Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Mkuu tumeona na maazimio yako uliyopost kwenye page yako ya facebook


@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!: Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015,
SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA.

NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO.

INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY?

SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!


Wengine wanafanya mipango ya kujenga wewe unafanya OPERATION CHAOS!

Watu wameamka.

 
Hili jamaa mimi huwa nalidharau sana. Akili ya kushikiwa kabisa, we mtu uliyeshindwa hata kupata alama D tatu kwenye mtihani wa kidato cha nne ndo upange mipango ya kumdondosha Dr Slaa. Hiyo ni akili ya fisi kufuatilia mkono wa mlevi kwamba huenda mkono ukadondoka. This is Shit...

Habari ya kadi imeisha expire, kama ilivyo expire ya wewe kumtukana Kikwete kwenye mtandao wa Ze Utamu

.......

- And then lets get back to the ishu, Slaa ana kadi ya CCM na a nailipia sasa kwa nini hamjamfukuza mmefukuza watoto wadogo?

le mutuz
 
Shikamoo Mzee @ W.J.Malecela.Wewe ni mtu mzima sana unaweza kunizaa.Lakini namhurumia sana Mzee John Malecela kwa kuzaa kituko wa aina yako.

C.c SEBM

.......
Jamaa ana miaka 54, kabakisha miaka 6 tu kustaafu kwa lazima na mwaka mmoja kustaafu kwa hiari...

Huyu akipewa madaraka atang'ang'ania kama Baba yake. Anaona ni heri aendelee kukomaa hapa bongo huenda akapata ajira ya bure kwenye siasa kuliko kurudi NYC akaendelee na kazi ya KUZIMA MOTO.

Watu tulishukuru Mungu ulivyonusurika kufa na wazima moto wenzio at 9/11 lakini hauna shukrani.
 
Kama Slaa yuko chadema na anakadi ya CCM, mfukuzeni uanachama wa CCM ili akome! very simple
........

Huyu KJ alikuwa wapi, mwenzake Nape kaitelekeza hoja yake na kakimbia kadi mbili na kakimbia yeye ndo anaibuka nayo! Kama Dr. Slaa ni Mamluki, ni mamluki wa CHAMA gani?

Yani nyie CCM mnaweza kuktangaza mamluki mliyempandikiza ndani ya CHAMA kingine na muanze kupiga kampeni afukuzwe? Hii ni aina gani ya propaganda labda mimi bado mchanga kisiasa!
 
Ni kweli Dr. Slaa anayo kadi ya ccm na anaendelea kuilipia.

Sasa unaweza kurudi kwiro kufuta ile zero uliyopata!

........

Mh! huyu jamaa naona anabahatisha katika kujenga hoja anazo zileta hapa Jf kwani kama ange ijua katiba ya chama chake wala asinge poteza muda wa kutoa hoja dhaifu kama hii katika jukwaa hili.

Dr. ame kiuka katiba ya chama cha mapinduzi kwa kuamia chama kingine, na kosa hilo lina mfanya kupoteza sifa ya kuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi. POLE MLETA MAADA KWA KUTO LIJUA HILI UNAHITAJI KUELIMISHWA.

Kuhusu swala la kujiswafi jaribu kuangalia chama chako ni mabo mangapi yamefanyika na kulisababishia taifa hili kuwa katika hali ngumu ya kiuchumi na chama kama chama hakija wachukilia hatua zozote walio liweka taifa hili kaatika hali hii tulio nayo.

KUHUSU SWALA LA KURUDI KWIRO: kama alisoma kwiro basi huyu jamaa alikuwa anashinda katika msitu wa MZINGIZINGI au MSITU WA NAWENGE ndio maana akapata dunia. Kwani walio soma kwiro hawana FIKRA FINYU kiasi hiki alicho kionesha huyujamaa.

