Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Status
Not open for further replies.
Kweli nimeamini tanzania hakuna upinzani na watanzania tutabaki kuwa mburula mpaka mwisho wa dunia hivi kweli chadema kwailivyokua imefikia ilikua inahitaji sapoti ya mtu alie temwa ccm ndo aje kuwa raisi mnampa mtu nafasi ya kugombea uraisi kisa anapesa kwanza hakijui chama kimepitia matatizo mangapi mpaka kufikia hapo mi ningefurahi kama lowasa angekuja chadema na kua mwanachama wa kawaida ila sio kumpa nafasi ya kugombea uraisi mbowe umebugi na lowasa hatosinda uraisi na chadema ndo inakufa hivyo
 
na mimi nitawaunga mkono kabisaaaaaaa
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.
 
Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe
 
Kweli nimeamini tanzania hakuna upinzani na watanzania tutabaki kuwa mburula mpaka mwisho wa dunia hivi kweli chadema kwailivyokua imefikia ilikua inahitaji sapoti ya mtu alie temwa ccm ndo aje kuwa raisi mnampa mtu nafasi ya kugombea uraisi kisa anapesa kwanza hakijui chama kimepitia matatizo mangapi mpaka kufikia hapo mi ningefurahi kama lowasa angekuja chadema na kua mwanachama wa kawaida ila sio kumpa nafasi ya kugombea uraisi mbowe umebugi na lowasa hatosinda uraisi na chadema ndo inakufa hivyo

Mwaka huu mtalijua jiji.
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.

Wewe nikwite mjinga maana ukipata elimu utaelimika,nilini Dr slaa ameyatamka hayo maneno?nilini mzee Baregu amayatamka hayo maneno?ni mara ngapi act mlimzushia lowasa kujiunga na act?wacheni kujidhalilisha jamani
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.

Dr Slaa sidhani kama anaweza kwenda huko ACT ambako kunakufa hivi punde kwa sababu ACT ni Agizo la Chama Tawala! Kama ACT wangekuwa na akili wangetuletea Azimio la Arusha, hilo Azimio la Tabora ni upuuzi mtupu! Kwahiyo Dr Slaa ama aanzishe chama chake ama awe mpole maana anaonekana lengo lake ni kugombea urais na kuisindikiza CCM siyo kuiondoa!
 
Kweli nimeamini tanzania hakuna upinzani na watanzania tutabaki kuwa mburula mpaka mwisho wa dunia hivi kweli chadema kwailivyokua imefikia ilikua inahitaji sapoti ya mtu alie temwa ccm ndo aje kuwa raisi mnampa mtu nafasi ya kugombea uraisi kisa anapesa kwanza hakijui chama kimepitia matatizo mangapi mpaka kufikia hapo mi ningefurahi kama lowasa angekuja chadema na kua mwanachama wa kawaida ila sio kumpa nafasi ya kugombea uraisi mbowe umebugi na lowasa hatosinda uraisi na chadema ndo inakufa hivyo

Acha ubinafsi wewe! Tatizo lako hapo ni kwamba unaogopa mabadiliko, umezoea kuwa mpinzani tu halafu CCM wakiendelea kukutawala! Kwanza yawezekana unapiga majungu hapa hata kadi ya mpiga kura huna! Kajiandikishe ni zamu yako 2015
 
Watanzania Wanataka Mabadiliko Wakiyakosa Ccm Watayatafuta Nje Ya Ccm
 
Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe

Sasa nyinyi mbona mnalalamika tu halafu hamtoi suluhisho!? Kwanini mnayaogopa mabadiliko!? Hakuna maendeleo yoyote yanayokuja bila maumivu! Nyinyi mmezoea Chadema ni chama cha upinzani halafu CCM ni chama tawala! Tunawaona mkijipangia humu hamna comfidence ya kuchukua dola kwanini!? Kajiandikishe, zamu yako, 2015!
 
Pengine mtoa mada yuko sahihi, sijawaona hawa watu wawili kwenye Press conference ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA.
Wameenda/walienda wapi?? kwenye kikao cha jana usiku Prof. Baregu anaonekana kama anafichama sura yake kwa aibu ya kukutana na Lowasa...tuambieni ukweli...siasa za BONGO sasa zimekuwa za kuigiliza...Katika Hotuba ya Mbowe anaonekana kumtumia ujumbe mtu Mkubwa ndani ya CDM ambaye hajakubaliana na ujio wa Lowasa,..huyu mtu ni nani???

Je tunafika tunakotaka kwenda???

Yawezekana sana umesahau jina lako au umeliandika vibaya. Wewe ni Majanga na uliyoyaandika ni majanga. Ile press conference ilhudhuriwa na wenye viti wa chama tu hata makatibu wakuu wao hawakualikwa pale. Hotuba ya mh.Mbowe ipo wazi sana na inaeleweka kirahisi na hatuoni popote alipomlenga kiongozi yeyote aliepo chadema na ambae kwa uchochezi unaotaka kuupandikiza eti anaeonekana hakubaliani na ujio wa Lowassa chadema.
 
labda uliwasikia wakizungumza chumbani na mama yako kabla hawajatoka kuutaarifu umma

Mbona mnapenda kutoa maneno ya matusi matusi kama vile hamjaenda shule? We ushawahi kuona au kusikia Huyu aloleta hii habar mama take huwa analala na hao wanasiasa? na ikitokea akahama utasemaje? Be careful with UA toungue
 
Naona majitu ya Lumumba ma.vi kila kona leo...

Lumumba wanajinyea nyea hovyo tu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom