tokea ujiunge jf hujawahi kuongea point,jitahidi basi hata siku moja!kweli Ukawa wanaweweseka na machine za Ccm. huyu mama kweli ni mashine isiyochuja ktk nyanja ya siasa. ukiondoa mzee wa Pamba nyeupe kula yangu lazima apate. akinamama lazima mjidai kwa kuwa na mama mwadilifu.
kweli Ukawa wanaweweseka na machine za Ccm. huyu mama kweli ni mashine isiyochuja ktk nyanja ya siasa. ukiondoa mzee wa Pamba nyeupe kula yangu lazima apate. akinamama lazima mjidai kwa kuwa na mama mwadilifu.
Mama Tibaijuka hahitaji kujisafisha kwani tayari ni msafiWewe utakuwa Mama Tibaijuka
Unajisifia mwenyewe!
Kama wewe aisee. Kutwa unatema pumba tutokea ujiunge jf hujawahi kuongea point,jitahidi basi hata siku moja!
Duh! Bahati nzuri ni kuwa Lumumba tuna kila aina ya vijana. Pia kuna vijana wa kila kalina wanasupport CCM ambao wapo kila kona ya dunia hiiningekuwa mm ndiye nawalipa vijana wa lumumba,ninge ku disqualify.
Kwani ndani ya CHADEMA kuna nani anafaa kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi?Tibaijuka huyu ambaye Hata uwezo wa Kuwa Balozi hana? Jiangalie usije ukasandwa kama Kisandu.
Mmmmmh'ahanza' ndo nini?
Dr Slaa ahanza mazungumzo ya siri na Prof. Anna Tibaijuka ili ajiynge na Chadema na mgombea Urais. Aliendelea kumshawishi na kumuhakikishia kwamba wao kama ukawa wamefikia maamuzi hayo na yeye kuteuliwa kufanya juu chini ya kuanza mazungumzo ya kumshawishi ili aweze kuwa mgombea kwa upande wa Ukawa kwa kuwa wao wamemwona ni mwanamama mchapa kazi na ni Mtanzania wa kwanza kufanya kazi UN kwa muda mref wa miaka 17 bila kuboronga. pia so fisadi na ni mwadilifu ktk kila sects alizofanya kazi tens kea uledi wa hali ya juu. Nduguzangu nawaombeni mlio Malibu na Prof. mumshauli asikubali kuungana na wachumia tumbo. source Lwakatare
pumbafu kabisa, yaani hilo jimama ndo ligombee ukawa? nitakunya barabarani. mbuuu
Tena mnao wengi kweli mkuu, cheki hawaDuh! Bahati nzuri ni kuwa Lumumba tuna kila aina ya vijana. Pia kuna vijana wa kila kalina wanasupport CCM ambao wapo kila kona ya dunia hii
Dr Slaa ahanza mazungumzo ya siri na Prof. Anna Tibaijuka ili ajiynge na Chadema na mgombea Urais. Aliendelea kumshawishi na kumuhakikishia kwamba wao kama ukawa wamefikia maamuzi hayo na yeye kuteuliwa kufanya juu chini ya kuanza mazungumzo ya kumshawishi ili aweze kuwa mgombea kwa upande wa Ukawa kwa kuwa wao wamemwona ni mwanamama mchapa kazi na ni Mtanzania wa kwanza kufanya kazi UN kwa muda mref wa miaka 17 bila kuboronga. pia so fisadi na ni mwadilifu ktk kila sects alizofanya kazi tens kea uledi wa hali ya juu. Nduguzangu nawaombeni mlio Malibu na Prof. mumshauli asikubali kuungana na wachumia tumbo. source Lwakatare