Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Status
Not open for further replies.
Upinzani endeleeni kuvutana mkija kustuka Magufuli yupo magogoni....
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.

Porojo @work
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.

Chanzo cha Habari hii ni kipi?
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.

Ni mtu mjinga pekee anayeweza kuruka kwenye mtumbwi wakati unakaribia ufukweni, Hawa Viongozi uliowataja hawana akili ya kijinga.
 
Zitto anajua siasa...anagombea ubunge, swali la msingi nani atakuwa mgombea urais? Walishasema soon watamtangaza? Ile mbinu ya Ukawa kutumika tena ACT? sitaki kusubiri kuona michezo ya kisiasa mwaka huu. Soo strategic......km soka vilee
 
Km ligi ya England vilee uchaguzi hautabiriki...Lowasa, Slaa na Magufuli wagombea urais
 
Zitto anajua siasa...anagombea ubunge, swali la msingi nani atakuwa mgombea urais? Walishasema soon watamtangaza? Ile mbinu ya Ukawa kutumika tena ACT? sitaki kusubiri kuona michezo ya kisiasa mwaka huu. Soo strategic......km soka vilee

Lumumba fc kazini mwaka huu Mtanyooka tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom