Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,664
- 272,503
Dr. Slaa ni kichwa!!!!!!!
Tiba
mimi naamini MUNGU ametupa mtu huyu kwa malengo maalum .
Dr. Slaa ni kichwa!!!!!!!
Tiba
Things have never been the same since...
No wonder Katibu Mkuu wa CCM Kinana anamuhofia siku zote. Hawezi kusimama naye iwe kwenye mjadala wa kawaida redioni au kwenye TV ama hata kwenye live debates.
Man of the people by the people for the people...
My Beloved President H.E akiwa katika study tour named Vision Tanzania kwa ajili ya 2015
oneni jamani , KUMBE hata jina la hiyo ziara ya kujifunza iliitwa VISION TANZANIA ! Dah ! UZALENDO MTUPU !
This man deserves being the prezo of Tz
Hakika watanzania tutamjutia Dr. Slaa tukimkosa!! Huyu ndie kiongozi pekee mwenye machungu na nchi yake!!
hecko raisi wetu wachaga huyooo
hecko raisi wetu wachaga huyooo
hecko raisi wetu wachaga huyooo
This man deserves being the prezo of Tz