Pengine mtoa mada yuko sahihi, sijawaona hawa watu wawili kwenye Press conference ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA.
Wameenda/walienda wapi?? kwenye kikao cha jana usiku Prof. Baregu anaonekana kama anafichama sura yake kwa aibu ya kukutana na Lowasa...tuambieni ukweli...siasa za BONGO sasa zimekuwa za kuigiliza...Katika Hotuba ya Mbowe anaonekana kumtumia ujumbe mtu Mkubwa ndani ya CDM ambaye hajakubaliana na ujio wa Lowasa,..huyu mtu ni nani???
Je tunafika tunakotaka kwenda???
Wakienda ACT watakuwa wamepishana na gari la mshahara,hawawezi kufanya maamuzi hayo. Siasa siyo uhasama wa kudumu!
Baregu tulikuwa nae msibani Kunduchi kwenye maziko ya jirani yake.sijui slaa