Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
Najuwa wengi wameguswa na msiba huu Mungu aelaze mahali
pema Roho ya Regia Mtema.
Lakini yote kwa yote siasa mchezo mbaya sana hapa maadui wake
wasiomtakia Dr Slaa mafanikio ndo wanapata upenyo hata wa kusalimiana
naye. Kwa mfano mtu ataenda kumpa mkono wa pole huku amejikoki
Polonium110(ni mtazamo lakini)
Kwa mtazamo wangu hii ndo itakuwa furusa nzuri kwa magamba kupenyeza
mamluki katika msiba huu. Dr slaa kuwa makini na msiba huu
pema Roho ya Regia Mtema.
Lakini yote kwa yote siasa mchezo mbaya sana hapa maadui wake
wasiomtakia Dr Slaa mafanikio ndo wanapata upenyo hata wa kusalimiana
naye. Kwa mfano mtu ataenda kumpa mkono wa pole huku amejikoki
Polonium110(ni mtazamo lakini)
Kwa mtazamo wangu hii ndo itakuwa furusa nzuri kwa magamba kupenyeza
mamluki katika msiba huu. Dr slaa kuwa makini na msiba huu