Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
Mwanzo nilikuwa siamini kuwa kweli kuna watu "wanakosa usingizi" wakilisikia tuu jina la Dr. Slaa!.

Mimi sio mwana Chadema, ila haya usemayo kama ni kweli, then ni jambo jema!. Vifaa vya hospitali popote havilipiwi ushuru!. Hivyo usisingizie kuwa eti huo ushirikiano na dini fulani ni kwa lengo la kukwepa kodi!, umenoa!.

Tatizo lako Mkuu Ritz, ni ule tuu uoga wako kuhusu "2015" kuwa "jamaa anaweza kuwa!", hivyo sasa unaanza fitna kuwa hospitali msaada huo ni kwa sababu tuu wajapani wameahidiwa kuwa "2015 atakuwa!" ndia maana wanasaidia!.
Acha uongo, fitna na majungu!. 2015 litatimia lile tuu lililoandikwa!.
Ni "liandikwalo ndilo liwalo!" na sio "lisemwalo!".
Pasco.

Mkuu Pasco
Ni hayawani tu ndiye atakayekosa usingizi kwa ajili ya slaa; tatizo kinachoongelewa hapa sio hospitali au ushuru tatizo ni watu kutumia taasisi za kidini kukwepa kodi na kutumia misamaha ya kodi kwa matumizi yao binafsi; siku zote nategemea mwandishi wa habari aliyebobea kama wewe kuandika vitu vyenye utafiti wa kina; kauli kama hii angeitoa Mohamedi Mtoi; Molemo; Matola au Mwita Maranya nisingeshangaa sana wala nisingepoteza muda kuijibu; mkuu hilo neno unalolisubiri 2015 halipo ni rahisi sana kwa shoga/------ kupata mimba kuliko slaa kuwa raisi wa JMT; sasa kama uliwahi kusikia shoga kupata mimba basi hilo neno unalolisubiri litatimia!
 
Last edited by a moderator:
Labda uelewa wangu wa maswali ya kodi ni mdogo, lakini ninachojua mimi ni kuwa vifaa vya mahospitali vimesamehewa kodi pindi vinapoingizwa ndani ya Tanzania. Sio mashirika ya dini tu, hata watu binafsi wanapojenga hospitali wanasamehewa kodi hizo. Sioni hapo ni kwa namna gani Dr. Slaa anakwepa kodi kwa bidhaa ambazo zimesamehewa kisheria. Maelezo hayo yananifanya nimwone mwandishi wa habari hiyo ni muongo na mchonganishi.
 
Hapa kili jamaa limejificha katika mambo ya udini, Nahisi linaona wivu. Na kanisa lenye vision kubwa pale Kawe ni la Ufufuo. Ni kanisa makini. Sijui huyu jamaa anaumwa nini?

Kumbe huu ni mjadala wa dini?
 
Unakimbilia huku jukwaani kupiga majungu wakati, ulipaswa kwenda TRA kuwatonya tusikie kwenye vyombo vya habari. Na hilo lingewazaidia wewe na mtandao wenu kwa ujumla kutoka. "Akili ni mali" kama si "nywele kila mtu ana zake"
 
ya nani?nani waasisi?Nimeekuuliza JK ana ninialichoanzisha zaidi ya ile studio ya muziki aliyemkabidhi Kusaga House of Talents ambalo limekua chaka la ................kuua vipaji vya vijana!!!

[h=1]history of CCBRT[/h]1994: With the support of CBM, Dr. Willbrod Slaa, MP (still on the CCBRT Board) and Geert Vanneste founded CCBRT. Their mission was to contribute towards poverty alleviation by making rehabilitative services accessible and affordable to people with disabilities. In 1994, CCBRT was registered as a private Non-Governmental Tanzanian Society (NGO), under the Tanzanian Societies Act, No SO8261.
Unaniuliza tena mie, naona umeamia kwenye muasisi badala ya mmiliki.
 
Unakimbilia huku jukwaani kupiga majungu wakati, ulipaswa kwenda TRA kuwatonya tusikie kwenye vyombo vya habari. Na hilo lingewazaidia wewe na mtandao wenu kwa ujumla kutoka. "Akili ni mali" kama si "nywele kila mtu ana zake"

kuna tatizo gani kama NGUVU YA UMMA nayo ikijua kuwa hatuna wanasiasa, bali wahuni tu.
 
Uzi kama huu kuletwa na mtu mwenye hadhi ya Ritz ni aibu kubwa hasa kwa JF
 
Ritz,
Utabwabwaja na propaganda mpaka utachoka. Basi angalau ungelikuwa hata na Taarifa
Sahihi.
  1. Kwanza hoja ya kukutana na Wajapani nyumbani, pamoja na kuwa Dr Slaa hazuiwi na sheria au utaratibu wowote kukutana na yeyote anayetaka nyumbani kwake au mahali popote, siyo ya kweli. Hakuna siku hata mmoja, siyo mwezi Juni tu, wajapani 20 walipofika na kula nyumbani kwangu. Kama ni hivyo, mbona unawake picha za Mama Slaa alipokuwa Japan basi. Isitoshe picha za safari ya Mama Slaa hazikuwa siri zilikuwa kwenye FB yake. Mtihani wa kwanza umefeli vibaya sana. Fanya mwingine tuone.
  2. Ah! Kumbe ujenzi wa Hospitali! Pamoja na kuwa sina mpango huo, labda Kama utakuwepo baadaye tatizo ni nini. Dr. Slaa nimeasisi taasisi ya CCBRT mwaka 1994 na kujenga, pamoja na programs zingine, Hospitali kubwa kuliko zote hasa kwa performance( look at statistics) Afrika South of Sahara inayoshughulikia disagbilities under one roof, ten a katika Ardhi tuliyopewa na Serikali ya JMT. Sasa hivi, tunajenga Hospitali kubwa ya Mama na Mtoto itakayokuwa tayari 2014/15, nayo pia katika nyongeza ya ardhi tuliyopewa na Serikali. hospitali zote ziko exempted. Ukwepaji kodi uko wapi. Kama CCBRT imepata cheti cha TRA, Kama stori yako ungekuwa kweli, si ni utaratibu huo huo ungelifuatwa! Tatizo liko wapi hapo? ritz una akili ya ajabu, ningetaka kufanya biashara ningeshindwa kufanya hivyo kupitia CCBRT. Nadhani mnatafuta pa kushikiza, piga ramble zaidi labda itakusaidia!

Mara nyingi Dr.Slaa amekuwa anikuu maneno ya Mwalimu Nyerere, juu ya nani ni mzalendo na zaidi kwamba kiongozi wa Watanzania anapaswa kuwa awe mtu muadilifu.
 
Labda uelewa wangu wa maswali ya kodi ni mdogo, lakini ninachojua mimi ni kuwa vifaa vya mahospitali vimesamehewa kodi pindi vinapoingizwa ndani ya Tanzania. Sio mashirika ya dini tu, hata watu binafsi wanapojenga hospitali wanasamehewa kodi hizo. Sioni hapo ni kwa namna gani Dr. Slaa anakwepa kodi kwa bidhaa ambazo zimesamehewa kisheria. Maelezo hayo yananifanya nimwone mwandishi wa habari hiyo ni muongo na mchonganishi.
Nchi hii watu wanaosifiwa ni waizi,mafisadi na wauza dawa za kulevya,lakini watu wanaotumia akili zao kutatua matatizo yetu ya kiuchumi wanaoekana hawana umuhimu kabisa,wewe Ritz watu wanafikiria kukujengea hospitali ili familia zetu zipate huduma ya afya wewe unaleta uzandiki wa kijinga jinga hapa,siku zinvyozidi kusogea naanza kuamini kuwa ili uwe mshabiki wa magamba lazima uwe na matatizo ya akili kidogo,au upeo wako wa kufikiria uwe na matatizo.
 
Uzi kama huu kuletwa na mtu mwenye hadhi ya Ritz ni aibu kubwa hasa kwa JF

Mkuu siyo kila mtu humu JF ni shabiki wa CHADEMA wala SLAA, tunapopata bahati ya kudokezwa yanayoendelea kwa viongozi wetu tuwe tayari kupokea japo ni kweli yanauma hasa yanayoandikwa yanapokuwa ya kweli.
 
Asipolipa ushuru sasa ruzuku ya CHADEMA itatoka wapi?

Nilidhani amekwisha kwepa kodi, Sijui kwanini
Ritz asisubiri Dr Slaa akwepe kodi kabisa ili amchafue vizuri? Alafu hii thread imenipa mwanga kujua Ritz ni mtu wa uelewa gani, sidhani kama kuna kifaa kinacholipishwa kodi kiingizwapo nchini kwa ajiri ya huduma za Afya any way sasa Ritz nimekwisha mfananisha na vilaza wengine kama Chama, Utaifakwanza nakadhalika.
 
Mjomba ambatanisha na ushahidi basi ili kuipa uzito hii hadithi yako , Maneno mengi ushahidi hakuna ! Majungu ya kizushi utadhani umeambiwa Slaa anataka kumg'oa Sofia Simba UWT ! Ndiyo maana mnaambiwa mnalipwa elfu 7 KWA UZI . Kwani bila kumzushia mh katibu mkuu haiwezekani kujikimu ?
 
Mkuu Pasco
Ni hayawani tu ndiye atakayekosa usingizi kwa ajili ya slaa; tatizo kinachoongelewa hapa sio hospitali au ushuru tatizo ni watu kutumia taasisi za kidini kukwepa kodi na kutumia misamaha ya kodi kwa matumizi yao binafsi; siku zote nategemea mwandishi wa habari aliyebobea kama wewe kuandika vitu vyenye utafiti wa kina; kauli kama hii angeitoa Mohamedi Mtoi; Molemo; Matola au Mwita Maranya nisingeshangaa sana wala nisingepoteza muda kuijibu; mkuu hilo neno unalolisubiri 2015 halipo ni rahisi sana kwa shoga/------ kupata mimba kuliko slaa kuwa raisi wa JMT; sasa kama uliwahi kusikia shoga kupata mimba basi hilo neno unalolisubiri litatimia!

Pasco amekuambia ukianzisha hospital hata kama hauna taasisi na ukiingiza vifaa toka nje havilipii kodi kwa mujibu wa sheria.mbona hiyo hoja hujajibu???
 
Last edited by a moderator:
Nchi hii watu wanaosifiwa ni waizi,mafisadi na wauza dawa za kulevya,lakini watu wanaotumia akili zao kutatua matatizo yetu ya kiuchumi wanaoekana hawana umuhimu kabisa,wewe Ritz watu wanafikiria kukujengea hospitali ili familia zetu zipate huduma ya afya wewe unaleta uzandiki wa kijinga jinga hapa,siku zinvyozidi kusogea naanza kuamini kuwa ili uwe mshabiki wa magamba lazima uwe na matatizo ya akili kidogo,au upeo wako wa kufikiria uwe na matatizo.

Tatizo siyo kujenga hospitali, tatizo ni kinga inayotumika kuwashawishi wafadhili kujenga hiyo hospitali kuwa mmiliki wake ndiye anatarajiwa kuwa Rais wa nchi 2015, huku siyo kuuza nchi kweli, halafu utashangaa vifaa vinaingizwa nchini kupitia mgongo wa CHADEMA wakati ni hospitali ya SLAA na Mshumbuzi.
 
