SHEIKH FARID
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 281
- 107
Ni wazo zuri nadhani makamanda wa Arusha watapata ajira ya kuuza gongo.
Teh teh teh habari njema kwa watu wa kambi ya fisi
Cc Mungi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wazo zuri nadhani makamanda wa Arusha watapata ajira ya kuuza gongo.
Gongo=viroba, kwani viroba vinauzwa mafichoni? Msimuonee wivu dr kwa ubunifu wa ajira
Haya ndo matatizo ya ushabiki wa kisiasa, hebu kajifunze ujue kwanini konyagi, au VIROBA vinaruhusiwa? Na iwapo gongo nayo itarasimishwa haitokuwa gongo tena Bali something else! Mojawapo ya mambo yatakayotakiwa ni quality assuaranceTofauti ya gongo na konyagi ni urasimishaji na kulipia kodi. Wajanja wameliona hilo wakaiweka kwenye packet wakaita viroba, wakalipa kodi ikaondolewa kwenye kundi la haramu. Binafsi sioni tatizo hapo
ulishasikia uganda waragi na nyingine za jinsi hiyo? Hiyo ni gongo iliyo halali Uganda. Why not in Tz?
Tatizo lipo mkuu unazani hiyo gongo inunuliwe na wenye viwanda, bado itauzwa kwa bei hii sasa ya kienyeji, na wenye viwanda watakubari kununua kwa bei ya wapikaji? kwani kojagi sasa wanakatwazwa kununua malighafi ya kutengenezea gongo alafu kutengeneza konyagi?Tofauti ya gongo na konyagi ni urasimishaji na kulipia kodi. Wajanja wameliona hilo wakaiweka kwenye packet wakaita viroba, wakalipa kodi ikaondolewa kwenye kundi la haramu. Binafsi sioni tatizo hapo
Wakuu gongo tena? Siamini hii habari labda mkuu atupe source nyingine mahususi ya habari maana nipashe walishanunuliwa siku nyingi, Au kama si hivyo huyu atakuwa ni Zitto kaipika hii habari ili kufitinisha watu.
Utumwa wa akili na kuiga kila kitu cha nje utaacha lini?
Yaani na kusoma kwako koote kumbe uliyoyasoma uliyaacha katika vitabu...?!!!
Kweli bana ndo maana hata ule mfumo wa kuoana jinsia moja mliupitisha haraka bila pingamizi, yoote ni kwa sababu tu walisema Waingereza/wazungu,
Hongera kwako mwenye kifurushi cha marijuana kichwani,
Si kosa lako kwa uliyoandika ni kosa la kukubali kuwa mtumwa wa fikra,
Endelea kuwa wa kuambiwa kila kitu, nadhani hata ukiambiwa kuolewa hutopinga kwakuwa Wazungu wamesema.
Wakuu gongo tena? Siamini hii habari labda mkuu atupe source nyingine mahususi ya habari maana nipashe walishanunuliwa siku nyingi, Au kama si hivyo huyu atakuwa ni Zitto kaipika hii habari ili kufitinisha watu.
Haya ndo matatizo ya ushabiki wa kisiasa, hebu kajifunze ujue kwanini konyagi, au VIROBA vinaruhusiwa? Na iwapo gongo nayo itarasimishwa haitokuwa gongo tena Bali something else! Mojawapo ya mambo yatakayotakiwa ni quality assuarance
Utumwa wa akili na kuiga kila kitu cha nje utaacha lini?
Yaani na kusoma kwako koote kumbe uliyoyasoma uliyaacha katika vitabu...?!!!
Kweli bana ndo maana hata ule mfumo wa kuoana jinsia moja mliupitisha haraka bila pingamizi, yoote ni kwa sababu tu walisema Waingereza/wazungu,
Hongera kwako mwenye kifurushi cha marijuana kichwani,
Si kosa lako kwa uliyoandika ni kosa la kukubali kuwa mtumwa wa fikra,
Endelea kuwa wa kuambiwa kila kitu, nadhani hata ukiambiwa kuolewa hutopinga kwakuwa Wazungu wamesema.
Mkuu usichoamini ni nini. Hivi wewe ulikuwa unamtegemea slaa atakuwa rais?
Hivi kuna vitu unaamini kutoka Dr.Slaa kwa hiyo unapingana na kauli ya Dr.Slaa,Wakuu gongo tena? Siamini hii habari labda mkuu atupe source nyingine mahususi ya habari maana nipashe walishanunuliwa siku nyingi, Au kama si hivyo huyu atakuwa ni Zitto kaipika hii habari ili kufitinisha watu.
Mkuu siamini hii habari! Over.
Zitto anazungumzia maswala mazito ya kitaifa elimu, nishati ya umeme na madini, ufanisi katika manunuzi kwenye mashirika ya umma yeye anawaza chadema ikiingia ikulu waanze kutengeneza gongo. Anachefua sana.