Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

- Lakini hana kadi ya Chadema, the ishu hapa ni Dr. Slaa mpaka leo kwa nini hajakanusha au kukubali kwamba anailipia kadi yake ya CCM?

le mutuz

Mkuu;

  • Sijawahi kujibu Comment yako ingawa hio sio ishu na sio lazima kwako na wala kwangu.Ila nimekuwa nikiona kujibishana na mtu kama wewe ni upotezaji wa mda tu.Kuna wakati hua naona kama wewe ni mtu aliye kichaa,sasa kujibishana na wewe ni ukichaa wangu zaidi na sio wako.Kwa maana hiyo nakubali kuwa kichaa kwa mda naandika post hii ili kuweza kuonesha "How a silly gay you are"
  • Ilihali una uelewa tosha wa katiba yenu (CCM) unashabikia jambo lisilo na mashiko kwa kudhani kwamba unaiandama CDM.Dr Mwenyewe yuko smart ndio maana anawapuuza."Dawa ya Mpuuzi ni kumpuuza"
  • Kwa umri wako na matarajio ya watanzania wengi walitarajia kuona mtu mwenye exposure ya mazingira ya nje ya Tanzania anayeweza walau kuleta changamoto za kimaendeleo katika sekta mbalimbali(Hata hio ya Ubaharia uliyonayo) lakini imekua tofauti kabisa,tunapata MaLusinde wengine.Gentleman,I believe you may be better than this.Mbona Mchambuzi yuko CCM na yuko smart na anaheshimika ,hata hoja zake zina mashiko....Huo ukoo wenu wa MaLusinde mmelogwa.? Si ajabu mzee John malecela kubadili jina kuwa Jumanne kuupata urais ambao umekua ndoto
  • Kuna changamoto nyingi zinazohitaji mjadala wa kitaifa ili taifa livuke salama kwenda katika maendeleo chanya,tunahitaji vijana na wazee kama wewe wawe focused kuonesha dira ya tunakwenda wapi? Mjadala wa kadi sio ishu ya maana hata.Labda kwa Ma CCM kwa sababu mna akili za maiti.
  • Hata kama ni propaganda chagueni zile zenye mashiko.........


Naam ,na ukichaa wangu uishie hapa baada ya kuweka nukta hii.
 
Last edited by a moderator:
- Lakini hana kadi ya Chadema, the ishu hapa ni Dr. Slaa mpaka leo kwa nini hajakanusha au kukubali kwamba anailipia kadi yake ya CCM?

le mutuz

Na kwa nini mpaka leo hamjamvua gamba basi kama amewasaliti na kukiponda chama chenu ilhali bado ni mwanachama wenu....katiba yenu inaelezea kabisa ni namna gani mwanachama wenu anapoteza uanachama kwa mambo kadha wa kadha yalioyaorodhesha..."Ni mambumbumbu" says lissu......
 
Mzee kwanza shikamoo , pamoja na umri kukutupa mkono nakuusia kwamba hutaweza kushinda hii vita kwenye social Network , Mdogo wako Freeman Mbowe kutangaza kutogombea urais 2015 hakukuogopa wewe Le Mutuz , kwanza hata sidhani kama anakufahamu , ungekuwa unafahamika basi bila shaka ungeiokoa familia yako na aibu za kisiasa inazozipata .

- Ok the ishu bado inasimama pale plale kwamba mmewafukuza mamluki watoto wadogo sana wasio na uwezo wa kujitetea, kwa kosa lile lile kama alilo nalo Slaa la kuw amamluki, I mean ukishakuwa na kadi mbili mna zote unazilipia ukweli ni kwamba wewe ni mamluki, sasa mbona Slaa mmemuacha ndio inatia wasi wasi sana na uwezo wenu wa kusimamia katiba people!!

le mutuz
 
Achana nao,Dr.SLAA anafaa kuwa MBUNGE na sivinginevyo ! Arudi mjengoni kuwasha moto kama TUNDU LISSU,CCM itaendelea kutoa MARAIS wenye UZALENDO na HEKIMA za KIUNGOZI...Hadi Upinzani upate VITI vya WABUNGE 150 ndipo RAIS atatoka kwenye UPINZANI
......

Hizi ndoto siku zikikwama sijui mutasemaje CCM hihi iendelee kutoa Maraisi ambao kwa miaka saba tu iliyopita wamevuna tembo na kuwamaliza kwa asilimia 42,Twiga asilimia 35,chui asilimia 90.

CCM hihi ambayo wanaruhusu makandarasi wanaojenga barabara madaraja yanabomoka baada ya wiki mbili.

CCM hawa walioshusha kiwango cha ufaulu kutoka asimilia 100 mpaka 70 ili tuendelee kuwa na taifa la wajinga.

CCM waliopandisha deni la taifa mpaka trilioni 22 hazina ya taifa katika miaka saba imekwisha na kubaki sifuri Kuchagua CCM tena ni janga la taifa.
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA. at williammalecela.blogspot.com

........


Mjini kuna mashartii.mpaka ufanikiweee,,,na sio kuvaa mashati ya kijanii ukajiona ndio weweee,,,
 
Mkuu;

  • Sijawahi kujibu Comment yako ingawa hio sio ishu na sio lazima kwako na wala kwangu.Ila nimekuwa nikiona kujibishana na mtu kama wewe ni upotezaji wa mda tu.Kuna wakati hua naona kama wewe ni mtu aliye kichaa,sasa kujibishana na wewe ni ukichaa wangu zaidi na sio wako.Kwa maana hiyo nakubali kuwa kichaa kwa mda naandika post hii ili kuweza kuonesha "How a silly gay you are"
  • Ilihali una uelewa tosha wa katiba yenu (CCM) unashabikia jambo lisilo na mashiko kwa kudhani kwamba unaiandama CDM.Dr Mwenyewe yuko smart ndio maana anawapuuza."Dawa ya Mpuuzi ni kumpuuza"
  • Kwa umri wako na matarajio ya watanzania wengi walitarajia kuona mtu mwenye exposure ya mazingira ya nje ya Tanzania anayeweza walau kuleta changamoto za kimaendeleo katika sekta mbalimbali(Hata hio ya Ubaharia uliyonayo) lakini imekua tofauti kabisa,tunapata MaLusinde wengine.Gentleman,I believe you may be better than this.Mbona Mchambuzi yuko CCM na yuko smart na anaheshimika ,hata hoja zake zina mashiko....Huo ukoo wenu wa MaLusinde mmelogwa.? Si ajabu mzee John malecela kubadili jina kuwa Jumanne kuupata urais ambao umekua ndoto
  • Kuna changamoto nyingi zinazohitaji mjadala wa kitaifa ili taifa livuke salama kwenda katika maendeleo chanya,tunahitaji vijana na wazee kama wewe wawe focused kuonesha dira ya tunakwenda wapi? Mjadala wa kadi sio ishu ya maana hata.Labda kwa Ma CCM kwa sababu mna akili za maiti.
  • Hata kama ni propaganda chagueni zile zenye mashiko.........


Naam ,na ukichaa wangu uishie hapa baada ya kuweka nukta hii.

........

- Absolutely nothing to do na the ishu, Slaa na Chadema wanahitaji kukanusha kwamba Slaa halipii kadi yake ya CCM aliyokubali kuwa nayo!

le mutuz
 
- The point ni wakati sasa ni muafaka kwa Slaa kujibu kama analipia au halipii kadi yake ya CCM, hayo mengine mengi hapa sio pahala pake if you dont mind!!

le mutuz
.......

Kadi ya Dr. ime lipiwa miaka ishirini. haya umefurhi kusikia hivyo? na baada yakufuruhi swali kwako Dr. ni mwanachama wa SISIEM? Kwa kigezo kipi?

Tumia akili sio masaburi katika kufikilia.
 
nadhan dr slaa ameepuka ule msemo ukianza kumkimbiza chizi wewe ndo utaonekana chizi!!!!
 
- Ok the ishu bado inasimama pale plale kwamba mmewafukuza mamluki watoto wadogo sana wasio na uwezo wa kujitetea, kwa kosa lile lile kama alilo nalo Slaa la kuw amamluki, I mean ukishakuwa na kadi mbili mna zote unazilipia ukweli ni kwamba wewe ni mamluki, sasa mbona Slaa mmemuacha ndio inatia wasi wasi sana na uwezo wenu wa kusimamia katiba people!!

le mutuz

.........
Watu wengi wanaona unaongea ujinga kwa sababu unapindisha ukweli kwa makusudi ndio maana wengine wameenda kufukua hadi ulikosoma Kwiro kujikumbusha ulikuwa na IQ ya kiwango gani na kama ulifeli ukapata Zero, je kwa sasa akili yako inauwezo wa kupambanua mambo.

Wanaona hapana na haswa wakikulinganisha na watoto wengine wa Mzee Malechela ambao wengine ni Maprofesor,Madaktari na majaji ,ki ufupi kama ndio strategy ya kututoa kwenye mjadala wa kujadili kwa nini JK kashindwa kuendesha nchi umepatia vinginevyo unatubore.
 
Mkuu tulishasoma na post zako za Facebook:

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!: Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you
OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015,
SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!

Naona ndio hivyo unatekeleza Operation Chaos. Watu wameamka hawadanganyiki.

Naona hata Mwigulu Nchemba concentration ni Dr. Slaa.