Ritz,
Utabwabwaja na propaganda mpaka utachoka. Basi angalau ungelikuwa hata na Taarifa
Sahihi.
1. Kwanza hoja ya kukutana na Wajapani nyumbani, pamoja na kuwa Dr Slaa hazuiwi na sheria au utaratibu wowote kukutana na yeyote anayetaka nyumbani kwake au mahali popote, siyo ya kweli. Hakuna siku hata mmoja, siyo mwezi Juni tu, wajapani 20 walipofika na kula nyumbani kwangu. Kama ni hivyo, mbona unawake picha za Mama Slaa alipokuwa Japan basi. Isitoshe picha za safari ya Mama Slaa hazikuwa siri zilikuwa kwenye FB yake. Mtihani wa kwanza umefeli vibaya sana. Fanya mwingine tuone.

2. Ah! Kumbe ujenzi wa Hospitali! Pamoja na kuwa sina mpango huo, labda Kama utakuwepo baadaye tatizo ni nini. Dr. Slaa nimeasisi taasisi ya CCBRT mwaka 1994 na kujenga, pamoja na programs zingine, Hospitali kubwa kuliko zote hasa kwa performance( look at statistics) Afrika South of Sahara inayoshughulikia disagbilities under one roof, ten a katika Ardhi tuliyopewa na Serikali ya JMT. Sasa hivi, tunajenga Hospitali kubwa ya Mama na Mtoto itakayokuwa tayari 2014/15, nayo pia katika nyongeza ya ardhi tuliyopewa na Serikali. hospitali zote ziko exempted. Ukwepaji kodi uko wapi. Kama CCBRT imepata cheti cha TRA, Kama stori yako ungekuwa kweli, si ni utaratibu huo huo ungelifuatwa! Tatizo liko wapi hapo? ritz una akili ya ajabu, ningetaka kufanya biashara ningeshindwa kufanya hivyo kupitia CCBRT. Nadhani mnatafuta pa kushikiza, piga ramble zaidi labda itakusaidia!
Haya kaja mwenywe sema tena Ritz na Jichola3 nenda kamwambie Nepi awaongezee buku 10 nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi Dr.Slaa amekuwa anikuu maneno ya Mwalimu Nyerere, juu ya nani ni mzalendo na zaidi kwamba kiongozi wa Watanzania anapaswa kuwa awe mtu muadilifu.


Craaaaaaaap
 
mleta mada Ritz hii mada ina wivu wa kidini,fuul stop!!!
 
Last edited by a moderator:
chama umeona jinsi nchi inavyoliwa;
na ukifuatilia hata hao wageni watakuwa aliingia kwa
mwavuli wa dini.

Hapa hajaingia ikulu siku akiingia hiyo misamaha ya kodi
itasambazwa kama njungu.

Litakuwa jambo la afya kwa chama chenu kama wanaccm mkiunganisha nguvu na kuisukuma serikali yenu kuwaletea wananchi maendeleo kuliko huu muda mnaopoteza kila siku mnamnadi Dr. Slaa mkidhani kwamba mnammaliza.
Hospitali hata ujenzi wake haujaanza wala vifaa vyake havijaagizwa lakini maccm tayari mmeshapanic kwakuwa mnafanya biashara nzuri sana na kujiingizia vipato haramu kwa kuwakamua wananchi masikini hivyo ujio wa hospitali hii ni kitisho kwenu.
Tangu JK ameingia magogoni tumeshuhudia misamaha mingapi isiyokuwa na tija kwa nchi na wananchi?au mara hii mnajifanya kujitia upofu!
 
Last edited by a moderator:
Ni vema tukamuunga mkono Dk Slaa katika adhima yake hii ya kuwapa watanzania huduma bora ya afya ambayo ni ndoto kwa Mtanzania kuipata kwa sasa!! Watanzania kwa pamoja tupambane na adui magonjwa,majungu hayawezi kutusaidia katika kuwaletea watanzania huduma bora ya afya......! Tunakushukuru Dk kwa mipango hiyo ya kizalendo achana na wachumia Tumbo tusaidie watanzania tunakutegemea sana!! MUNGU AKUBARIKI NA AKUPE MAISHA MAREFU!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom