Elections 2010 Dr. Slaa, Mpendazoe Kunguruma Tabata - Liwiti Jumapili Nov 14

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,829
4,167
Aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Willibrod Peter Slaa pamoja na aliyekuwa mgombea ubunge wa Segerea Fredy Mpendazoe watanguruma siku ya Jumapili katika viwanja vya shule ya Msingi Liwiti iliyoko Tabata.

Watu wote munakaribishwa sana.
 

Superman

JF-Expert Member
Mar 31, 2007
5,696
1,682
Rais wa WATU wa Tanzania Dr. Wilbroad Peter Slaa pamoja na Mbunge wa WATU wa Segerea Fredy Mpendazoe watanguruma siku ya Jumapili katika viwanja vya shule ya Msingi Liwiti iliyoko Tabata.

Watu wote munakaribishwa sana.

Nimekusahihisha kidogo Mkuu.

Source?
 

Narubongo

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
2,768
2,732
Ninahisi machozi yatanitoka nikimuona dr na fred pamoja. Tujitokeze kwa wingi siku ya tukio na tuwape moyo
 

Munru

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
1,340
661
Tupo pamoja..naitaji kumsikia rais wangu atasemaje...... go slaa go..:hippie:.

CHADEMA VEMA:yield:
 

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
220,745
728,548
Dr. Slaa will always ataendelea kuwa chaguo la watanzania na huyo mwizi wa kura hapo Ikulu ataendelea kuwa paka shume tu
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom