Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Yaani ccm ni wajinga kweli

Siasa zao zinaelekea kwa Dr Slaa

Wanaona wakishambulia Dr Slaa ndio wanakuwa mashujaa this is big no Mzee na CCM wote

Mzee YOU HAVE PROVED FAILURE

Nmakumbuka kwenye thead ya Paschal Mayala aliwaita Nape, na co. yake WAJINGA wapuzeni hao
 
Babu, Slaa ameishatujibu au ulikuwa umelaa? maana nyinyi mababu kwa kulala mapema. au ulitaka akujibu wewe? nasikia unalipwa eti JFwakuachie wewe, babu huwezi maana humu watu wana uelewa sana. unataka kujitafutia umaarufu kwa jina la Dr Slaa. BISHA!!
Dr Slaa siyo size yako ili akujibu wewe binafsi. naomba utumie kichwa kufikiri na mdomo kusema.
 

Kwanini asirudishe kadi ya CCM kama haitaki CCM?. Mbona majukwaani anawaomba watu warudishe kadi za CCM kuonesha kwamba hawaitaki CCM?. Huu ni uzandiki wa hali ya juu.
 
- Mimi ni mwananchi wa Tanzania ninayelipa kodi yangu ambayo inawapa ruzuku Chadema kila mwezi kutoka kwa Serikali ya CCM, ndio ninauliza iweje Slaa anakuwa anlipia kadi ya CCM na kuwa Kiongozi wa Chadema?

le mutuz

Hivi wewe unalipa kodi kweli? kwa kazi ipi unayoifanya, weka kidhubitisho humu tukuamini.
 
- I mean ukiwa na kadi ya chama kingine cha siasa na unailipia kila mwezi si unakuwa mwanachama wa kile chama au?

le mutuz
so wee hupendi awe mwanachama wenu pia? ni dalili kuwaakiwa rais wa jamhuri ya Tanzania atakuwa rais wa wote wa CCM na wa CHADEMA na wa vyama vingine vyote....
 
Kama Dr Slaa ana kadi ya CCM na bado analipia lakini wakati huo huo ni kiongozi wa CDM kwanini CCM wamn'anganie hii inaonyesha jinsi gani wanavyomtamani lakini pia imetufungua macho watu wengine kuwa ccm ni chama pekee ambacho unaweza kuwa mwanachama wa chama kingine lakini bado ukaendelea kuwa ccm ndio maana kuna mgombea wa rais wa CCM aliingia akiwa na kadi ya cdm mfukoni kwenye mchakato wa urais 2005
 
hhahahahahahahahaha! nimecheka sana,
kumbe ndo linavyojitapa huko FB? kweli ukubwa wa mwili wake hau'reflect na akili zake kabisa.....
 

Hivi we yanakuhusu nini? unaipenda Chadema eeh?? fuatilia mambo yenu CCM kwanza unyamaze kimya, ndo maana umepigwa ban na mkeo huwezi kwenda USA ...umetelekeza watoto....jela inakusubiri huko....
 
simple logic, sasa kama slaa ni mamluki wenu kwanini mnavujisha siri zake kwetu sisi CHADEMA?
na kwanini mumuogope kiivyo? si mamluki wenubana? si anawaletea taarifa za ndani za CHADEMA?
mbona hao mamluki wa bavicha waliofukuzwa hamjawahi kuwataja live live kama hivi?
 
Sijui nimjibu nini huyu jamaa! Hivi naye anaona cha maana kweli kudiscuss swala la mtu kuwa na kadi ya chama alichoachana nacho!!! Mbona hata mimi ninayo? Watanzania wengine bwana!! Badala ya kudiscuss issues anaongelea kadi. Tena huyu ni kijana. Haya sikia na Lipumba naye bado anayo. Unasemaje? Na wengi tu bado wanazo ilimradi tu waliwahi kuwa wanachama wa CCM. Unasemaje? What is the problem?
 
- Lakini hana kadi ya Chadema, the ishu hapa ni Dr. Slaa mpaka leo kwa nini hajakanusha au kukubali kwamba anailipia kadi yake ya CCM?

le mutuz
Na kwanini Nyerere alimkataa Baba yako Live bila chenga????????? sasa nimemuelewa Mwl Nyerere alikuwa anamaanisha nini wakati ule. Kama mitoto yake ni mburula namna hii unategemea nini?? Nyie ndo Baba zenu wakikamata mjengo wa magogoni mnapiga watu makofi barabarani. Pole sana.
 
Warning!:becky: Wewe hata kama huna kadi ya CCM ni marufuku kukanyaga CHADEMA, lakini Dr. Slaa ni ruksa, ili historia isisahaulike kwamba kuliwahi kuwa na CCM.

Sasa Jiulize: Je Imani ya chama bado ni hiyo iliyoandikwa kwenye kadi za CCM, halafu utapata jibu kuwa kuna watu wenye akili lazima watekeleza hayo kwa vitendo. na tutawahukumu kwa kadi hizi
 
yaani wewe ni tutusa kweli. nadhani cygwiyemisi huko mtera aliko anasikitika sana kuwa na mtoto kama wewe kwa jinsi ulivyo kuwa pumba kichwani.
 
mbululaaa! kinacho kuuwa wewe nini? hata hvyo unaonyesha umbulula wa chama chako
 
Hivi mtu akirudisha kadi huwa pia anarudishiwa pesa alizotumia kuinunua?

Nifahamisheni ili nami nirudishe kadi yangu ya CCM niliyonunua mwaka 1978 na kuilipia kwa miaka sita hadi mwaka 1984. Wakati huo kila malipo yalikuwa yanaendana na ama mchango wa mafuta ya Mwenye au Mchango wa jengo la CCM Dodoma, tena mchango huo ulikuwa ni wa lazima ingawa uliitwa mchango. Ningefurahi kurudishiwa pesa hizo leo pamoja na interest adjusted to infalation.

Hivi mtu anapolipia kadi huwa anatia sahihi sehemu kuwa ni yeye aliyeilipia? Je iwapo Nape ameamua kuandika list kwa jina la Kichuguu, je itakuwa ni kweli kuwa ni Kichuguu aliyefanya malipo hao?
 
Huyu achaneni naye na hoja zake mfu, anawachosha kama alivomchosha mzee malecela, mkumbusheni arudi ughaibuni alikoolewa.
 

Daily nakwambia wwni KILAZA tena aliyekubuhu, wala hujuagi unafanya nn, ni upoupo tu na matapishi yako!!
hafu unajiita msomi, mzee Malecela kwako umemtia hasara!
hoja zako zote za kitoto zimejaa upotoshaji ulio uchi as if hata katiba ya Magamba yenu hamuijui wala hamuifuati!!
shame on u kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…