Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Status
Not open for further replies.
Mkuu jina liko sahihi kabisa!
Nakushauri tu Usikilize hotuba hiyo "between lines" probably you can gain some understanding out of it!


Yawezekana sana umesahau jina lako au umeliandika vibaya. Wewe ni Majanga na uliyoyaandika ni majanga. Ile press conference ilhudhuriwa na wenye viti wa chama tu hata makatibu wakuu wao hawakualikwa pale. Hotuba ya mh.Mbowe ipo wazi sana na inaeleweka kirahisi na hatuoni popote alipomlenga kiongozi yeyote aliepo chadema na ambae kwa uchochezi unaotaka kuupandikiza eti anaeonekana hakubaliani na ujio wa Lowassa chadema.
 
Mbona mnapenda kutoa maneno ya matusi matusi kama vile hamjaenda shule? We ushawahi kuona au kusikia Huyu aloleta hii habar mama take huwa analala na hao wanasiasa? na ikitokea akahama utasemaje? Be careful with UA toungue

Ucpaniki mkuu, kuna watu wanaoleta mada zinazo kera ndo maana kama hii, sisapoti matuc ila mtoa mada anastahil maneno makali kidogo ili afunguke kichwa. Pole
 
Yawezekana sana umesahau jina lako au umeliandika vibaya. Wewe ni Majanga na uliyoyaandika ni majanga. Ile press conference ilhudhuriwa na wenye viti wa chama tu hata makatibu wakuu wao hawakualikwa pale. Hotuba ya mh.Mbowe ipo wazi sana na inaeleweka kirahisi na hatuoni popote alipomlenga kiongozi yeyote aliepo chadema na ambae kwa uchochezi unaotaka kuupandikiza eti anaeonekana hakubaliani na ujio wa Lowassa chadema.

tumemuona halima mdee akimphoto lowasa. je, na yy ni mwenyekiti??
 
tumemuona halima mdee akimphoto lowasa. je, na yy ni mwenyekiti??

Ndio shughuli iliyomleta pale kwa picha za ofisi za kumbu kumbu na shughuli nyingine za kichama. Ulitegemea zifanywe na Mbowe? Slaa yupo Karatu kutetea lile jimbo lisirudi ccm baada ya mch.Natse kurudia utumishi wa kanisa. Pamoja na ubunge bado ni katibu mkuu wa chadema.
 
Nafikiri sio muda wa kutoa matusi kwa mtoa mada ni kujuuliza je ana mantiki hapo? Nionavyo mimi ni kuwa wakati wa watajwa hapo kuonesha ni kweli wanaweza kula uharo/uhalo wao wenyewe huku wanaona kwa akili timamu?
Kumkaribisha Mh. E.L sio kosa kosa ni kusahau tunayotamka bila kuwa na ukweli? je tutasema nini wakati wa kampeni? jeMagufuri ni fisadi wakati hajapelekwa Mahakamani au tutasema huku tukisahau kauli za mwenyekiti wetu? Msimamo waetu UKAWA UPO WAPI? CCM ingemsimamisha Huyu tuliyempokea tungesemaje au angeenda ACT- tungesemaje? Arejeshe KADI YA CCM kwanza NDIPO TUMPOKEE NA KUMPA NAFASI YA SIRAA YA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHAMA-(UKAWA) Usitukane toa hoja!!!!!!

mkuu baada ya huyu jamaa kupokelewa kwa shangwe na watu wale wale waliomchafua kwa kila tusi,, baada ya hii lowassa-fiasco yooote najiona mpumbavu wa kiwango cha mwisho kwamba na mimi nilishawahi kuamini katka "ukombozi" wa hawa inzi
 
Hii ni shida ya kunywa supu utumbo ambayo haijaiva... Athari yake nikuongea utumbo utumbo tuu....

mkuu we ongea basi steak, firigisi na maini utuambie watu wakubwa kama kankono-slaa na baregu wanakosaje pale? ingawa sitaki kuspeculate kwamba kuna mgogoro lakini sio picha inayovutia pia
 
mkuu,halafu anayeyasema hayo ni mwanamke kwa mujibu wa ID yake,kesho utakuta yupo mstari wa mbele kupiga kelele juu ya unyanyasaji wa mwanamke.
AIBU

ndo mana hata mimi imebidi ni reply post yake manake sijaamin kama na mabinti hua wanaongea hayo aloongea,, angekua mwanaume ningeinyamazia tu
 
IPUUZWE DR.SLAA YU NA MAJUKUMU MUHIMU SANA NDANI YA CHAMA,UPOTOSHWAJI WA AINA HII NI WA HOVYO,HOVYO HOVYO NA WA KUBEZWA,CCM WATATAKA KUTENGENEZA KILA AINA YA CHUKI ILI KUITETERESHA CDM LAKINI HAWATA FAULU!ii
 
Dr Slaa akikimbia Chama kingine Sio issue. Yaani kwa maoni yangu hili la Lowassa ni kumzarau DR Slaa. Dr Slaa anapendwa na wengi ndani na nnje ya chadema. Kama Lowassa angepita CCM, dr Slaa angebeba masalaba wa UKawa na Nina hakika kila mtu anajua dr angeshinda Kama CCM hawakutumia mbinu Za wizi. Lakini leo hii Lowassa anapewa kipaumbelee kuliko dr
 
mkuu baada ya huyu jamaa kupokelewa kwa shangwe na watu wale wale waliomchafua kwa kila tusi,, baada ya hii lowassa-fiasco yooote najiona mpumbavu wa kiwango cha mwisho kwamba na mimi nilishawahi kuamini katka "ukombozi" wa hawa inzi

Ni kweli wewe ni mpumbavu lakini tu kwa kuwaita wanaharakati wa kweli inzi (nadhani ulikuwa ukimaanisha "nzi"-si kosa lako ni elimu yako). Lakini pia wewe ni "mjinga"kwa kuwa umeshindwa kusikiliza, kuchambua na kuelewa hotuba nzuri, makini na rahisi kueleweka ya Mh. F. A. Mbowe ya kumkaribisha E. N. Lowassa CHADEMA na UKAWA. Ungetuliza akili yako kumfuatilia ungeona bila jasho majibu ya maswali yote wanayo jiuliza Watanzania na hata yale yanayokusumbua wewe ndani ya fuvu lako.
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.

HOPELESS! Very hopeless. Akili uliyo nayo inakutosha tu kujua namna ya kuvuka barabara na si zaidi ya hapo.
 
mkuu we ongea basi steak, firigisi na maini utuambie watu wakubwa kama kankono-slaa na baregu wanakosaje pale? ingawa sitaki kuspeculate kwamba kuna mgogoro lakini sio picha inayovutia pia

Maalim Seif ni katibu mkuu wa CUF.. ulimuona pale??
Ulimuona Katibu Mkuu wa NCCR mageuzi pale??
Acha Ramli chonganishi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom