Mnamlinda DR duuu bado mnandoto za yeye kuwa raisi!?
Henge, your signature is directly proportional to the way you vision your environments.
Mnamlinda DR duuu bado mnandoto za yeye kuwa raisi!?
My hairs!huu ni ubaguzi na ni ujinga wa karne.................
mnageuza msiba kuwa dili?
watu tunahangaika na msiba tumefiwa nyie mnaingiza SUMU ya UBAGUZI?
kweli ujinga ni ugonjwa mbaya sana.
kwa kweli nimesikitika sana kwa hii thred,basi kumbe huu msiba ni chadema...
Ni angalizo zuri lakini so far as nijuavyo Dr Slaa ni "Nyani Mzee" hivyo hapasi kufundishwa vichochoro vya mwitu alimoishi maisha yake yote
Mnamlinda DR duuu bado mnandoto za yeye kuwa raisi!?
Mnamlinda DR duuu bado mnandoto za yeye kuwa raisi!?
Najuwa wengi wameguswa na msiba huu Mungu aelaze mahali
pema Roho ya Regia Mtema.
Lakini yote kwa yote siasa mchezo mbaya sana hapa maadui wake
wasiomtakia Dr Slaa mafanikio ndo wanapata upenyo hata wa kusalimiana
naye. Kwa mfano mtu ataenda kumpa mkono wa pole huku amejikoki
Polonium110(ni mtazamo lakini)
Kwa mtazamo wangu hii ndo itakuwa furusa nzuri kwa magamba kupenyeza
mamluki katika msiba huu. Dr slaa kuwa makini na msiba huu
Mnamlinda DR duuu bado mnandoto za yeye kuwa raisi!?
Najuwa wengi wameguswa na msiba huu Mungu aelaze mahali
pema Roho ya Regia Mtema.
Lakini yote kwa yote siasa mchezo mbaya sana hapa maadui wake
wasiomtakia Dr Slaa mafanikio ndo wanapata upenyo hata wa kusalimiana
naye. Kwa mfano mtu ataenda kumpa mkono wa pole huku amejikoki
Polonium110(ni mtazamo lakini)
Kwa mtazamo wangu hii ndo itakuwa furusa nzuri kwa magamba kupenyeza
mamluki katika msiba huu. Dr slaa kuwa makini na msiba huu
huu ni ubaguzi na ni ujinga wa karne.................
mnageuza msiba kuwa dili?
watu tunahangaika na msiba tumefiwa nyie mnaingiza SUMU ya UBAGUZI?
kweli ujinga ni ugonjwa mbaya sana.
kwa kweli nimesikitika sana kwa hii thred,basi kumbe huu msiba ni chadema...
huu ni ubaguzi na ni ujinga wa karne.................
mnageuza msiba kuwa dili?
watu tunahangaika na msiba tumefiwa nyie mnaingiza SUMU ya UBAGUZI?
kweli ujinga ni ugonjwa mbaya sana.
kwa kweli nimesikitika sana kwa hii thred,basi kumbe huu msiba ni chadema...
Wengine hawana faida na nchi hii kwani wamechangia sana kutuingiza kwenye huu umaskini uliopelekea kuwa na barabara finyu ambazo ukikosea tu timing ya kuovertake umekwisha. RIP Regia MtemaAjiadhari yeye au na wengine pia wajiadhari?