Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

Dr. Slaa Receives A State Reception In Alabama Capitol !

Mkuu Kimbunga, a JF TANZANITE MEMBER, naomba kuuliza kidogo, Hivi mheshimiwa Kikwete anapokuwa ameambatana na mama Salima katika ziara zake uwakilishi unakuwaga wa kifamilia zaidi?🙁
Hivi hiyo ilikuwa ziara binafsi au ziara ya kichama? Nauliza kwa sababu naona kwenye meza ya mazungumzo yupo Dr. Slaa na Mama Josephine lakini upande mwingine naambiwa kuna Gavana na Mawaziri. Kwa hiyo ujumbe wa CHADEMA uliongozwa na Dr. Slaa na Mama Josephine peke yao? Inakuwa kama Mseto vile; kwa upande wa Alabama State uwakilishi ni wa viongozi wa Jimbo lakini kwa upande wa CHADEMA uwakilishi unakuwa wa familia zaidi!

 
Kikwete anapokwenda nje kubembea hilo magamba mnalisemaje hilo?? Acheni ujinga huo hizi ndizo ziara zenye tija sio za maccm kwenda kununua mabomu nchini China na mikofia yenye nyota.....R.I.P CCM
 
Mungu mkubwa yule Mnyiramba mjinga kuliko wote anaumbuka mchana kweupe.

Hizi ndio ziara chanya zinazotakiwa kufanywa na viongozi ingawa kuna boya ameongozana nalo Dr Slaa tutamuonya awe analiacha nyumbani.
 
Kujifunza ni tabia njema n'a tunajifunza kwa walio fanikiwa... Elimu ni Bahari - haina mwisho.
Hongera sana Dr. Slaa.
 
Nyie tianeni ujinga tu lakini itabaki historia tu kuwa alishawahi kumsindikiza ikulu JK 2010.

...mnaogopa mkisikia hilo jina,acheni uchakachuzi kama hamjalamba chaki...
 
Mkuu Kimbunga, a JF TANZANITE MEMBER, naomba kuuliza kidogo, Hivi mheshimiwa Kikwete anapokuwa ameambatana na mama Salima katika ziara zake uwakilishi unakuwaga wa kifamilia zaidi?🙁

Mkuu mimi sipingi Kiongozi kuambatana na mwenza wake; tatizo ni kwamba hapa kuna Serikali ya Jimbo, Gavana na Mawaziri wake, wakiwa wamempokea Kiongozi wa Chama cha Siasa. Lakini Kiongozi wa Chama cha Siasa yuko yeye na mke wake tu bila kuwa na ujumbe wa chama. Ningemuona kiongozi mwingine wa CHADEMA akiwa ameongozana na Katibu Mkuu kwenye hayo mazungumzo wala nisingekuwa na cha kuuliaza; lakini yeye na mke wake peke yao mbele ya ujumbe wa seruikali ya jimbo inabidi nijiulize. Sijawahi kumuona JK na Salma peke yao wakiwa kwenye mazungumzo ya kiuwakilishi labda iwe wamekaribishwa wao kama familia ama wamekaribisha kama familia.

 
...the president himself...!
acheni upumbavu hayo makaratasi anayokabidhi ni research alizoziandika binafsi ili kuomba misaada na si sera za chadema. tusubili baada ya miezi sita utasikia anajenga hotel nyingine ya kitalii.
 
Mmmhhh ok ok tuseme unayosema ni kweli, sawa, turudi upande wa pili, ukilinganisha watu waliokutana na Dr. Slaa na watu aliokutana nao yule Katibu wako wa CCM? tuwe honest kwa hili
Sasa hiyo ndio "state reception" au kaomba appointment apeleke makaratasi yake ya ufataani?

Mijitu minngine mna mnana mtu ambae hanangiki.

Alipewa dakika ngapi na Gavana?
 
"Walipoulizwa kwa nini walikwepa
Tanzania, hawakuficha ukweli. Walinena
kwamba ni vigumu sana kufanya kazi
Tanzania. Ufisadi uliwazuia ingawa
wangekuja na fedha zao kutoka benki ya
dunia na shirika la kimarekani la USAID
ambayo inadhamini miradi yao sehemu
nyingi barani Afrika ikiwemo Kenya na
Uganda"

ridiculous eti ni vigumu kufanya kazi tanzania

mashirika mangapi ya US yanafanya kazi Tz

abbott fund
CDC
ASCP na kadhalika

Hili halina ubishi , i have been involved in severalprojects pamoja kufuata mashati yote mwisho wa siku watu wasio penda rushwa na wenye business mentality waliondoka wakilaani .Wewe unajua hao wachache sisi tunajua wengi mno ambao ukiwatajia Tanzania wanaogopa wote .
 
Hivi hiyo ilikuwa ziara binafsi au ziara ya kichama? Nauliza kwa sababu naona kwenye meza ya mazungumzo yupo Dr. Slaa na Mama Josephine lakini upande mwingine naambiwa kuna Gavana na Mawaziri. Kwa hiyo ujumbe wa CHADEMA uliongozwa na Dr. Slaa na Mama Josephine peke yao? Inakuwa kama Mseto vile; kwa upande wa Alabama State uwakilishi ni wa viongozi wa Jimbo lakini kwa upande wa CHADEMA uwakilishi unakuwa wa familia zaidi!


Usilinganishe misafara ya Kikwete ya kwenda kula kuku kwa mrija, gharama kubwa. Hapa jua ni nafasi ya mapumziko na mapumziko kwa waelewa ni kujifunza mengi toka kwa wenzetu.
 
Sasa hiyo ndio "state reception" au kaomba appointment apeleke makaratasi yake ya ufataani?

Mijitu minngine mna mnana mtu ambae hanangiki.

