Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Khaa!!! Safari hii ataomba kulipwa mshahara wa rais?? Nauliza tu..
 
Hata akigombea atapoteza muda wake bure watanzania wameisha wajua Chadema ni matapeli wa kisiasa.

Kakudanganya nani. Hebu thubutuni msichakachue halafu muipate khabari yake. Dr. Slaa ana sifa na busara za kuwa Rais wa nchii hii tatizo zile mashine zenu za kuchakachua. Hivi safari hii wale vijana magwiji wa computer watakuwa Sea View au mnawaandalia maskani mengine? Hakuna siri chini ya anga.
 
Kweli Tanzania ina mambumbu wengi wanaoona urefu wa pua zao ukimponda Slaa ina maana umeona mema tunayotendewa na hawa interahamwe
 
Mkuu huyu mzee naona anachekesha sana hivi leo bado anawaza urais kweli lakuvunda halina ubani hivi kweli hajitambui kuwa kachuja kama nguo za rangi.

Ume quote post zima kuandika utumbo!!!!!! Wastage of server resources
 
...you will always remain to be dr,because uwezo wako na mawazo yako yako juu sana. Thank God for dr. Slaa...
 
Namwombea mzee wetu maisha marefu daima,,ndiye raid wangu ninayemtambua,ndiye kwenye kura yangu na ndiye aliyeniamsha asubuhi na mapema kuwahi foleni ya kumpatia kura,,------ simtambui,,,naona maisha mazuri nyuma ya uingozi WA dk WA ukweli,,were mungu wafunue walio kizani wapate kuiona hii nuru(dr slaa) uliyotuzawadia watanzania
 
Ningekuwa mshauri wa Dr Slaa ningemshauri asigombee tena uraisi kwa awamu nyingine tena ni katika kulinda rekodi na heshima yake ushindi aliyoupata 2010 Sina uhakika atafikisha nusu yake kama atagombea tena 2015 kupitia chama alichogombea nacho 2010
 
mwacheni dr.wetu wa ukweli apumzike..hongera sana slaa kwa kuamua kupumzika
 
Hata akigombea atapoteza muda wake bure watanzania wameisha wajua Chadema ni matapeli wa kisiasa.

si umesikia kwamba hatagombea? atagombe prof Lipumba na Mbatia atakuwa mgombea mwenza. hapo sasa patakua poa eti?
 
Back
Top Bottom