Mama Salma alikuwa hapa juzi na private jet wewe unazungumzia Slaa kuja na mke wake?Hayo ya kuchanganya ndo uliyechanganya,mimi nilichofanya ni kucriticize,lakini bado umeshindwa kunielewa.Sasa ulitoa mfano wa Obama ya kazi gani wakati cticism yako ni towards Josephine?Mara nyingi tu nimeona Michelle akiongozana na Barack kwenye shughuli nyingi tu za kichama,achilia mbali kampeni.Sasa ukirudi kwa viongozi wetu,ndiyo hivyo JK na Salma wanapishana tu angani kwa kodi za wadanganyika na ufisadi mwingine unaohujumu taifa na maendeleo yake.