WANA SISIEM KWAKUWA MLIIFICHA KATIBA YA NCHI HII IMEPELEKEA HADI KUIFICHA KATIBA YA CHAMA CHENU NA WANACHAMA WENU KUSHINDWA KUJUA VIPENGELE VYA KATIBA YENU, SASA MNAKAZI YA KUWAFUNDISHA WANACHAMA WENU KUHUSU KATIBA YA CHAMA CHENU KWANZA KISHA BAADAE MJIFUNZE JUU YA UTAWALA BORA NA KUHUDUMIA WANANCHI KWA MANUFAA YA NCHI.
 
we don't care about Dr Slaa to have ccm card but what we see here is Dr Slaa is fighting for the lost right of the people but not as you think
you are out of mind, may be your crazy we do know
 
- Nah sitaki kuamini kwamba huko Chadema mna maumivu ya kukosa uongozi wa Taifa au?

le mutuz

Mbona unaumiza kichwa kwa kuwaza juu ya TAASISI kubwa kama CHADEMA, una interest gani na hiyo taasisi. Kama unataka jiunge ili wakutambue
 
Mimi huwa simuelewi kabisa huyu Will malecela kwani ukimuangalia ni baba mtu mzima kabisa wa miaka kuanzia hata 50 kuendelea ambaye hata wazee wenzake kama Jaji warioba wametulia lakin yeye hajali kitu mawazo ya kitoto kabisa sasa sijui wajukuu zake watarithishwa hekima gani.
Ndo maana huyu bwana "alipigwa chini" kwenye kila chaguzi alojaribu.
 
- And then lets get back to the ishu, vipi kwa nini Slaa mpaka leo hajakanusha kwamba anailipia kadi ya CCM mna majuzi mbona mmewatimua watoto wadogo kwa dhana ya kuwa Mamluki wa CCM, au Slaa ni untouchable?

le Mutuz

wewe ... umeamkiwa, shikamoo mzee William J. Malechela ....itikia basi bana !!! miaka hairudi nyuma na wewe ni babu .... wenzako busara na hekima zinazidi lakini wewe kwa umri ubabu huu unajiita "the king of all bongo social network media" ... puuuffff
 
- and then lets get back to the ishu, Slaa ana kadi ya CCM na a nailipia sasa kwa nini hamjamfukuza mmefukuza watoto wadogo?

le mutuz
Sasa nyie mnapokeaje mchango wa mtu ambaye sio mwanachama wenu kwa mujibu wa katiba yenu. Kajiunga na chama kingine uanachama wake umekoma, kuendelea kupokea mchango wake ni wizi mtupu. mmeiba EPA, Kagoda, Kiwira, Meremeta, Richmond, Dowans, Baba ako alichukua KIANZIO kwa Baba yake Nape Jeetu Patel za kutaka uraisi alipokosa hakurudisha chenji,,,, Na sasa mnaiba hela za Dr Slaa kwa kupokea michango yake wakati sio mwanachama wenu
 
Huyu jamaa naona anafurahia matusi anayopewa hapa kila siku, kiasi kwamba akilala anawaza kuwahi kuamka akatukanwe JF.
 
  • Thanks
Reactions: ral
Jamaa ana miaka 54, kabakisha miaka 6 tu kustaafu kwa lazima na mwaka mmoja kustaafu kwa hiari...

Huyu akipewa madaraka atang'ang'ania kama Baba yake. Anaona ni heri aendelee kukomaa hapa bongo huenda akapata ajira ya bure kwenye siasa kuliko kurudi NYC akaendelee na kazi ya KUZIMA MOTO. Watu tulishukuru Mungu ulivyonusurika kufa na wazima moto wenzio at 9/11 lakini hauna shukrani.

........

- Look here lets say nina Miaka 70, now what that has anything na Slaa kutokanusha kulipia kadi yake ya CCM, mbona alikubali kuwa anayo kwenye kulipia mbona yupo kimya na huku mnafukuza watoto wadogo kuwa ni mamluki mbona kama Slaa hapa ndio mamluki wa kweli?

le mutuz
 
huyu jamaa naona anafurahia matusi anayopewa hapa kila siku, kiasi kwamba akilala anawaza kuwahi kuamka akatukanwe JF.

- Kwanza ni matusi ya kizamani, and then back to the ishu Slaa aseme kama analipia au halipii kadi yake ya CCM?
le
mutuz
 
Sasa nyie mnapokeaje mchango wa mtu ambaye sio mwanachama wenu kwa mujibu wa katiba yenu. Kajiunga na chama kingine uanachama wake umekoma, kuendelea kupokea mchango wake ni wizi mtupu. mmeiba EPA, Kagoda, Kiwira, Meremeta, Richmond, Dowans, Baba ako alichukua KIANZIO kwa Baba yake Nape Jeetu Patel za kutaka uraisi alipokosa hakurudisha chenji,,,, Na sasa mnaiba hela za Dr Slaa kwa kupokea michango yake wakati sio mwanachama wenu

- The point ni wakati sasa ni muafaka kwa Slaa kujibu kama analipia au halipii kadi yake ya CCM, hayo mengine mengi hapa sio pahala pake if you dont mind!!

le mutuz
 
- And then lets get back to the ishu, vipi kwa nini Slaa mpaka leo hajakanusha kwamba anailipia kadi ya CCM mna majuzi mbona mmewatimua watoto wadogo kwa dhana ya kuwa Mamluki wa CCM, au Slaa ni untouchable?

le Mutuz
Mi ningewaona mna point kwa kuthibitisha usaliti wa Dr Slaa kwa kutuonyesha picha za Dr akiwa na Wassira, au amelala nyumbani kwa Mwigulu Nchemba , hapo ndio tutasema Dr Slaa ni msaliti. Mnachofanya CCM ni sawa na mtu anatembea na mkeo halafu unajisifu kwamba huyo anayetembea na mkeo anaisaliti ndoa yake, unamshawishi mke wa huyo jamaa amuache huyo mumewe anayetembea na mkeo badala ya wewe kumuacha mkeo au kumkataza jamaa kutembea na mkeo. Sasa jamaa kukukomesha anaendelea kumkong'oli mkeo hadi nyumbani kwako. Ndicho anachofanya W.P. Slaa(PhD), anawakong'oli CCM, anakomba wanachama wenu, anafungua matawi ya CDM kila pembe ya nchi huku kadi ya CCM kaiweka kwenye maktaba yake ya Makumbusho. Dr Slaa is genius, haha haaa
 
Kaka Willy naona unawinda nafasi ya Nape ya Propaganda na usemaje wa chama, ila Hii topic ya Dr Slaa si ya Nape si mumuachie aendelee nayo kama mtaji wake wa kisiasa?

Wewe lete ya kwako kama Gesi, Umeme wa mgao, barabara za mchina (daraja week 3 zinabomoka), Foleni ya dar iliyowashinda, ujenzi wa Morogoro road vituo vya abiria katikati ya barabara sijui watu watakuwa wanapaa kuvuka upande wa pili, Jengo letu la CCM vijana ambalo lilileta uasama kati ya Kaka Nape na Babu EL, Meeeeeeengi sana ya kuongelea achana na Dr Slaa maana hii story haina tija kwa maendeleo ya nchi yetu
 
Ndugu zangu wana JF na wanasiasa wenzangu. Kwa kipindi sasa kumekuwepo na propaganda za wana CCM na masalia yetu kudai kuwa Dr. Slaa anamiliki kadi ya CCM, na hawa ndio walioanzisha hiyo agenda na sasa limekuwa kama wimbo wa Taifa na haswa likishikiwa bango na hao hao wana CCM! Sasa kitu ambacho mimi najiuliza na kubaki nikiwashangaa hawa jamaa zangu ni hiki.

Kama Slaa anayo kadi yao na bado anailipia kila mwezi sasa si ni wao wanaofaidika na mapato ya mwanachama? Kama sio unafiki na kupika majungu iweje leo wao ndio wawe wa kwanza kulalama badala ya wanachama wa CDM ambao ndio wangelalamikiwa kuhujumia huko?!

Sasa wanapowasilisha madai yao hapa, wanataka sisi wana cdm tuwasaidie nini au wanafikiri kuwa sisi tunafikiri na kufanya maamzi kwa kutumia MA****** kama ndugu zao?

Tafakari kabla ya kujadili hili.
 
Back
Top Bottom