ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,727
- 2,418
Huyu anayesema huu sio ustaarabu anatumia jina gani humu? Ni jina la kistaarabu hilo? Katuni mtupu.
mkuu kwani we unajua jina langu lina maana gani?
Huyu anayesema huu sio ustaarabu anatumia jina gani humu? Ni jina la kistaarabu hilo? Katuni mtupu.
Maalim Seif ni katibu mkuu wa CUF.. ulimuona pale??
Ulimuona Katibu Mkuu wa NCCR mageuzi pale??
Acha Ramli chonganishi
Ni kweli wewe ni mpumbavu lakini tu kwa kuwaita wanaharakati wa kweli inzi (nadhani ulikuwa ukimaanisha "nzi"-si kosa lako ni elimu yako). Lakini pia wewe ni "mjinga"kwa kuwa umeshindwa kusikiliza, kuchambua na kuelewa hotuba nzuri, makini na rahisi kueleweka ya Mh. F. A. Mbowe ya kumkaribisha E. N. Lowassa CHADEMA na UKAWA. Ungetuliza akili yako kumfuatilia ungeona bila jasho majibu ya maswali yote wanayo jiuliza Watanzania na hata yale yanayokusumbua wewe ndani ya fuvu lako.
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.
Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.
Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.
Duh ni wewe babu unatumia the 'nge' word
Nakubaliana nawe kuwa hawezi kwenda huko lkn hiyo lugha sio kabisa
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.
Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.
Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe
Kaka Zitto hawezi kutuangusha-hawezi kukubali tukaungana na hao wapuuzi!