Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Apr 27, 2006
26,584
10,378
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA. at williammalecela.blogspot.com
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA.

Mkuu anza na ccm na Kikwete to clean

1. EPA pending
2.Kagoda pending
3.Meremeta pending
4.kiwila pending
5.
6.
7.
8.
9.
10.


Wewe ni mtu wa ajabu sana na uwezo wako wa akili ni mfinyu sana
huwezi kukemea watoto wa jirani wakati wewe watoto wako wameoza

shame you, Mzee you are still younger in this game
 
Mkuu bado unauliza hayo pamoja na kujua katiba ya CCM?

Mimi nilimsikia Dr. Slaa akisema wanaoshabikia hoja ya kadi ni mbumbumbu, unasemaje?
View attachment 78816
attachment.php
 
Jana nilimsikia Prof.Lipumba naye anasema anakadi ya CCM,na anasema aitupi kwasababu na mali yake,sasa sijui muwasha washa unatoka wapi,akija akikiri kwamba kadi anayo wewe utafaidika nini?Wanaume wengine banaaa.
 
Mkuu tulishasoma na post zako za Facebook:

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!: Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015,
SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!

Naona ndio hivyo unatekeleza Operation Chaos. Watu wameamka hawadanganyiki.

Naona hata Mwigulu Nchemba concentration ni Dr. Slaa. Tunazidi kumsikiliza Dr. Slaa kwa kuwa mmempromote sana.
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA.

Unajua ukiwa CCM akili zinawaruka kabisa! Hivi Dr Slaa awe mamluki wa CCM alafu Nape atangaze? Hivi jeshi linaweza kupandikiza mtu mahali alafu litangaze? Huu ni utoto na unachosha sasa na hasa tunajua kwa muda mrefu kulikuwa na mkakati maalum wa kuigeuza JF kijiwe na stori za kijinga na zisizoaminika.

Dr Slaa kadi ya CCM aliilipia miaka 20 kama ilivyo kwa Chadema na amekwisha sema hilo tatizo liko wapi?

William,nafahamu uwezo wako wa kuibua mijadala muhimu na wewe ni moja ya maguru wa JF toka enzi hizo lakini umeamua kujitoa akili makusudi kiasi cha kushangaza malengo yako!

Tujenge taifa kwa kujadili mambo ya maana na isaidie serikali ya chama chako kwa kuikosoa mapema kabla hamjasambaratika kama KANU.

Otherwise Mods mijadala inayojirudia kama hii unganisha tu itaishia kujaza server kwa porojo na kejeli za willy.
 
nape atoe hizo risiti za malipo ya mwezi uliopita haraka sana, na tunaomba na picha waliompiga dr.slaa akienda kuilipia hiyo kadi.
 
Jana nilimsikia Prof.Lipumba naye anasema anakadi ya CCM,na anasema aitupi kwasababu na mali yake,sasa sijui muwasha washa unatoka wapi,akija akikiri kwamba kadi anayo wewe utafaidika nini?Wanaume wengine banaaa.

- CUF na CCM wanatawala pamoja kule Zanzibar, kwa hiyo ni sawa sana kwa Lipumba kuw ana kadi ya CCM, lakini Slaa kuwa na kadi ya CCM na anailipia kila mwezi, na huku majuzi mmewafukuza dagaa kwamba ni Mamluki, inatia shaka sana na uwezo wenu wa kuheshimu na kuzingatia Sheria au katiba!!

- Kama hamuwezi kuzingatia Katiba ya Chama chenu itakuwa Katiba ya Jamhuri, mtatupeleka pabaya sana jamani!!

Le Mutuz
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA.

Naona haukuwa makini kusoma taarifa ya dr na mahojiano yake na kituo cha Runinga cha chanel 5.Dr alimtaka Nape apeleke ushahidi kuwa kadi imelipiwa ofisi gani na lini,acha ukilaza
 
mkuu anza na ccm na kikwete to clean

1. Epa pending
2.kagoda pending
3.meremeta pending
4.kiwila pending
5.
6.
7.
8.
9.
10.


Wewe ni mtu wa ajabu sana na uwezo wako wa akili ni mfinyu sana
huwezi kukemea watoto wa jirani wakati wewe watoto wako wameoza

shame you, mzee you are still younger in this game.........

Majina ya wauza madawa ya kulevya - also pending
 
Unajua ukiwa CCM akili zinawaruka kabisa! Hivi Dr Slaa awe mamluki wa CCM alafu Nape atangaze? Hivi jeshi linaweza kupandikiza mtu mahali alafu litangaze? Huu ni utoto na unachosha sasa na hasa tunajua kwa muda mrefu kulikuwa na mkakati maalum wa kuigeuza JF kijiwe na stori za kijinga na zisizoaminika.

Dr Slaa kadi ya CCM aliilipia miaka 20 kama ilivyo kwa Chadema na amekwisha sema hilo tatizo liko wapi?

William,nafahamu uwezo wako wa kuibua mijadala muhimu na wewe ni moja ya maguru wa JF toka enzi hizo lakini umeamua kujitoa akili makusudi kiasi cha kushangaza malengo yako!

Tujenge taifa kwa kujadili mambo ya maana na isaidie serikali ya chama chako kwa kuikosoa mapema kabla hamjasambaratika kama KANU.

Otherwise Mods mijadala inayojirudia kama hii unganisha tu itaishia kujaza server kwa porojo na kejeli za willy.......

- Ndio tatizo letu kubwa Africans, huwa tunadharau sana mambo flani na kuyaita madogo ukweli ni kwamba record inajiweka wazi hapa kwamba Slaa akipewa Uongozi wa Jamhuri atakuwa ni Kiongozi wa namna gani na Chadema pia mkipewa uongozi wa Jamhuri mtakuwa ni watawala wa namna gani, mtakuwa mnaoena wadogo tu na kuwaacha wakubwa kwa visingizio kwamba ni mambo madogo!!

- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje?

Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!!

le mutuz
 
Back
Top Bottom