Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Vipi kuhusu kukamatwa kwa meli za bosi wenu Kinana zikiwa na meno ya Tembo mmesha mchukulia hatua kwa kuhujumu rasilimali za Nchi? hata baba yako alichuliwa hatua gani kwa kufisadi hii nchi ? Peleka hoja za kishambenga huko

mambumbu hawa kaka, hebu 2wasamehe, wanaacha kuchukua hatua kuhusu shutuma za katibu wao kuhujumu uchumi wa nchi? Wanakimbilia kubwcwaja kuhusu dr. Kuwa na kadi ya ccm, c ndo umbea huo?
 
Mkuu bado unauliza hayo pamoja na kujua katiba ya CCM?

Mimi nilimsikia Dr. Slaa akisema wanaoshabikia hoja ya kadi ni mbumbumbu, unasemaje?
View attachment 78816
attachment.php
Hongera kwa kutupa ukweli ambao wengi tulikuwa htuujuwi. Hata hivyo tuseme Slaa alikuwa hajuwi hilo hata akaendelea kulipia hicho chama ambacho sote tunajuwa kuwa ni chama cha mafisadi? Hili lengo lake naona lingekuwa swali la kujibiwa?
 
Kila mara unaporudia rudia hoja iliyojadiliwa ni upuuzi na inaonesha ni kiasi gani una mawazo butu.Kama hauna mawazo yenye ncha kwa maslahi ya taifa nenda,katafute kazi ya kufanya kwani zipo kazi nyingi sana.
 
kwamjibu wa katiba ya CCM Nape anastahili kufukuzwa ndani ya chama kwakupokea mchango waSlaa wakatialishahama chama
 
- CUF na CCM wanatawala pamoja kule Zanzibar, kwa hiyo ni sawa sana kwa Lipumba kuw ana kadi ya CCM, lakini Slaa kuwa na kadi ya CCM na anailipia kila mwezi, na huku majuzi mmewafukuza dagaa kwamba ni Mamluki, inatia shaka sana na uwezo wenu wa kuheshimu na kuzingatia Sheria au katiba!!

- Kama hamuwezi kuzingatia Katiba ya Chama chenu itakuwa Katiba ya Jamhuri, mtatupeleka pabaya sana jamani!!

Le Mutuz

Ivi ni kweli! Eti watu wanakula MPUNGA???!!!!
 
- Anayetakiwa kujibu ni Slaa menyewe au Chadema, sio wewe na kwa nini mmewafukuza wale watoto wadogo au kwa sababu ni watoto wadogo na hasa Msichana mdogo kwa sababu hawezi kujitetea mbele yenu wababe wa matusi, I mean think about it mamluki ni mamluki tu huwezi kuwa na kadi ya CCM na Chadema ukakosa kuwa mamluki, au?

le mutuz
Dr. Slaa hawezi kujibu upuuzi kama huu (acha uvivu kasome sheria mbalimbali upate kujuwa uanachama wa mtu unakoma lini na kwa vigezo vipi) hata sisi hatupendi kukujibu ila kwa kuwa tunajuwa kwamba nguvu ya umma lazima itumike kuwalinda wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili la walio wengi dhidi ya mafisadi wachache wanaofaidi utajiri wa nchi hadi kurundika mabaki kwenye mabenki (Uswiss nk) na kisha kuwaadaa wananchi kwa sifa za kijinga eti uchumi wetu unakuwa kwa kasi wakati idadi ya walalahoi ikizidi kuongezeka kwa kasi.
Subiri 2015: Utajuwa kama Dr. Slaa ni mamluki wa ccm au la, mafisadi wote kaeni tayari, vipi mwenzangu nyumbani kwenu mtasalimika au? ah usiwe na wasiwasi siumesema mamluki wenu! sasa mbona unashituka
 
Hongera kwa kutupa ukweli ambao wengi tulikuwa htuujuwi. Hata hivyo tuseme Slaa alikuwa hajuwi hilo hata akaendelea kulipia hicho chama ambacho sote tunajuwa kuwa ni chama cha mafisadi? Hili lengo lake naona lingekuwa swali la kujibiwa?
Ndio maana unaambiwa kila unalolisikia changanya na akili zako!
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA. at williammalecela.blogspot.com
mr william akili yako ni finyu, kwanza ukianzia maisha yako ni aibu kwa wakati huo mtoto wa waziri mkuu kudadindia meli na kuwa bahari badala ya kusoma kama ilivyo kwa ndugu zake hapo ninashaka sana brain yako, kumbuka kwamba wakati unatoka usa kurudi bongo ulikuwa unatangaza kwamba chadema wanakutaka wamekuhaidi kukupa mil 200 au sio ww, kitu ambacho sielewi kwa ww na wenzako ni tuhuma dhidi ya dr slaa, kuna vitu vya msingi ambavyo watanzania wanapaswa kujadili sorry najua kichwa chako si kizuri, hivyo umewahi kujiuliza kwann wakina mama wanapojifungua wakati mwingine wanalala watu wawili kitanda kimoja? vp fedha za EPA, vp richmond na mikataba mingine mibovu ambayo serikali ya ccm imeingia, vp ajira kwa vijana, vp viwanda vilivyokufa mikononi mwa ccm, hivi ndivyo vitu vya msingi kwa miasha ya watanzania, sio mambo ya dr SLAA kumiliki card ya ccm, hatutaki kusikia upuuzi huu. tujadili vitu vya maana ni jinsi gani tunaweza kutengeneza maisha bora kwa watanzania. mr william malecela kwanza mambo ya kujita baharia, le mutuz, big show etc ni utoto kwa age uliyonayo ya 50+ ni aibu sana, cmon lazima ukue hata kama akili haipo basi tulia, mjinga utamjua kwa kufunua kinywa chake.
 
Kwanini asirudishe kadi ya CCM kama haitaki CCM?. Mbona majukwaani anawaomba watu warudishe kadi za CCM kuonesha kwamba hawaitaki CCM?. Huu ni uzandiki wa hali ya juu.
1. Ni katiba ya Chadema au ya CCM inayodai ukihama CHAMA NI LAZIMA URUDISHE KADI? Naomba kifungu tafadhali.

2. Kuna yeyote aliyetaka kujiunga na Chadema toka CCM akadaiwa kurudisha kadi ya CCM kama sharti la kupokelewa Chadema. Nani na wapi?
 
Kwanini asirudishe kadi ya CCM kama haitaki CCM?. Mbona majukwaani anawaomba watu warudishe kadi za CCM kuonesha kwamba hawaitaki CCM?. Huu ni uzandiki wa hali ya juu.

kadi ni mali ya mwanachama, ni uammuzi wako ubaki nayo , uitupe. Mbona JK anayo kadi ya CDM hamuongei?
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA. at williammalecela.blogspot.com
Unaonekana kama mtu msomi na ambaye umetoka katika familia ya wanasiasa lakini post zako zinaacha kiwingu kikubwa.
Si lazima kila mara uandike unaweza kutumia hata wiki tatu kusoma post za watu wengine.
Ulichoandika hapo hakikustahili kuandikwa na mtu ambaye ana ambition na vyeo vya kisiasa kwani habari hiyo ni ya kupikwa na haikufanyiwa utafiti
 
Na wala tusitake kupata ukweli? Pengine kuna vyama vyengine ukweli si lazima bali uchanganye akili tu?
Umesikia kauli, umeletewa vielelezo ni juu yako kuamua.

Katiba inasema mtu akijiunga na chama kingine uanachama wa kwanza unafutika kwa mujibu wa sheria.

1. Kulipia kadi ndio ada ya uanachama au ni tofauti.

2. Kama ni ada ya uanachama, inakuwaje mtu ambaye uanachama wake umekoma kwa mujibu wa sheria kulipia uanachama? Kama sio ada ya uanachama ni nini?


Hapo ndipo kuna umuhimu wa kuchanganya na akili zako.
attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • kadi.PNG
    kadi.PNG
    26.6 KB · Views: 92
Na wala tusitake kupata ukweli? Pengine kuna vyama vyengine ukweli si lazima bali uchanganye akili tu?
Umesikia kauli, umeletewa vielelezo ni juu yako kuamua.

Katiba inasema mtu akijiunga na chama kingine uanachama wa kwanza unafutika kwa mujibu wa sheria.

1. Kulipia kadi ndio ada ya uanachama au ni tofauti.

2. Kama ni ada ya uanachama, inakuwaje mtu ambaye uanachama wake umekoma kwa mujibu wa sheria kulipia uanachama? Kama sio ada ya uanachama ni nini?


Hapo ndipo kuna umuhimu wa kuchanganya na akili zako.

Yaani hapo ndipo unapoweza kujua kama unapotoshwa!
attachment.php

attachment.php


attachment.php

View attachment 78935
 
Umesikia kauli, umeletewa vielelezo ni juu yako kuamua.

Katiba inasema mtu akijiunga na chama kingine uanachama wa kwanza unafutika kwa mujibu wa sheria.

1. Kulipia kadi ndio ada ya uanachama au ni tofauti.

2. Kama ni ada ya uanachama, inakuwaje mtu ambaye uanachama wake umekoma kwa mujibu wa sheria kulipia uanachama? Kama sio ada ya uanachama ni nini?


Hapo ndipo kuna umuhimu wa kuchanganya na akili zako.
attachment.php

attachment.php


attachment.php

View attachment 78935

Simple! mwenye kulipa ndio ajibu, alitowa hizo pesa kwa ajili gani?
 
Back
Top Bottom