Ukikosa akili huwezi kuona how fearsome is Dr.Slaa to Magamba Dynasty. Issue sio urais, issue ni namna anavyoipeleka puta serikali legelege inayoshindwa hata kuwafungulia mashtaka watuhumiwa lkn inaweza kutuma delegation kwenda kudai fine uingereza.
Tumia akili japo mara moja kwa mwaka ili isioze
Mkuu hivi usipotumia akili inaweza kuoza?
huyu mwanachama anayeitwa Henge ni nani? ni mwana magamba?