"Usalama wa Taifa" wanaompa Dkt. Slaa taarifa na kashfa za rushwa kwa wanasiasa wenzake toka 1995 ni kina nani?

Fortilo

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
5,614
16,959
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
 
Baadae nikaja Kugundua kua DINI inabaki kua DINI , na watu wengi sana wanaheshimu viongozi wa Dini yao.

RC ilifanikisha sana katika suala la Ujasusi, naweza sema ndio Taasisi pekee Duniani yenye mkono mrefu unaofika mpaka uvunguni kwa Kitanda kilicho Ndani ya Chumba kwenye Handaki.

Hivo Taarifa za Dr Silaa, usizitilie Shaka.

Mbowe must GO!!.
 
Baadae nikaja Kugundua kua DINI inabaki kua DINI , na watu wengi sana wanaheshimu viongozi wa Dini yao.

RC ilifanikisha sana katika suala la Ujasusi, naweza sema ndio Taasisi pekee Duniani yenye mkono mrefu unaofika mpaka uvunguni kwa Kitanda kilicho Ndani ya Chumba kwenye Handaki.

Hivo Taarifa za Dr Silaa, usizitilie Shaka.

Mbowe must GO!!.
Daktari ukilijua hili basi haikupasi kutilia Shaka habari zilizo nyingi atowazo mtu yeyote aliyewahi kuwa au yupo katika taasisi za dini .

Wakola
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...


Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.


Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Badala umuongelee Kigogo Kigogo unamuongelea mtu anayefahamika kwa kila mtu
 
Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.
Na je mbona haweki wazi Rushwa aliyopewa na yeye akaikana chadema akahamia CCM na kupewa ubalozi? Je hao wanaompa taarifa je walimpa na taarifa yake ya kula rushwa?
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Umesema hilo la Mbowe kupewa pesa na namba 1 ili ashinde Uenyekiti huna tatizo nalo!? Au nimseoma vibaya?
Anyway, Slaa amewahi kuibua madudu mengi tu na mwisho wa siku ilidhihirika kuwa ni kweli so mpaka hapo tuna kila sababu ya kumuamini. Wewe mwenye mashaka njoo na ushahidi wako kuwa anachoongea ni uongo.
 
Na je mbona haweki wazi Rushwa aliyopewa na yeye akaikana chadema akahamia CCM na kupewa ubalozi? Je hao wanaompa taarifa je walimpa na taarifa yake ya kula rushwa?
Kwamba Slaa alikula Rushwa ila Mbowe kumkaribisha Lowassa aliyekuwa na madudu kibao hakupewa rushwa!!!??? Kwetu sisi ni rahisi kumuamini Slaa kwakuwa aliamua kutokaa meza moja na mtu mchafu na hilo limeendelea kumjengea imani kwa wananchi.
 
Kwamba Slaa alikula Rushwa ila Mbowe kumkaribisha Lowassa aliyekuwa na madudu kibao hakupewa rushwa!!!??? Kwetu sisi ni rahisi kumuamini Slaa kwakuwa aliamua kutokaa meza moja na mtu mchafu na hilo limeendelea kumjengea imani kwa wananchi.

Acha kujitoa ufahamu....Watu wote waliongia CDM kutoka CCM walitoa rushwa? Mbowe amewashawishi watu potential wengi kuingia CDM ili kukuinua chama ,Lema.Lissue,Msigwa ,kaburu,ENL etc wote wameshawishiwa kuingia CDM...Utamshawishije mtu aingie CDM then atoe fedha? labda ungesema Mbowe ametoa Rushwa ili waliotoka CCM waingie CDM.
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?
Kumpa baadhi ya taarifa kuhusu mambo yanayoendelea ndani ya nchi ni sehemu ya kazi yao ni kawaida. Ni rahisi na sahihi kutumia wapinzani kuibua mambo mazito ili yapatiwe ufumbuzi kabla usalama wa nchi haujawa hatarini

Ukitaka kuwafahamu ni nani wanampa kutoka kitengo cha usalama nchini jaribu kusuka mipango ya kuipindua nchi utawajua tu.
 
Wakuu salam.

Kwa wafuatiliaji wa siasa za Tanzania toka zilivyoanza kuchangamka 1995 mtakubaliana na mimi kuwa Dr. Slaa ni mmoja wa wanasiasa "Contraversial" na mwenye ushawishi kwa muda mrefu, takribani Miongo mitatu sasa.

Ni Dr. Slaa huyu huyu aliewahi kuhoji na kufanya Jack Zoka Naibu Mkuu wa Usalama wa taifa kutoka hadharani kukanusha shutuma mbalimbali ikiwemo ya kutaka kuwadhuru wakosoaji wa kisiasa awamu hiyo mwaka 2012.

Soma pia: Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Hivi Jana Dr. Slaa kanukuliwa kwamba amepewa habari na watu wanaompenda na waliopo "Usalama wa Taifa" kwamba Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA amepewa rushwa kubwa na Rais ili kuhonga wajumbe wampigie kura.

Hakuishia hapo, akasema amepewa hadi maafisa wa vyombo vya dolla kuimarisha ulinzi na kuhakikisha anashinda katika uchaguzi huo...

Sina tatizo kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini kitu cha muhimu sana hapa ni kuwa na uhakika na taarifa ambazo mara nyingi huwa anazitoa kwa maslahi yake binafsi.

Mara nyingi ukimsikiliza akitaka kumchafua mtu anatumia kuwa kapewa "Data" na vyombo vya ulinzi na usalama.

Kwanini yeye mara nyingi apewe data za kuchafua wenzake, na hii imekuwa style yake ya uongozi toka anaanza harakati za Ubunge Karatu mwaka 1995 mpaka leo hii.

Hao wana usalama wanaompa Dr. Slaa Data kwa miaka zaidi ya 30 sasa ni kina nani? hasa katika harakati za kuwaharibia wenzake reputation na kukuza jina lake...

Uzalendo ni pale tu anapotaka kuharibu majina ya wengine? Tuhuma anazotoa nani anaweza kuzithibitisha pasi na shaka?

Dr Slaa ni muongo anatumia siasa kama sehemu ya kuvuna fedha na kuongeza umaarufu.Kupitia siasa zake za majitaka amefanikiwa kuwachota wajinga wajinga wengi.

Dr Slaa aliondoka CDM miaka mingi sijiu kwanini mpaka leo anajibaraguza na chama alichokitosa kipindi cha uchaguzi.

Vipo vyama vingi NCCR,ACT,CHAUMA vina nafasi ya kuwapokea wanasiasa wa aina ya Dr Slaa.
 
Back
Top Bottom