Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,502
toa upumbavu wako jukwaani hakuna mtu mwenye akiri timamu ataenda kujiunga na mha masikini asiye kuwa na msimamamo kama zito, slaa yupo tiyari kurudi kanisani siyo act wa...nge
Duh ni wewe babu unatumia the 'nge' word
Nakubaliana nawe kuwa hawezi kwenda huko lkn hiyo lugha sio kabisa