packet wakaita viroba, wakalipa kodi ikaondolewa kwenye kundi la haramu. Binafsi sioni tatizo hapo
ulishasikia uganda waragi na nyingine za jinsi hiyo? Hiyo ni gongo iliyo halali Uganda. Why not in Tz?Haya kazi kwenu Great Thinkers!Inawezekana kweli hiyo au just political gimick?
mmeona hayo mbona waziri anabaka anaendelea kuhifadhiwa!kwa hiyo kwenu wsbakaji hakuna shida,shida ni gongo?mme fi li gi twa!mboma hamjaandamana valuu mnaletewa?
Baadhi ya States huko Marekani wameligalize bangi(Marijuana) ili kuziingizia states mapato. Gongo sio kinywaji kibaya ni kwa kuwa tu kinatengenezwa katika mazingira machafu na bila kutumia ingredients salama. Watanzania wa vijijini hawawezi kuacha kunywa gongo kama sheria hazitabadilishwa kuruhusu gongo kuwa kinywaji halali na kitozwe kodi. Kwa njia hiyo bei haitakuwa rahisi kama ilivyo sasa ambapo ndio sababu watu wenye kipato kidogo wanamudu. I support Dr Slaa kwa hili. Ni chanzo kizuri cha mapato