Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Willibrod Peter Slaa pamoja na aliyekuwa mgombea ubunge wa Segerea Fredy Mpendazoe watanguruma siku ya Jumapili katika viwanja vya shule ya Msingi Liwiti iliyoko Tabata.
Watu wote munakaribishwa sana.
Watu wote munakaribishwa sana.