Ukiwa kilaza kazi kweli wewe hayo ndiyo umeyaona kwenye post yote bavicha janga la taifa.Yaani goi goi ni goi goi tu hata umpandishe ghorofani.
Kwa hiyo kwa akili yako, serikali ikitaka kujenga kituo cha polisi, itajichaji kodi kwenye matofali na mabati ila itajiondolea kodi kwenye bunduki.....!!!! Kweli CCM ina mambo!
Sikiliza wewe nnya, tayari umeshaambiwa hakuna mpango wa hospitali sasa rudi kwenye mada, hakuna kodi, then what?
Halafu sijui umesoma wapi, Kiingereza hujui, Kiswahili hujui...bila shaka unaongea Kireno au Afghan mnakoenda kuchukua 'sembe' ambayo nayo ni Tax Exempted.
Baabara sio mahabara
Unahitaji sio unaitaji
Ndio nyie tunawatafuta mrudi kwenu, mnajifichajificha kwenye mgongo wa CCM na kumaliza tembo wetu
Chizi utamjua tu huu ni ushahidi.Mpe dada ako amuoe basi
Chizi utamjua tu huu ni ushahidi.
Hapo kwenye RED:Yaani goi goi ni goi goi tu hata umpandishe ghorofani.
Kwa hiyo kwa akili yako, serikali ikitaka kujenga kituo cha polisi, itajichaji kodi kwenye matofali na mabati ila itajiondolea kodi kwenye bunduki.....!!!! Kweli CCM ina mambo!
Sikiliza wewe nnya, tayari umeshaambiwa hakuna mpango wa hospitali sasa rudi kwenye mada, hakuna kodi, then what?
Halafu sijui umesoma wapi, Kiingereza hujui, Kiswahili hujui...bila shaka unaongea Kireno au Afghan mnakoenda kuchukua 'sembe' ambayo nayo ni Tax Exempted.
Baabara sio mahabara
Unahitaji sio unaitaji
Ndio nyie tunawatafuta mrudi kwenu, mnajifichajificha kwenye mgongo wa CCM na kumaliza tembo wetu
Hapo kwenye RED:
Mungu amejaribu kukupa ishara kuwa binadamu siyo mkamilifu kama unavyotaka kuwaaminisha baadhi ya wanaJF kiasi kwamba amekupiga kofi la upofu kama ilivyofanyika kwa unayemkosoa na kujikuta na wewe unafanya makosa yale yale unayoyakosoa.
Ninatumaini hili litakuwa ni fundisho kwa siku zijazo.
Teh teh teh Mungu hawezi kumtupa mja wake.Hapo kwenye RED:
Mungu amejaribu kukupa ishara kuwa binadamu siyo mkamilifu kama unavyotaka kuwaaminisha baadhi ya wanaJF kiasi kwamba amekupiga kofi la upofu kama ilivyofanyika kwa unayemkosoa na kujikuta na wewe unafanya makosa yale yale unayoyakosoa.
Ninatumaini hili litakuwa ni fundisho kwa siku zijazo.
Naona Bavicha wanatokwa na mapovu tu ovyo, teh teh teh teh.
Hivi kwa nini Ritz asipigwe ban kwa kuandika uongo na kuanza kuwatukana wanaJF?
Naona Bavicha wanatokwa na mapovu tu ovyo, teh teh teh teh.
Hivi kwa nini Ritz asipigwe ban kwa kuandika uongo na kuanza kuwatukana wanaJF?
Kamanda naona Ritz, anakunyima usingizi, matusi watukane Bavicha ban unataka nipigwe mie.