Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

Naona kuna document zinabadilishana mikono pale lakini tatizo ni kwamba Dr. Slaa yupo peke yake. Isije ikawa ni mikataba kati ya CHADEMA na Alabama?
Kwani vyama haviruhisiwi kuwa na miktaba binafsi?
 

OCTOBER 6, 2013

Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !





Msafara wa Dr. Slaa ukiwasili uwanjani



Dr. Slaa na Mkewe wakilakiwa na Rais wa Chuo


Moja wa mamea mashuhuri marekani akimsalimia Dr. Slaa

Dr. Slaa akikaribishwa Ukumbuni kwenye Chakula cha asubuhi iliyoandaliwa kwa ajili yake



Moja ya Viongozi wa Juu Nchini Marekani


Dr. Slaa akibadilishana mawazo na baadhi ya viongozi ya Masenators walioalikwa kujumuika naye






Watoto nao walijitokeza kumsalimia na kupiga picha na mgeni mashuhuri Dr. Slaa


Watu wengi mashuhuri walioalikwa walimiminika kusalimiana na Dr. Slaa


Dr. Slaa na Senator Shelby wakibadilishana mawazo wakielekea uwanjani



Msafara wa Dr. Slaa ukiwasili uwanjani



Watu wa kila aina mashuhuri walifika kumsalimia Dr. Slaa



Dr. Slaa na Gavana


Dr. Slaa akisalimiwa na mmoja wa US congressmen waliohudhuria mchezo


Mshindi wa Nobel Peace Price na Dr. Slaa ndani ya Chumba cha watu mashuhuri wakijadili neno




Viongozi Mashuhuri wakiwa uwanjani kabla ya mchezo kuanza. Dr. Slaa ndiye mgeni Rasmi. Hapa ni chumba maalum cha rais kwa ajili ya wageni mashuhuri




Uwanja ulijaa hasa. Watu zaidi ya laki moja walihudhuria


Wakiwa katika chumba cha watu mashuhuri. Baadhi ya watu mahuhuri kama yeye hawakujizuia kwenda kumsalimia. Akifungua mchezo wa leo, Dr. Slaa alirushwa moja kwa moja na moja ya luninga kubwa zaidi nchini marekani


Ni mara ya kwanza kwa kiongozi wa kiafrika kupewa mapokezi makubwa ambayo Dr. Slaa ameyapokea katika ufunguzi wa mchezo wa mpira maarufu kama football. Dr. Slaa alialikwa na Chancellor pamoja na Rais wa chuo kikuu cha Alabama kuwa mgeni rasmi katika mchezo huo baina ya Alabama na Georgia State. Kiongozi huyo wa Chadema alipokewa na viongozi wa ngazi mbali mbali wa kitaifa na wa jimbo la Alabama


Akimkaribisha Dr. Slaa katika chakula cha asubuhi iliyoandaliwa kwa ajili yake, Chancellor wa chuo hicho, amemfananisha Dr. Slaa na Nelson Mandela kutokana na juhudi zake za kupambana ufisadi nchini Tanzania. “


Tunajua jinsi polisi wanavyowaua raia na kuwakamata wapinzani” alisema kiongozi huyo. Kadhalika kiongozi huyo amemsifu Dr. Slaa kutokana na msimamo wake, sera zake za kulikomboa Tanzania kutoka katika umasikini licha ya chama chake kutungiwa kesi za ugaidi.


Kwa upande wake, wakiwa kama moja ya vyuo vikuu nchini marekani, wako tayari kufanya kazi kwa ukaribu na Dr. Slaa hasa katika sekta ya elimu. Wamemuomba ajisikie nyumbani na kufurahia mchezo wa American football.


Kwa unyenyekevu Dr. Slaa aliwashukuru governor, na viongozi wengine kwa kuwa wakarimu sana kwake na mkewe na watu wa Tanzania. Amefurahishwa jinsi wamarekani wanavyokuwa na hamasa na kuipa kipaumbele michezo.


Nimejifunza kwamba michezo ni moja ya mbinu ya kuiunganisha taifa hasa tunapokuwa na changamoto nyingi kama za kwetu alisema Dr. Slaa. Kadhalika amesema kwamba, chama chake cha Chadema ina sera ya kukuza vipaji kupitia taasisi za michezo nchini Tanzania na siyo kuwaleta Makocha wa kigeni, mmoja baada ya mwingine na kuwapeleka Ikulu kula pilau na kupiga picha.


Nilichojifunza ni kwamba, lazima nirudi na ujumbe kwa watanzania kuweka mifumo endelevu ya michezo kuanzia shule za misingi hadi vyuoni. Nilichoona hapa ni mfano wa kuigwa alimalizia Dr. Slaa




source; Maisha Times











 
My Beloved President H.E akiwa katika study tour named Vision Tanzania kwa ajili ya 2015
 
Hii ziara ya Dr slaa Ni mwiba mchungu sana kwa magamba
 
Akiwa katika ziara yake nchini Marekani Mwaka Jana, Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa siyo tu kwamba alikuwa kila alikokwenda, bali aliacha historia. Kiongozi huyu mkuu wa upinzani alionyesha kukubalika kwa kiwango kikubwa miongoni mwa viongozi wa ngazi mbali mbali nchini humo.

Kutokana na msimamo wake dhidi ya ufisadi, busara, pamoja na sera zake na za chama chake, Dr. Slaa alidhiirisha siyo umma wa Kitanzania na Kimarekani, bali dunia kwa ujumla ya kwamba ni kiongozi makini ambaye yuko Tayari kuliokoa taifa la Tanzania na bara la Afrika.

Akitoa uchambuzi wake katika kipindi cha radio anachokiendesha, Gavana wa Jimbo la Indiana Jijini Indianapolis , alisema kwamba ili Afrika iondokane na maradhi, ujinga, na umasikini, viongozi kama Dr. Slaa ndio dawa. " I am amazed and humbled to meet such a visionary man. My huts off to him. He is a brilliant and a visionary fellow whose time has come. He is a hero of our time. I can't imagine how difficult it must have been for him to campaign and under constant police horrific bombings and brutality" alisema governor Pence.

Dr. Slaa has demonstrated his will to transform his country, and as a state and a nation that values education, we must support his vision in preparation his country workforce. I can imagine the pain and agony of police harassment and brutality he goes through on daily basis because he is an opposing figure to the ruling regime. This is shameful
Many world leaders have forgotten the importance of education in development. Dr. Slaa's priority if building the labor force. aliongeza gavana Pence.

Kadhalika wachangiaji mbali mbali walioshiriki katika kipindi hicho, walionekana kumkubali Dr. Slaa mpaka kumfananisha na Nelson Mandela pamoja na Kwame Nkurumah

Katika kipindi kifupi akizunguka katika majimbo tofauti nchini marekani, Dr. Slaa alionyesha uchungu na nchi yake. Kadhalika ameonyesha umahiri mkubwa kusimama na kupigania haki, licha ya kufanya hivyo katika mazingira magumu na kandamizi.

Ameweka wazi msimamo wake, kwamba kamwe Afrika lazima ijiondoe katika biashara kandamizi na pia kuweka wazi msimamo wake wa kutokukukubali misaada ya kigeni isipokuwa biashara itakayo wanaufaisha wananchi wake na sawa na mwekezake. Siyo biashara inayoegemea upande mmoja.
 
Akiwa katika ziara yake nchini Marekani Mwaka Jana, Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa siyo tu kwamba alikuwa kila alikokwenda, bali aliacha historia. Kiongozi huyu mkuu wa upinzani alionyesha kukubalika kwa kiwango kikubwa miongoni mwa viongozi wa ngazi mbali mbali nchini humo.

Kutokana na msimamo wake dhidi ya ufisadi, busara, pamoja na sera zake na za chama chake, Dr. Slaa alidhiirisha siyo umma wa Kitanzania na Kimarekani, bali dunia kwa ujumla ya kwamba ni kiongozi makini ambaye yuko Tayari kuliokoa taifa la Tanzania na bara la Afrika.

Akitoa uchambuzi wake katika kipindi cha radio anachokiendesha, Gavana wa Jimbo la Indiana Jijini Indianapolis , alisema kwamba ili Afrika iondokane na maradhi, ujinga, na umasikini, viongozi kama Dr. Slaa ndio dawa. " I am amazed and humbled to meet such a visionary man. My huts off to him. He is a brilliant and a visionary fellow whose time has come. He is a hero of our time. I can't imagine how difficult it must have been for him to campaign and under constant police horrific bombings and brutality" alisema governor Pence.

Dr. Slaa has demonstrated his will to transform his country, and as a state and a nation that values education, we must support his vision in preparation his country workforce. I can imagine the pain and agony of police harassment and brutality he goes through on daily basis because he is an opposing figure to the ruling regime. This is shameful
Many world leaders have forgotten the importance of education in development. Dr. Slaa's priority if building the labor force. aliongeza gavana Pence.

Kadhalika wachangiaji mbali mbali walioshiriki katika kipindi hicho, walionekana kumkubali Dr. Slaa mpaka kumfananisha na Nelson Mandela pamoja na Kwame Nkurumah

Katika kipindi kifupi akizunguka katika majimbo tofauti nchini marekani, Dr. Slaa alionyesha uchungu na nchi yake. Kadhalika ameonyesha umahiri mkubwa kusimama na kupigania haki, licha ya kufanya hivyo katika mazingira magumu na kandamizi.

Ameweka wazi msimamo wake, kwamba kamwe Afrika lazima ijiondoe katika biashara kandamizi na pia kuweka wazi msimamo wake wa kutokukukubali misaada ya kigeni isipokuwa biashara itakayo wanaufaisha wananchi wake na sawa na mwekezake. Siyo biashara inayoegemea upande mmoja.

Aha UCHADEMA wewe huwajui wamarekani kama ndiyo viumbe wa kwanza wanafiki duniani wakifuatiwa na uingereza
 
AMA KWA HAKIKA BAADA YA DR SLAA KUFANYA ZIARA hii NA KUKUBALIKA MAREKANI YOTE KAMA KIONGOZI PEKEE AFRICA MWENYE MAONO YA MBALI ( tena bila kupiga picha na 50 cents WALA JAY Z ) , ndipo CCM ILIPOANZA KUMUONEA WIVU WA KIZAMANI NA KUZIDISHA MALIPO KWA WASALITI !
 
Dr Slaa jembe la ukweli! Watz tunamuhitaji sana dr Slaa wakati huu ili taifa likwamke hapa lilipokwama.
 
Mleta mada naomba uilete ile ya mheshimiwa sana akibembea labda baadhi yetu tutaifurahia!
 
Things have never been the same since...

No wonder Katibu Mkuu wa CCM Kinana anamuhofia siku zote. Hawezi kusimama naye iwe kwenye mjadala wa kawaida redioni au kwenye TV ama hata kwenye live debates.

Man of the people by the people for the people...
 
Back
Top Bottom