Tunazidi kumsikiliza Dr. Slaa kwa kuwa mmempromote sana.
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

Hakuna mambo mengine ya kujenga Taifa hili!! Kadi Kadi Kadi, haya makadi ya CCM si kila mmoja alikuwa analazimishwa kuchukua miaka nyuma! Ishu sio kuwa na kadi, je imani yako ipo upande upi!! Kulinda rasimali za Taifa ama kuwa upande wa Chukua Chako Mapemaaaaa. Tafuta wimbo mwingine huu ni silipendwa Kaka
 
Nimecheeka! Yaani hii ni hoja ya kutolewa na le mutus? hoja ya std 3 au 4 hivi, nini kujifanya matahila na akili tunazo!
 
Jitahidi labda utaeleweka lakini navyoona umeshachelewa tafuteni lingine watanzania shida yao siyo kadi ya chama fulani, wanachotaka namna gani ya kutatua matatizo yaliyo mbele yao
 
- CUF na CCM wanatawala pamoja kule Zanzibar, kwa hiyo ni sawa sana kwa Lipumba kuw ana kadi ya CCM, lakini Slaa kuwa na kadi ya CCM na anailipia kila mwezi, na huku majuzi mmewafukuza dagaa kwamba ni Mamluki, inatia shaka sana na uwezo wenu wa kuheshimu na kuzingatia Sheria au katiba!!

- Kama hamuwezi kuzingatia Katiba ya Chama chenu itakuwa Katiba ya Jamhuri, mtatupeleka pabaya sana jamani!!

Le Mutuz

Mbona mabandiko yako hayafanani na umri wako? unaonekana una umri mkubwa lakini points unazoandika utafikiri za mtoto anayelilia kunyonya! Ni ccm iliyokuchafua ubongo namna hiyo?!. Hata watoto wako (kama unao) watakuwa wanakushangaa sana.
 
- CUF na CCM wanatawala pamoja kule Zanzibar, kwa hiyo ni sawa sana kwa Lipumba kuw ana kadi ya CCM, lakini Slaa kuwa na kadi ya CCM na anailipia kila mwezi, na huku majuzi mmewafukuza dagaa kwamba ni Mamluki, inatia shaka sana na uwezo wenu wa kuheshimu na kuzingatia Sheria au katiba!!

- Kama hamuwezi kuzingatia Katiba ya Chama chenu itakuwa Katiba ya Jamhuri, mtatupeleka pabaya sana jamani!!

Le Mutuz

Kadi ya Dr Slaa ndiyo imefanya sisi Kyela tukose maji saafi na salama ya kunywa toka Uhuru ili hali ziwa Nyasa lipo kilometa chache tu toka tulipo?

Kadi ya Dr Slaa ndiyo imekwamisha Kyela kuwa na umeme wa uhakika sasa hadi kupelekea biashara yangu ya kinyozi kufifia hapa Kyela mjini na Ipinda?

Kadi ya Dr Slaa ndiyo imesababisha kwenye zahanati yetu hapa Matema kila siku tushuhudie akina Maama wanakufa wanapokwenda kujifungua kwa kukosa huduma na madawa ?

Le Mutuz;mkija Kyela na sera za kihayawani kama hizi walahi naapia tutawapopoa mawe!Njooni mtueleze kwa nn bado tupo maskini tukikosa hata basic needs ili hali Kyela tuna rasilimali nyingi tu!
 
kwa madai mnacheza gem theory

poleni kwani njia mnayotumia ni yakitoto sanaaa tafuteni njia nyingine
 
yaani ccm ni wajinga kweli

siasa zao zinaelekea kwa dr slaa

wanaona wakishambulia dr slaa ndio wanakuwa mashujaa this is big no mzee na ccm wote

mzee you have proved failure



ana lake na dr slaa sio bure,nadhan anamjua fika ni handsome boy mjini wengi kama yeye wanamgombania.,na yeye amewapiga na chini,male wa cela anamuonea wivu shosti wangu josephine tuh
 
- Ndio tatizo letu kubwa Africans, huwa tunadharau sana mambo flani na kuyaita madogo ukweli ni kwamba record inajiweka wazi hapa kwamba Slaa akipewa Uongozi wa Jamhuri atakuwa ni Kiongozi wa namna gani na Chadema pia mkipewa uongozi wa Jamhuri mtakuwa ni watawala wa namna gani, mtakuwa mnaoena wadogo tu na kuwaacha wakubwa kwa visingizio kwamba ni mambo madogo!!

- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje?

Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!!

le mutuz

Hao wadogo ambao wameonewa kwa kuwa na makosa kama hayo ya Dr. Slaa ndani ya Chadema ni akina nani? Una jina walau moja ili utujuze walau na sisi? Muda mwingine ni busara tu kukaa kimya kama kile unachoshabikia hakina maana. Usiwe adui wa wewe mwenyewe kwa kuwarahisishia watu wengine kuufahamu uelewa wako kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom