tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
D Who is the moderator on duty today!!??
english couse ulipata ngapi?
D Who is the moderator on duty today!!??
Maneno yako yanadhihirisha kuwa ulianzisha hiyo exemptions kwa matakwa yako binafsi na ziamini kama kulifanyika consultations ya kutosha. Wakati huo kumbuka serikali ilikuwa kwenye fungate ya ndoa yao na Kanisa Katoliki. hivyo upendeleo huo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia taasisi za kanisa ambazo wakati huo zilikuwa kwenye hali mbaya kiuchumi. pia hoja hiyo ilianzishwa ili kuzifanya taasisi za dini zishiriki ipasavyo vita ya kagera. ila kwa sasa hoja hiyo inapaswa kuangaliwa upya. ukienda kwenye hospitali zisizolipiwa kodi, zinatoza ghatrama kubwa sana tena sana. hali yiyo pia ipo kwa shule na vyuo. badala ya exemptions kusaidia wananchi, inasaidia watu wengine kama akina dr slaa na SACCOS yao ya CCBRT, na wengine wengi
Wakati mwingine mnapotezea watu muda na hoja zenu mfu kama hizi. Unashindwa nini wewe na ccm wenzako kubadilisha sheria hii wakati bunge liko chini yenu? Msiwe watu wa kujivua ufahamu kwa kiwango hiki, ni aibu! Mkuu bethlehem amesema hapa kwamba kilichopo nyuma ya uzi huu wa Ritz ni udini na sasa ndo naanza kuona mnafunguka kuelekea huko.
Hii tafisiri ipo clear kabisa. Cement, matofali, gypsum na vifaa vya ujenzi vyote siyo Hospital Equipments! Sasa tunamuuliza Swali Ritz, kwami huo msamaha wataupata kwenye nini??? Manake hajafafanua na inaonekana kadandia tu story!
Mkuu, Ritz ameeleweka vizuri sana labda wewe ndo hujamwelewa. Ukweli ni kuwa, dr slaa ameagizq vifaa vyote vya ujenzi wa hospitali hiyo kutoka japan. Hii ni kuanzia nondo, mabati, cement,misumari, ingawa sina hakika na mbao. Hii yote ni katika kukwepa kodi maana kwa kumtumia mchungaji gwajima ni wazi kuwa kuna kitu analenga kukwepa.
Post lote hili utumbo mtupu.DR Slaa, acha kutufanya wana JF kuwa ni watoto. Ungekuwa muungwana ungejibu hoja za Ritz badala ya kubwabwaja tu. umejibu hoja moja tu kuwa hujawahi kufanya kikao na wajapani nyumbani kwako tena kwa vile tu Ritz hajaweka picha za hicho kikao cha nyumbani kwako na badala yake kaweka picha za Josephine akiwa Japani
badala ya kujibu hoja za msingi, wewe unakmbilia kucheza na akili za watu tu kudanganya. Ni kiongozi gan kama wewe anakuwa na ndoto ya kuwa Rais wa nchi lakni ni mdanganyifu na mjanjamjanja namna hii. Ni aibu kwako binafsi, chama unachoongoza na familia yako. Hapa kuna hoja nyingi zimeibuliwa na Ritz ambazo hujajibu na badala yake umetumia muda mwingi kuelezea mafanikio ya Taasisi ya CCBRT ambayo nayo inaendeshwa kiujanjaujanja. Ile Taaasisi ipo kimaslahi zaidi lakini wanatumia kigezo cha kutoa huduma ili kupata upendeleo kwa serikali. Hoja za Ritz ambazo ulipaswa kuzijibu ni hizi zifuatazo;
- Dr Slaa pamoja na Mchumba wako Josephine mlitembelewa na Wajapan 20 nyumbani kwenu na kula chakula cha jioni. Hiyo ilikuwa ni Juni 2013. Hoja hiyo umejibu kisanii sana eti hujawahi kutembelewa na wajapani nyumbani kwako. Kanusho lako limekuja tu kwa vile Ritz ameweka picha za Josephine akiwa Japan ambazo umesema kuwa hazikuwa ni za siri. Naamini kuwa endapo Ritz asingeweka picha yoyote, ni wazi kuwa hata ziara hiyo ya mchumba wako ungeikataa
- Ritz amesema kuwa CHADEMA mna mpango wa kujenga Hospitali huko mlalakuwa. Je hoja hiyo imekaa vipi? Si dhambi kwa CHADEMA kujenga hospitali. Hoja ya msingi hapo ni huo ulaghai unaowafanyia wajapani kuwa wewe ndiye Rais mtarajiwa 2015 na kwamba kama ukiwa Rais, makampuni ya Japani yatapata upendeleo kwa kile kinachodaiwa kulipa fadhila. Hilo unasemaje?
- Mahusiano ya Dr SLaa, familia yako, chadema na Askofu mmoja ambaye licha ya kuwa Ritz hajamtaja, lakini wadau wametusaidia kuwa ni Gwajima yapoje? Je ni kweli kuwa hospitali hiyo tarajiwa inajengwa kwa ubia yaani Dr Slaa na familia yako, CHADEMA na Gwajima? Kama ni hivyo, ubia huo una malengo gani? Ninachokiona hapo ni ukwepaji wa kodi ambao ni dhahiri Gwajima anahusika
- kama hospitali hiyo ni ya CHADEMA, iweje Mchumba wako Josephine ndiye anayefuatilia kwa karibu na si organs za chama chako? Katika hilo, hapo hapana harufu ya ufisadi?
Nawatahadhalisha sana CHADEMA kuacha ushabiki usio na manufaa na badala yake mnapaswa kufuatilia kwa karibu nyenendo za Dr Slaa na mchumba wake kwani wana mambo mengi ya siri wanayafanya kwa kutumia jina la chama na kanisa ila kwa manufaa yao.
Mkuu, Ritz ameeleweka vizuri sana labda wewe ndo hujamwelewa. Ukweli ni kuwa, dr slaa ameagizq vifaa vyote vya ujenzi wa hospitali hiyo kutoka japan. Hii ni kuanzia nondo, mabati, cement,misumari, ingawa sina hakika na mbao. Hii yote ni katika kukwepa kodi maana kwa kumtumia mchungaji gwajima ni wazi kuwa kuna kitu analenga kukwepa.
Dr.slaa ameshasaidia sana watanzania kupitia taasisi yake CCBRT,hivyo ana uzoefu wa kutoa huduma kwa wananchi!JK ana nini?msamaha wa kodi umeruhusiwa na govt ya ccm,hivyo laumu wabunge wa ccm kupitisha wakati mkulo alipojaribu kuifuta
Umeona mbali dadangu.Hapa mtanzania hahitaji kutumia nguvu kufikiria kuwa huo mzigo
ulikuwa wa cdm kwa ajili ya kupata pesa za kununua helkopta ya kampeni;
kujaza jaza mafuta mnayozungukia hewani; na kulipia hizo kodi hewa.
Mkuu wangu Lizaboni,Mkuu, Ritz ameeleweka vizuri sana labda wewe ndo hujamwelewa. Ukweli ni kuwa, dr slaa ameagizq vifaa vyote vya ujenzi wa hospitali hiyo kutoka japan. Hii ni kuanzia nondo, mabati, cement,misumari, ingawa sina hakika na mbao. Hii yote ni katika kukwepa kodi maana kwa kumtumia mchungaji gwajima ni wazi kuwa kuna kitu analenga kukwepa.
this is your true colour.hakiyamungu nchi ngumu sana hii,
anyway yetu ni macho na maskio,uhai na afya tunamuachia muumba,ila kadiri muda unavozid kwenda mbele ndivo mambo yanavozid kuwa matamu,tunaomba uhai 2015 tuweze kuiona na kujionea kivumbi...!!
Mkuu Lizaboni,Mkuu, Ritz ameeleweka vizuri sana labda wewe ndo hujamwelewa. Ukweli ni kuwa, dr slaa ameagizq vifaa vyote vya ujenzi wa hospitali hiyo kutoka japan. Hii ni kuanzia nondo, mabati, cement,misumari, ingawa sina hakika na mbao. Hii yote ni katika kukwepa kodi maana kwa kumtumia mchungaji gwajima ni wazi kuwa kuna kitu analenga kukwepa.
Ritz Hivi huyu mama kabla ya kuishi na SLAA alikuwa akifanya hizi safari za mara kwa mara JAPAN, ISRAELI na kwingineko
Hapa mtanzania hahitaji kutumia nguvu kufikiria kuwa huo mzigo
ulikuwa wa cdm kwa ajili ya kupata pesa za kununua helkopta ya kampeni;
kujaza jaza mafuta mnayozungukia hewani; na kulipia hizo kodi hewa.
Mura
Dada ameanza mapema mno loooh
na mara zote sie akina mama ndo
tunahafanya haramu kuwa halali.