Alipewa dakika ngapi na Gavana?

Masikini kiroho kinakuuma sana ...lol pole
 
Hongera sana Dk Slaa kwa kutuandalia maisha mazuri kuanzi 2015, MUNGU akupe maisha marefu...!
 
Mkuu mimi sipingi Kiongozi kuambatana na mwenza wake; tatizo ni kwamba hapa kuna Serikali ya Jimbo, Gavana na Mawaziri wake, wakiwa wamempokea Kiongozi wa Chama cha Siasa. Lakini Kiongozi wa Chama cha Siasa yuko yeye na mke wake tu bila kuwa na ujumbe wa chama. Ningemuona kiongozi mwingine wa CHADEMA akiwa ameongozana na Katibu Mkuu kwenye hayo mazungumzo wala nisingekuwa na cha kuuliaza; lakini yeye na mke wake peke yao mbele ya ujumbe wa seruikali ya jimbo inabidi nijiulize. Sijawahi kumuona JK na Salma peke yao wakiwa kwenye mazungumzo ya kiuwakilishi labda iwe wamekaribishwa wao kama familia ama wamekaribisha kama familia.



@Kurugenzi ya Habari
Yaweza tupa protocol iliyozingatiwa kwenye hizi ziara ya Dr.Kiuhalisia haijakaa sawa labda kama na Mke wa Dr. ni sehemu ya msafara wa ziara hiyo kiofisi (CDM).Kinyume na hapo tunarudi kule tunakolalamikia kuwa Ofisi za Umma isigeuzwe kuwa ya Kifamilia.
 
"Walipoulizwa kwa nini walikwepa
Tanzania, hawakuficha ukweli. Walinena
kwamba ni vigumu sana kufanya kazi
Tanzania. Ufisadi uliwazuia ingawa
wangekuja na fedha zao kutoka benki ya
dunia na shirika la kimarekani la USAID
ambayo inadhamini miradi yao sehemu
nyingi barani Afrika ikiwemo Kenya na
Uganda"

ridiculous eti ni vigumu kufanya kazi tanzania

mashirika mangapi ya US yanafanya kazi Tz

abbott fund
CDC
ASCP na kadhalika
Mkuu NGOs nyingi za kimarekani unazoziona zipo kutimiza malengo yao tu. whether mna ufisadi au wauwaji wa raia wao haiwahusu ili mradi interest zao zitatimia.
mfano PEPFAR/CDC, ABBOT wametoa msaada wa kutibu na kuhudumia watu wenye UKIMWI, mpango ulikuwa watatoa msaada kwa miaka 10 na baada ya hapo wataiachia TZ ijitegemee. Binafsi nimefanya kazi nao na mara zote nilikuwa nikicheka sana ninapoisoma hiyo plan - na nilikuwa nikiwaambia wenzangu kuwa huu ni upuuzi -these guys are here to stay. haiwezekani ukatoa msaada 100% kwa miaka kumi halafu ghafla useme haya endeleeni wenyewe, halafu serikali yenyewe ndo hii ya CCM? ambayo hata panadol ya sh 10 kutoa mahospitalini shida! Kwa hiyo usiseme mbona NGOs zingine znafanya kazi Tz - jibu ni kuwa NGOs zina malengo tofauti, zilizo honest zinavigezo vya maadili lakini nyingine hazihitaji uadilifu wenu, zinachohitaji ni je interests zao zitafanikiwa?
 
Mkuu mimi sipingi Kiongozi kuambatana na mwenza wake; tatizo ni kwamba hapa kuna Serikali ya Jimbo, Gavana na Mawaziri wake, wakiwa wamempokea Kiongozi wa Chama cha Siasa. Lakini Kiongozi wa Chama cha Siasa yuko yeye na mke wake tu bila kuwa na ujumbe wa chama. Ningemuona kiongozi mwingine wa CHADEMA akiwa ameongozana na Katibu Mkuu kwenye hayo mazungumzo wala nisingekuwa na cha kuuliaza; lakini yeye na mke wake peke yao mbele ya ujumbe wa seruikali ya jimbo inabidi nijiulize. Sijawahi kumuona JK na Salma peke yao wakiwa kwenye mazungumzo ya kiuwakilishi labda iwe wamekaribishwa wao kama familia ama wamekaribisha kama familia.


Swali la kujiuliza ni what value an extra man or woman would have added in this trip? Dr. Slaa amealikwa na vyuo vikuu kadhaa vya Marekani kwenda kutoa mihadhara, pamoja na mambo mengine. Hivi vyuo havikualika ujumbe wa chama. Pamoja na hayo, Dr. Slaa ni Katibu Mkuu wa CHADEMA. Sasa ni ujumbe gani zaidi ulioutarajia kutoka CHADEMA?

Vile vile, si mara zote kuwa kuongozana na msururu wa watu kunafanya ziara iwe na tija. Rais Kikwete anatakiwa kujifunza kutoka kwa Dr. Slaa na kupunguza umwinyi. Kwa kufanya hivyo (kupunguza idadi ya watu anaoongozana nao kwenye ziara), atapunguza mzigo mkubwa sana kwa walipa kodi hususan ukizingatia kuwa Mhe. Kikwete anafanya ziara nyingi sana nje ya nchi kuliko hata viongozi wa nchi tajiri.
 
attachment.php


attachment.php


attachment.php
hawa jamaa naona wamemfananisha slaa na mrema Tanzania chadema party ndio chama gani? wanaikumbu TLP nini? waambieni chama chenu kinaitwaje kabla hajaenda bana!
 
Ukweli dr. Slaa anagusa maeneo muhimu kwa maendelen ya taifa na si viongozi tu, sio mbaya viongozi wenzetu wengine wakajifunza hilo!
 
Back
Top Bottom