Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

vp le mutuz ulikumbuka kutoa hela ya matumizi huko USA au ndo umetelekeza mazima
 
Baba yako alibadilisha dini ili awe waziri mkuu enzi za Mwinyi>>>>>>>> Na wewe unakumbuka aliyekuchora tatooo kwenye makaliooo???!!! Bisha ili tuiweke picha ya makalio yako..

BASI , BASI , BAAASI ! INATOSHA kwa umri ALIONAO LE MUTUZ WA MIAKA 59 , HUTAKIWI KUMWANIKA , TUHESHIMU WAZEE JAMANI !
 
Swala la ADA mashuleni lilizungumzwa na LIPUMBA wakati wa MKAPA.Vifaa vya ujenzi hebu angalia ILANI ya CCM,Swala la Slaa kuweza taasisi ya uraisi hawezi imemshinda familia ya watu "5 ataweza watu milioni 45!!!Babu kapoteza mvuto.
 
Tunaelekea kufanya uchaguzi ndani siku 400 hivi,watz lazima wajue sasa ni aina gani ya serikali waitakayo,ni aina gani wa kiongozi anayetufaa pia sera zipi zinatufaa.Mwaka 2010 Dr.Slaa alipofika kijijini kwetu na kumsikiliza hakuna kitu nilichofurahia kama kuondoa kodi ktk vifaa vya ujenzi pia kuondoa ada ktk elimu ya msingi na secondary pia kuaza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 alisema.Nilifanya uamuzi wa kumpigia kura mara baada ya kumaliza hotuba yake.Rais Kikwete naye alifika na yeye pamoja na timu yake walikandia kila kitu alichosema DR. pale.Sasa muda umepita na yale yale ambayo DR alisema ndiyo naona wanafanya kwa zima moto maana hawakujiandaa.Mfano safi kabisa ni kuandika katiba,mambo hovyo kabisa.Sheria hazifuatwi tena na sisi wananchi tumepotezwa maana haujui majukumu ya vyombo husika katika mchakato huu.Mimi ninaye wa kumwajibisha ni Rais Kikwete.Tume kuwachangua kiongozi kutoka kundi hilo.:flame:

Dr.slaa ni jembe yaani asilimia mia moja anafaa sana na ndiye atakaekuwa Raisi 2015 hata ccm wakichakachua vipi huyu ndio atakayeipeperusha bendera ya chadema ikulu.peoplesssssss powerrrrrrrr
 
Hivi Mke wa Rais mstafu Ben Mkpa ni yupi, yule mke wa Basil Mramba au yupi? Je mke wa JK ni yupi? Je mke wa Nyerere wa kwanza mnamfahamu? Hatutaki kujua mke wa mtu tunataka mtu mwenye uzalendo, Dr Slaa anauzalendo wa kutosha kuwa Raisi, tuombe uzima tu Slaa anaingia ikulu,
 
Tuache utani josefin mushumbus ni noumeer..Yani Slaa katelekeza watoto kwa ajili ya josefin..huyu mhaya ni balaa..
 
Anaye wa kupora, bado mchumba

CCM mlivyo wazinzi mnawaza ngono tu badala muwaze maendeleo ya wananchi nyie zenu kugegedana tu mafilauni nyie. Mnauza Nchi kwa wachina, wendawazimu nyie for sure mnakera sana na comments zenu nyepesi namna hiyo. Kwani kuoa ni lazima?? Eti dume zima Tanzania itakuwa Nchi ya kwanz kuwa na raisi asiyeoa kwa miaka 75.
CCM ninahasira na nyie sana mnatupelekesha sana, maji shida, umeme shida, elimu fully magumashi, hospital dawa panado, barabara shida, mnakalia uzinzi tu
 
labda awe rais wa TEC, chaneta, box au TFF.
kuwa rais wa Tz asahau kabisaaaaa. no joke here.

Tunaelekea kufanya uchaguzi ndani siku 400 hivi,watz lazima wajue sasa ni aina gani ya serikali waitakayo,ni aina gani wa kiongozi anayetufaa pia sera zipi zinatufaa.Mwaka 2010 Dr.Slaa alipofika kijijini kwetu na kumsikiliza hakuna kitu nilichofurahia kama kuondoa kodi ktk vifaa vya ujenzi pia kuondoa ada ktk elimu ya msingi na secondary pia kuaza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 alisema.Nilifanya uamuzi wa kumpigia kura mara baada ya kumaliza hotuba yake.Rais Kikwete naye alifika na yeye pamoja na timu yake walikandia kila kitu alichosema DR. pale.Sasa muda umepita na yale yale ambayo DR alisema ndiyo naona wanafanya kwa zima moto maana hawakujiandaa.Mfano safi kabisa ni kuandika katiba,mambo hovyo kabisa.Sheria hazifuatwi tena na sisi wananchi tumepotezwa maana haujui majukumu ya vyombo husika katika mchakato huu.Mimi ninaye wa kumwajibisha ni Rais Kikwete.Tume kuwachangua kiongozi kutoka kundi hilo.:flame:
 
kwani zinaa yake inawahusu nini kwani wote ni waislam? maana kwa waislam hilo ni kosa kabisa kwa mtu aliethibitika kuzini kuwa imamu, by the way hakuna mwenye ushahidi kama huyu mzee anazini mwenye nao auweke hapa acheni kuchafua watu wanaojiheshimu
 
vipi kuhusu afya yake nae,hebu angalieni anapohutubia anavyoshika kipaza sauti
 
Swala la ADA mashuleni lilizungumzwa na LIPUMBA wakati wa MKAPA.Vifaa vya ujenzi hebu angalia ILANI ya CCM,Swala la Slaa kuweza taasisi ya uraisi hawezi imemshinda familia ya watu "5 ataweza watu milioni 45!!!Babu kapoteza mvuto.
Umeandika kichovu sana !
 
Back
Top Bottom