TUWACHE UNAFIKI NA UZINDAKI hili analofanya dk slaa ni jema kwa manufaa ya watanzania wote mambo kama haya ya kimaendeleo ni vyema yakaungwa mkono na serikali kwa nguvu zote
Kamanda, JF siyo mali ya Chadema, mnachotakiwa ni kujibu hoja.Hivi Bado tu, Pamoja na kuleta habari ya Kizushi? Au Mods nao washakuwa Waliberal!
Nimeshangaa sana na majibu ya Katibu Mkuu wa CHADEMA. Maswali yaliyoulizwa yako straight na hata majibu yake tulitegemea yangekuwa straight kulingana na historia yake katika kutoa majibu mbali mbali. Ni vigumu sana kama siyo haiwezekani kabisa kupambana na ukweli kwa kutumia siraha ya uwongo.Mkuu na hasa kwa mtu asiyekuwa makini,hili kweli ni fundisho kwake na kwa wengine na hasa Bavicha ambao wengi wao wamekuwa waropokaji na kazi yao kubwa ni kutembea na sumu!
Kamanda, JF siyo mali ya Chadema, mnachotakiwa ni kujibu hoja.
Tuanza na hii Dr.Slaa na Josephine hawana kiwanja Mlalakuwa?
Tueleze ziara za Josephine Japani kila muda ni za nini?
Jibu kamanda.
Nimeshangaa sana na majibu ya Katibu Mkuu wa CHADEMA. Maswali yaliyoulizwa yako straight na hata majibu yake tulitegemea yangekuwa straight kulingana na historia yake katika kutoa majibu mbali mbali. Ni vigumu sana kama siyo haiwezekani kabisa kupambana na ukweli kwa kutumia siraha ya uwongo.
Hii inapelekea kuamini hiki kilicholetwa hapa kina ukweli na kimekuja hapa bila Dr. Slaa kutegemea kama kinaweza kufahamika.
Kama haya maelezo siyo ya kweli, inabidi basi atuambie Dada Josephine alikuwa anafanya biashara gani na hawa Wajapan?.
Josephine Mashumbushi is overambitious na kwa kufanya hivyo, anatumia njia zote kuhakikisha anakipata kile anachokitaka.
It's not easy to convince someone to depart from his wife and follow someone else in life. She manage to do that na kwa nini asiweze tena kumshawishi Dr. Slaa kukubaliana kwenye deals zingine kwa kupitia jina la CHADEMA.
Unaomba mechi iishe? Tulia cheza mpira dogo acha kutegemea marefa.Hivi kwa nini Ritz asipigwe ban kwa kuandika uongo na kuanza kuwatukana wanaJF?
Kamanda, JF siyo mali ya Chadema, mnachotakiwa ni kujibu hoja.
Tuanza na hii Dr.Slaa na Josephine hawana kiwanja Mlalakuwa?
Tueleze ziara za Josephine Japani kila muda ni za nini?
Jibu kamanda.
Unaomba mechi iishe? Tulia cheza mpira dogo acha kutegemea marefa.
Mtakuja kuelewa tu baada ya kuibiwa saaana na hao akina Silaha na Dj Mbowe! Hawana uzalendo wala nini! Ni wajasiria mali tu! Zindukeni nyie misukule!
Nimeshangaa sana na majibu ya Katibu Mkuu wa CHADEMA. Maswali yaliyoulizwa yako straight na hata majibu yake tulitegemea yangekuwa straight kulingana na historia yake katika kutoa majibu mbali mbali. Ni vigumu sana kama siyo haiwezekani kabisa kupambana na ukweli kwa kutumia siraha ya uwongo.
Hii inapelekea kuamini hiki kilicholetwa hapa kina ukweli na kimekuja hapa bila Dr. Slaa kutegemea kama kinaweza kufahamika.
Kama haya maelezo siyo ya kweli, inabidi basi atuambie Dada Josephine alikuwa anafanya biashara gani na hawa Wajapan?.
Josephine Mashumbushi is overambitious na kwa kufanya hivyo, anatumia njia zote kuhakikisha anakipata kile anachokitaka.
It's not easy to convince someone to depart from his wife and follow someone else in life. She manage to do exactly the same na kwa nini asiweze tena kumshawishi Dr. Slaa kukubaliana kwenye deals zingine kwa kupitia jina la CHADEMA.
mbona wewe hujajibu kama biashara yako ya sembe unalipia kodi? Jibu kwanza kabla ya kukomalia wengine wajibu!!