Huenda huyu si msemaji rasmi wa CCM lakini ni Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM na hata humu JF ni mtetezi sana wa CCM na mpiga propaganda mkubwa.
Kwenye facebook yake @w.j. malecela amepost hivi:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!
- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!
KIDUMU CCM!
KIDUMU CHAMA TAWALA!!
HA! HA! HA! HA!
- LE MUTUZ!!
Kutokana na post hii naona haya yafuatayo:
1. Kuna kitu wanaita OPERATION CHAOS. Ambayo ni mkakati wa makusudi wa kuvuruga CHADEMA. Ndio maana leo W.J. Malecela ameanzisha thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/382073-dr-slaa-and-chadema-must-come-clean-now-or-else-7.html
2. Attention kubwa ya Operation Chaos ni kummaliza Dr. Slaa.
3. @W.J. Malecela anamtaja Zito kuwa ni the best interest ya CCM.
4. Operation Chaos inadai kushambulia mitandao ya jamii kwa kasi sana.
Hofu yangu ni kuwa haya yote yanafanyika kwa ajili tu ya kubaki madarakani, lakini mbona hatuoni ajenda za kujenga?
Mbona hatuoni vision ya nchi? Mbona hatusikii matatizo ya nchi na namna ya kukabiliana nayo badala yake ndio OPERATION CHAOS!