Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Status
Not open for further replies.
Nimesickia kupitia uhuru FM kwamba slaa kasusia kwamba yeye anaamiani kuwa lowassa ni fisadi no 1
 
Hajachelewa....LOWASSA ni sawa na 10,000000 CCM watakaohamia CDM
BAREGU ni yeye km yeye Baregu ni sawa na I ACT

Na wewe kilaza kweli hao watu waliokuwa wanaandikishwa huku mtaani wengine kwa kudanganywa ni vikundi vya jogging nao unawajumuisha kwenye hiyo idadi?propaganda za kipuuzi hizo tumia akili.
 
Tatizo la Slaa hana pesa, Ni mwanasiasa machachari sana lakini ndio kakaribishwa tu kwenye baraza la wenyewe
 
Na wewe kilaza kweli hao watu waliokuwa wanaandikishwa huku mtaani wengine kwa kudanganywa ni vikundi vya jogging nao unawajumuisha kwenye hiyo idadi?propaganda za kipuuzi hizo tumia akili.
Unalo Boya wewe..mmeshaambiwa bao la mkononi mwisho bafuni..
 
Ninashangaa Mbowe kumuona Lowasa ana wafuasi wengi kuliko Dk Slaa.Mbowe kwa kweli naanza kumuelewa tofauti.
 
Slaa mwenyewe alitoka ccm, akiondoka cio mbaya, sababu bado hajapata kijiwe cha kumfaaa
 
Lumumba naona mnapoza machungu kwa hadithi za kusadikika. Chadema wako makini kuliko mnvyofikiria.
 
Hawawezi kuhamia ACT, ikumbukwe Zitto akiwa viwanja vya Furahisha Mwanza alisema ACT ipo tayari kumkaribisha Lowasa ACT ila atangaze mali zake. Slaa na Baregu wakihamia ACT ni sawa na kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
 
Potezeni muda na majungu yenu,safari ya matumaini ndo kwanza imepamba moto!!!!
 
Kweli siasa ni kama upepo tu leo hii ukawa walikuwa wakimsema vibaya lowasaa leo wanageuka na kumsafisha sasa dr slaa ataificha wap sura yake labda ahame chadema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom